Wananchi Lushoto warudisha kadi za CCM kukosa imani na viongozi, Tazama video

Wananchi Lushoto warudisha kadi za CCM kukosa imani na viongozi, Tazama video

Katika hali iliyotabiriwa, na inayotabiriwa kuelekea 2025, wananchi wa Lushoto warudisha kadi za chama kwa madai ya kutoridhika na utendaji kazi wa viongozi wa wilaya na vijiji.

-----
Hali hii naomba chama kianze kuidhibiti mapema kwa kufanya kazi mara mbili zaidi kuelekea uchaguzi mkuu.

Hali ni mbaya sana tusipokuwa makini, mambo yanaweza haribika kabisa tusipate wa kumlaumu.

Na ugumu zaidi unaletwa na madalali(cartels) waliotamalaki kila kona...

NGoja tuone mkuu wa wilaya,mwenyekiti wa council,mkurugenzi mtendaji, etc bila kumsahau WEO na VEO's wakitinduliwa ! Hili tukio sio la kitoto wajahmen
 
Katika hali iliyotabiriwa, na inayotabiriwa kuelekea 2025, wananchi wa Lushoto warudisha kadi za chama kwa madai ya kutoridhika na utendaji kazi wa viongozi wa wilaya na vijiji.

-----
Hali hii naomba chama kianze kuidhibiti mapema kwa kufanya kazi mara mbili zaidi kuelekea uchaguzi mkuu.

Hali ni mbaya sana tusipokuwa makini, mambo yanaweza haribika kabisa tusipate wa kumlaumu.

Na ugumu zaidi unaletwa na madalali(cartels) waliotamalaki kila kona...

Kumekucha hata jogoo asipowika
 
Katika hali iliyotabiriwa, na inayotabiriwa kuelekea 2025, wananchi wa Lushoto warudisha kadi za chama kwa madai ya kutoridhika na utendaji kazi wa viongozi wa wilaya na vijiji.

-----
Hali hii naomba chama kianze kuidhibiti mapema kwa kufanya kazi mara mbili zaidi kuelekea uchaguzi mkuu.

Hali ni mbaya sana tusipokuwa makini, mambo yanaweza haribika kabisa tusipate wa kumlaumu.

Na ugumu zaidi unaletwa na madalali(cartels) waliotamalaki kila kona...

COLLAGE_20230903_122452.png

Usiwaamini sana Wasambaa na watu wa Mkoa wa Tanga kwa ujumla.
 
Mipango ya kupanga ujinga ndio hii sasa, watu wanachapisha makadi wanawapa watu, wanawapanga, ujinga sasa ndio huu....!
"CAN'T DEMORALISES OUR LOVES TO CCM."
Haaa haa just haaa haaa mmekwama. Wanafukuzwa Wakuu wa wilaya kwa kwa ujinga sio mtasema tu. Muda ni mwamuzi. 😂😂😂😂🙌🏾
Mipango ya kupanga ujinga ndio hii sasa, watu wanachapisha makadi wanawapa watu, wanawapanga, ujinga sasa ndio huu....!
"CAN'T DEMORALISES OUR LOVES TO CCM."
Haa haa just haa haa, Samia anafukuza wakuu wa wilaya kadi kurudishwa. Wewe unakenua kenua tu hapa kama HAYAWANI. Tatizo lenu MaCCM wote akili zenu hazina akili. Na hili lakutegea kuiba chaguzi kwa kutumia polisi, limewafanya mnapuyanga sana.
 
Haaa haa just haaa haaa mmekwama. Wanafukuzwa Wakuu wa wilaya kwa kwa ujinga sio mtasema tu. Muda ni mwamuzi. 😂😂😂😂🙌🏾

Haa haa just haa haa, Samia anafukuza wakuu wa wilaya kadi kurudishwa. Wewe unakenua kenua tu hapa kama HAYAWANI. Tatizo lenu MaCCM wote akili zenu hazina akili. Na hili lakutegea kuiba chaguzi kwa kutumia polisi, limewafanya mnapuyanga sana.
Mkuu wa wilaya ambaye hatekelezi wajibu wake ipasavyo atafukuzwa tu, sikiliza kilio Chao, hao wananchi, wanafuatilia suala lao kwa ngazi husika mtatuzi hatoi maamuzi / anazungusha zungusha haifai CCM.
 
Katika hali iliyotabiriwa, na inayotabiriwa kuelekea 2025, wananchi wa Lushoto warudisha kadi za chama kwa madai ya kutoridhika na utendaji kazi wa viongozi wa wilaya na vijiji.

-----
Hali hii naomba chama kianze kuidhibiti mapema kwa kufanya kazi mara mbili zaidi kuelekea uchaguzi mkuu.

Hali ni mbaya sana tusipokuwa makini, mambo yanaweza haribika kabisa tusipate wa kumlaumu.

Na ugumu zaidi unaletwa na madalali(cartels) waliotamalaki kila kona...

Hii ni aibu kubwa sana kwa CCM. Baada ya kuuza nchi kwa warabu, wananchi nao wameanza kurudisha kadi za fisiemu
 
Back
Top Bottom