Mwl.RCT
JF-Expert Member
- Jul 23, 2013
- 14,624
- 20,666
Mambo yakiendelea kuwa mabaya zaidi tunatengeneza cheo kingine kinaitwa Naibu Makamu wa Rais
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo yakiendelea kuwa mabaya zaidi tunatengeneza cheo kingine kinaitwa Naibu Makamu wa Rais
Wewe ndiyo mpumbavu kabisa unaona hadi uongozi wote wa kijiji umejiuzulu na kurudisha kadi unafikiri mchezo. Na ITV walikuwepo lakini wametishwa wasiirushe. Salama yenu ni wizi wa kura tu lakini u uchaguzi huru na haki CCM hamna chenu. Hivi n Samia kuwafukuza kazi yule DC na DAS wake kule Mtwara halo pia lilikuwa igizo?Mipango ya kupanga ujinga ndio hii sasa, watu wanachapisha makadi wanawapa watu, wanawapanga, ujinga sasa ndio huu....!
"CAN'T DEMORALISES OUR LIVES TO CCM."
CCM ilikufa baada ya kifo cha shujaa wetu yanayofanyika sasa hivi ni usaniii.wizi na rushwa ni kubwa haijawahi tokea.wananchi wa chini wameachwa na hawana wa kuwasemea.bunge ndo hilo apo.CCM kila siku ni kufanya mauzinduzi na matamasha sijui kizimkazi.....hospitalini hakuna dawa,umaskini wa wananchi unatisha zimebaki siasa za majukwaani lkn wananchi hawahudumiwi.wananchi wamebaki kwenda kwenye mikutano ya mwamposa kubeti ndo lililopoHata mkirudisha kadi na kupiga kura kwingine, CCM ndio inaenda kuunda serikali baada ya uchaguzi wa 2025
Kazi ipo, nimeshangaa UVCCM wanasema hili ni igizo la chama pinzani 🤣Katika hali iliyotabiriwa, na inayotabiriwa kuelekea 2025, wananchi wa Lushoto warudisha kadi za chama kwa madai ya kutoridhika na utendaji kazi wa viongozi wa wilaya na vijiji.
-----
Hali hii naomba chama kianze kuidhibiti mapema kwa kufanya kazi mara mbili zaidi kuelekea uchaguzi mkuu.
Hali ni mbaya sana tusipokuwa makini, mambo yanaweza haribika kabisa tusipate wa kumlaumu.
Na ugumu zaidi unaletwa na madalali(cartels) waliotamalaki kila kona...
Watanzania washatokwa na iman miaka ming san that's inabid itumike kila mbinu ili kuendelea kuwepo madarakani!! Usione shujaa alikua mjinga uchaguzi wa 2020 bali alisoma alama za nyakat kua chama chake hakina influence tena hivyo ni kuweka amri namtaka huyu namtaka yule!!!!Katika hali iliyotabiriwa, na inayotabiriwa kuelekea 2025, wananchi wa Lushoto warudisha kadi za chama kwa madai ya kutoridhika na utendaji kazi wa viongozi wa wilaya na vijiji.
-----
Hali hii naomba chama kianze kuidhibiti mapema kwa kufanya kazi mara mbili zaidi kuelekea uchaguzi mkuu.
Hali ni mbaya sana tusipokuwa makini, mambo yanaweza haribika kabisa tusipate wa kumlaumu.
Na ugumu zaidi unaletwa na madalali(cartels) waliotamalaki kila kona...
Watu wengi vijiji vya Dakawa Mbigiri nk wameporwa ardhi na wenye pesa wakishirikiana na hao maDC na maDED
Safi saaana,huko mkoani Tanga ndiyo ngome ya CCM ndiyo maana wamehongwa mawaziri kibao ambao hawana msaada wowote kwa maendeleo ya mkoa huo. Wasambaa hawa wamenifurahisha sana.
MusimshtueSamia chama kitamfia hiki
Watanzania washatokwa na iman miaka ming san that's inabid itumike kila mbinu ili kuendelea kuwepo madarakani!! Usione shujaa alikua mjinga uchaguzi wa 2020 bali alisoma alama za nyakat kua chama chake hakina influence tena hivyo ni kuweka amri namtaka huyu namtaka yule!!!!
Itafuata Kilosa
Yaani Hawa wananchi wa lushoto nimewapenda Sana. Natamani nchi nzima huu uelewa na akili tuwe nazo. Asanteni Sana wananchi kwa kurudisha kadi za matapeliKatika hali iliyotabiriwa, na inayotabiriwa kuelekea 2025, wananchi wa Lushoto warudisha kadi za chama kwa madai ya kutoridhika na utendaji kazi wa viongozi wa wilaya na vijiji.
-----
Hali hii naomba chama kianze kuidhibiti mapema kwa kufanya kazi mara mbili zaidi kuelekea uchaguzi mkuu.
Hali ni mbaya sana tusipokuwa makini, mambo yanaweza haribika kabisa tusipate wa kumlaumu.
Na ugumu zaidi unaletwa na madalali(cartels) waliotamalaki kila kona...
Ule haukuwa uchaguzi bali ujambazi wa kwenye sanduku la kura.Polisi waliovalia uniform walibeba mabegi ya kura za wizi na kuyaingiza kwenye vituo vya uchaguzi ndiyo maana waliweka ile sheria yao ya kishenzi ya mita 200 ili watekeleze ujambazi wao. Bila wizi wa kura CCM haiwezi kushinda popoteUnamaanisha uchaguzi wa 2020 ulikuwa na udanganyifu mwingi?
-Kaveli-
Dalili ya mvua ni mawinguHii movement ya 'rudisha kadi za chama' mbona inaanza kushika kasi ?
-Kaveli-
Wameona wakimwambia mwenye nchi hawasikilizi, bora wamwachie nchi yake wateule wake na kadi zao, hii ni ishara kuwa wamechoka ila hawakuwa na pakusemeaHii movement ya 'rudisha kadi za chama' mbona inaanza kushika kasi ?
-Kaveli-
Ni mkakati wa chichiemi kufanya hivyo na kuwatupia lawama ma DC , ili kuulinda uongozi wa juuKatika hali iliyotabiriwa, na inayotabiriwa kuelekea 2025, wananchi wa Lushoto warudisha kadi za chama kwa madai ya kutoridhika na utendaji kazi wa viongozi wa wilaya na vijiji.
-----
Hali hii naomba chama kianze kuidhibiti mapema kwa kufanya kazi mara mbili zaidi kuelekea uchaguzi mkuu.
Hali ni mbaya sana tusipokuwa makini, mambo yanaweza haribika kabisa tusipate wa kumlaumu.
Na ugumu zaidi unaletwa na madalali(cartels) waliotamalaki kila kona...
Dah!Mzee anasaga kunguni Balaa!🤣🤣🤣🤣Katika hali iliyotabiriwa, na inayotabiriwa kuelekea 2025, wananchi wa Lushoto warudisha kadi za chama kwa madai ya kutoridhika na utendaji kazi wa viongozi wa wilaya na vijiji.
-----
Hali hii naomba chama kianze kuidhibiti mapema kwa kufanya kazi mara mbili zaidi kuelekea uchaguzi mkuu.
Hali ni mbaya sana tusipokuwa makini, mambo yanaweza haribika kabisa tusipate wa kumlaumu.
Na ugumu zaidi unaletwa na madalali(cartels) waliotamalaki kila kona...
Babeli ....
Na sasa hivi kanuni ndiyo hiyo,hatumtaki DC au RC tunairudisha kadi kumtoa Bibi Mchele pangoni Ili atengue mtu!Mkuu umesahau hayo mambo yalianzia Mtwara mpaka Mama akatumbua wateule wake. Sasa unataka kusema Mama ni mjinga mpaka akiri kuwa ni kweli wanaCCM wanarudisha kadi kwa sababu ya utendaji mbovu wa serikali yake?