Huko kanda ya Serengeti moto wa Chadema umeacha majivu tupu!! Huyu mama kwisha habari yake...Katika hali iliyotabiriwa, na inayotabiriwa kuelekea 2025, wananchi wa lushoto warudisha kadi za chama kwa madai ya kutoridhika na utendaji kazi wa viongozi wa wilaya na vijiji.
-----
Hali hii naomba chama kianze kuidhibiti mapema kwa kufanya kazi mara mbili zaidi kuelekea uchaguzi mkuu.
Hali ni mbaya sana tusipokuwa makini, mambo yanaweza haribika kabisa tusipate wa kumlaumu.
Na ugumu zaidi unaletwa na madalali(cartels) waliotamalaki kila kona...
Mambo yakiendelea kuwa mabaya zaidi tunatengeneza cheo kingine kinaitwa Naibu Makamu wa RaisKatika hali iliyotabiriwa, na inayotabiriwa kuelekea 2025, wananchi wa lushoto warudisha kadi za chama kwa madai ya kutoridhika na utendaji kazi wa viongozi wa wilaya na vijiji.
-----
Hali hii naomba chama kianze kuidhibiti mapema kwa kufanya kazi mara mbili zaidi kuelekea uchaguzi mkuu.
Hali ni mbaya sana tusipokuwa makini, mambo yanaweza haribika kabisa tusipate wa kumlaumu.
Na ugumu zaidi unaletwa na madalali(cartels) waliotamalaki kila kona...
Ni ujinga kuamini kuwa Lushoto ni ya CCM, hii ndiyo sababu kubwa inayoifanya Tanzania isiendelee kwa kukumbatia vyama.Katika hali iliyotabiriwa, na inayotabiriwa kuelekea 2025, wananchi wa Lushoto warudisha kadi za chama kwa madai ya kutoridhika na utendaji kazi wa viongozi wa wilaya na vijiji.
-----
Hali hii naomba chama kianze kuidhibiti mapema kwa kufanya kazi mara mbili zaidi kuelekea uchaguzi mkuu.
Hali ni mbaya sana tusipokuwa makini, mambo yanaweza haribika kabisa tusipate wa kumlaumu.
Na ugumu zaidi unaletwa na madalali(cartels) waliotamalaki kila kona...
Itafuata KilosaKatika hali iliyotabiriwa, na inayotabiriwa kuelekea 2025, wananchi wa Lushoto warudisha kadi za chama kwa madai ya kutoridhika na utendaji kazi wa viongozi wa wilaya na vijiji.
-----
Hali hii naomba chama kianze kuidhibiti mapema kwa kufanya kazi mara mbili zaidi kuelekea uchaguzi mkuu.
Hali ni mbaya sana tusipokuwa makini, mambo yanaweza haribika kabisa tusipate wa kumlaumu.
Na ugumu zaidi unaletwa na madalali(cartels) waliotamalaki kila kona...
Kwa matusi mliyomtukana JPM kanda ya ziwa hamna cheni la mkatubu kwa mama JohnHuko kanda ya Serengeti moto wa Chadema umeacha majivu tupu!! Huyu mama kwisha habari yake...
Mkuu umesahau hayo mambo yalianzia Mtwara mpaka Mama akatumbua wateule wake. Sasa unataka kusema Mama ni mjinga mpaka akiri kuwa ni kweli wanaCCM wanarudisha kadi kwa sababu ya utendaji mbovu wa serikali yake?Wana Lushoto ni waelewa hizo kadi ni mchongo
Itakuwa wanafanya haya kwa maslahi yepi mkuuUkute hii ni michezo ya special branch. Maana ujasusi ndani ya nchi idara ya siasa kina mambo mengi.