Jumanne Mkota
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 2,987
- 1,757
NGoja tuone mkuu wa wilaya,mwenyekiti wa council,mkurugenzi mtendaji, etc bila kumsahau WEO na VEO's wakitinduliwa ! Hili tukio sio la kitoto wajahmenKatika hali iliyotabiriwa, na inayotabiriwa kuelekea 2025, wananchi wa Lushoto warudisha kadi za chama kwa madai ya kutoridhika na utendaji kazi wa viongozi wa wilaya na vijiji.
-----
Hali hii naomba chama kianze kuidhibiti mapema kwa kufanya kazi mara mbili zaidi kuelekea uchaguzi mkuu.
Hali ni mbaya sana tusipokuwa makini, mambo yanaweza haribika kabisa tusipate wa kumlaumu.
Na ugumu zaidi unaletwa na madalali(cartels) waliotamalaki kila kona...
Na Samia kumpiga chini yule DC na DAS wake kule Ntwara alikuwa anaigiza pia?Haya maigizo sio mageni na mpaka leo tupo palepale nyakati zote ni kulalama tu.
Kumekucha hata jogoo asipowikaKatika hali iliyotabiriwa, na inayotabiriwa kuelekea 2025, wananchi wa Lushoto warudisha kadi za chama kwa madai ya kutoridhika na utendaji kazi wa viongozi wa wilaya na vijiji.
-----
Hali hii naomba chama kianze kuidhibiti mapema kwa kufanya kazi mara mbili zaidi kuelekea uchaguzi mkuu.
Hali ni mbaya sana tusipokuwa makini, mambo yanaweza haribika kabisa tusipate wa kumlaumu.
Na ugumu zaidi unaletwa na madalali(cartels) waliotamalaki kila kona...
Pigia mstari βοΈUnamaanisha uchaguzi wa 2020 ulikuwa na udanganyifu mwingi?
-Kaveli-
Utamfanyaje Mh Rais Samia huna lolotejaribuni na mamayenu kuiba kura 2025 kama ataendelea kuishi.
Katika hali iliyotabiriwa, na inayotabiriwa kuelekea 2025, wananchi wa Lushoto warudisha kadi za chama kwa madai ya kutoridhika na utendaji kazi wa viongozi wa wilaya na vijiji.
-----
Hali hii naomba chama kianze kuidhibiti mapema kwa kufanya kazi mara mbili zaidi kuelekea uchaguzi mkuu.
Hali ni mbaya sana tusipokuwa makini, mambo yanaweza haribika kabisa tusipate wa kumlaumu.
Na ugumu zaidi unaletwa na madalali(cartels) waliotamalaki kila kona...
2025 mtakuwa wa kwanza kuja na uzi wa malalamiko kwamba NEC ni CCM B.Huko kanda ya Serengeti moto wa Chadema umeacha majivu tupu!! Huyu mama kwisha habari yake...
Haaa haa just haaa haaa mmekwama. Wanafukuzwa Wakuu wa wilaya kwa kwa ujinga sio mtasema tu. Muda ni mwamuzi. ππππππΎMipango ya kupanga ujinga ndio hii sasa, watu wanachapisha makadi wanawapa watu, wanawapanga, ujinga sasa ndio huu....!
"CAN'T DEMORALISES OUR LOVES TO CCM."
Haa haa just haa haa, Samia anafukuza wakuu wa wilaya kadi kurudishwa. Wewe unakenua kenua tu hapa kama HAYAWANI. Tatizo lenu MaCCM wote akili zenu hazina akili. Na hili lakutegea kuiba chaguzi kwa kutumia polisi, limewafanya mnapuyanga sana.Mipango ya kupanga ujinga ndio hii sasa, watu wanachapisha makadi wanawapa watu, wanawapanga, ujinga sasa ndio huu....!
"CAN'T DEMORALISES OUR LOVES TO CCM."
Mkuu wa wilaya ambaye hatekelezi wajibu wake ipasavyo atafukuzwa tu, sikiliza kilio Chao, hao wananchi, wanafuatilia suala lao kwa ngazi husika mtatuzi hatoi maamuzi / anazungusha zungusha haifai CCM.Haaa haa just haaa haaa mmekwama. Wanafukuzwa Wakuu wa wilaya kwa kwa ujinga sio mtasema tu. Muda ni mwamuzi. ππππππΎ
Haa haa just haa haa, Samia anafukuza wakuu wa wilaya kadi kurudishwa. Wewe unakenua kenua tu hapa kama HAYAWANI. Tatizo lenu MaCCM wote akili zenu hazina akili. Na hili lakutegea kuiba chaguzi kwa kutumia polisi, limewafanya mnapuyanga sana.
Hii ni aibu kubwa sana kwa CCM. Baada ya kuuza nchi kwa warabu, wananchi nao wameanza kurudisha kadi za fisiemuKatika hali iliyotabiriwa, na inayotabiriwa kuelekea 2025, wananchi wa Lushoto warudisha kadi za chama kwa madai ya kutoridhika na utendaji kazi wa viongozi wa wilaya na vijiji.
-----
Hali hii naomba chama kianze kuidhibiti mapema kwa kufanya kazi mara mbili zaidi kuelekea uchaguzi mkuu.
Hali ni mbaya sana tusipokuwa makini, mambo yanaweza haribika kabisa tusipate wa kumlaumu.
Na ugumu zaidi unaletwa na madalali(cartels) waliotamalaki kila kona...
Sijui kwann Nchi Ina watu matahira namna hiii .Mipango ya kupanga ujinga ndio hii sasa, watu wanachapisha makadi wanawapa watu, wanawapanga, ujinga sasa ndio huu....!
"CAN'T DEMORALISES OUR LOVES TO CCM."