Wananchi mkoani Arusha waandamana kupinga Ushoga

Ukweli mchunguu huu.
 
Kesi za ushoga na ulawiti zmejaa sana huko Zanzibar na hawajaandama huu uchafu unaanzia ngazi ya familia ,wakaandame zenji wapuuzi
 
[emoji817] hakuna beberu,fahari shoga tafuta ulimwengu mzima kama utakuta dume la mnyama linajishongondoa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nacheka km chiziii khaaaah
 
Mngeanza na makahaba na wazinzi km mko serious na maadili.
Kwa hiyo wewe mtoto wako wa kiume akigeuzwa mwanamke na kuanza kuliwa utafurahia na kukenua tu eti kwa vile kuna makahaba na wazinzi si ndio?
 
Kwa hiyo wewe mtoto wako wa kiume akigeuzwa mwanamke na kuanza kuliwa utafurahia na kukenua tu eti kwa vile kuna makahaba na wazinzi si ndio?
Km yeye ameamua kuwa hvyo, mie nani nipingeee??

Uhuru na maamuzi ni yakeee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…