Wananchi mkoani Arusha waandamana kupinga Ushoga

Hawa utawalaumu bure tu, ufahamu wao ulishaharibiwa.

THE LAND OF THE BLIND, majizi yanatumbua fedha na mali za nchi halafu huku chini wanawarushia matakataka ya kujadili kama ushoga na singeli za zuchu.

Sasa hawa ni vikaragosi tu, hawaelewi chochote. Ukijumlisha na MIHEMKOO ni shida.
 
Rehema iliyopo kwa punga ni kujisalimisha kwa toba ya kuachana na huo usodoma na sii hata siku moja kutafuta namna ya kuufanya huo ufirauni kurasimishwa.
Kuna mijitu katika hili yanaangalia maendeleo ya kifedha na vitu badala ya maendeleo ya watu kiutu, kiafya na kijamii.
Mimi huku nilipo japo sipo Arusha naungana nao kuandamana kupinga kurasimisha kisheria ushoga.
 
 

Attachments

  • IMG_8673.MP4
    10.9 MB
  • IMG_8646.MP4
    12.3 MB
Inasikitisha sana.
 
Wanajua km mie ni papai liliovaa, tena hadi mlaji wa papai hilo wanamfahamu vyedi. Na hakuna reaction yoyote walio ioneshaaa.
Poleeeeeeeeh.
Kwa hyo mkuu we ni papai[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]dah dunia hii sa si bora ungekuwa hata fenesi,unakuaje papai aasee???
 
Nna neno bas, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mashoga na wasagaji bado wapoo sanaa, na hakuna kitu mtawafanyaa.
Mweh[emoji1787][emoji1787][emoji1787]kazi ipo
 
Umeandika vizuri mnooo, ila kuna kitu hakiko sawaa.
Nikiwa vizuri ntakuja kuelezea
 
Kwa hyo mkuu we ni papai[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]dah dunia hii sa si bora ungekuwa hata fenesi,unakuaje papai aasee???
Mie ni papai liloiva pyuuuuuuuh, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sheria ipo tayari kasome kifungu cha 154 cha Penal Code kama nakumbuka vizuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…