Wananchi wa wilaya ya Mlimba, Morogoro wachoma magari na vifaa vya wapima ardhi

Wananchi wa wilaya ya Mlimba, Morogoro wachoma magari na vifaa vya wapima ardhi

Utakamata wangapi kwa matokeo hayo hiyo ilikuwa ni mob war labda wajitutumue kwa mamlaka yao kukamata yeyote ila kikubwa ni sheria zifuatwe kati ya wawekezaji,maafisa ardhi na wananchi.
Mkuu unadhani watakamata kwa utaratibu...? Wataingia kjijijni kwa nguvu na kubeba kila wanaekutana nae mbele ya macho yao.
 
Wananchi wenye hasira wamewashambulia watumishi wa Ardhi kutoka wilaya ya Mlimba na kuchoma magari, pikipiki pamoja na vifaa vyao vingine wakati wakiendelea na zoezi la uhakiki wa mipaka ya mashamba yanayogambaniwa na muwekezaji na wananchi wilaya ya Mlimba, Morogoro.
Watumishi wa ardhi waliokua kwenye hilo zoezi wamejeruhiwa vibaya...
Hizi stress ni shida! Sasa mgogoro utaishaje kwa namna hii!!!?Hatari sana.
 
Inategemea wataalamu waliingia na lugha gani,unaweza kuta hata mwenyekiti wa kijiji hakujulishwa,wanakijiji wana lugha zao hasa ikizingatiwa kwamba kuna mgogoro,

Kuna mwaka Fulani watafiti kama sikosei kutoka SUA walichomwa moto wote na gari lao waliingia maporini huko bila taarifa
Ilikuwa dodoma vijijini kama sikosei
 
Yaani hapo no DC naanza na madiwani wote , wenyeviti wote wa vijiji halafu kijiji kinakuwa kwenye quarantine kwa mwezi mzima. Kuluh nalah mulluhu
Hao wote uliowataja siyo chaguo la wananchi wa eneo husika na ndiyo kiini Cha tukio kama hilo..Mwenyekiti wa Kijiji hajashinda uchaguzi,Diwani na yeye hivyo hivyo na mbunge pia..CCM ni Washamba Sana ,waache wananchi waongozwe na watu waliowachagua wao,siyo kuiba tu kura na kubadilisha matokeo.
 
Wananchi wenye hasira wamewashambulia watumishi wa Ardhi kutoka wilaya ya Mlimba na kuchoma magari, pikipiki pamoja na vifaa vyao vingine wakati wakiendelea na zoezi la uhakiki wa mipaka ya mashamba yanayogambaniwa na muwekezaji na wananchi wilaya ya Mlimba, Morogoro.
Watumishi wa ardhi waliokua kwenye hilo zoezi wamejeruhiwa vibaya, japokua hakuna kifo kilichorpotiwa hadi sasa.
View attachment 1885041View attachment 1885043View attachment 1885046View attachment 1885047
Nadhani kuna kubwa limejificha katika vurugu hizo.ijapo kuwa walichokifanya ni cha hovyo kabisa,ila serikali ichunguze kwa makini kiini chache kabisa
 
Trust me , punde si punde kuna majitu yatalia na kusaga meno fasi ya mlimba wamechoma ndinga ya serikali, bodaboda ya jamuhuri ya muungano wa Tanzania na tripod stand ya serikali pia wamewadunda watumishi wa umma wakiwa wanatimiza majukumu yao
Ni Tanzania tu utakutana na mambo haya kwa wenzetu wenye akili wangeanza kwanza na hao watumishi waliochukua rasilimali za serikali siku ambayo siyo ya kazi na kwenda nazo site!

Obviously palikuwa na mission isiyo ya kawaida kwenye hii kazi,ukichunguza utakuta siyo mwenyekiti wa kijiji au mkuu wa wilaya walikuwa na taarifa za utatuzi (kama kweli kulikuwa na mgogoro) wa mgogoro huu na nadhani kisheria hawa ilibidi wawepo maana ndiyo wenye mamlaka zaidi.
 
Kafie mbele!Uonevu ukizidi serikali kwa wananchi matokeo yake ndiyo haya.
Kwa taarifa yako nchi nzima kituo kinachofuata ni polisi
Sawa captain kinjekitile ngwale unaamini utaweza kupambana na mwenye bunduki wewe ukiwa na rungu,
Hapo najua lazima polis wataenda kutembezea jando wakaz wa hilo bushi ili next time wajue nini maana ya mali za serikali na watumishi wake
 
Inategemea wataalamu waliingia na lugha gani,unaweza kuta hata mwenyekiti wa kijiji hakujulishwa,wanakijiji wana lugha zao hasa ikizingatiwa kwamba kuna mgogoro,

Kuna mwaka Fulani watafiti kama sikosei kutoka SUA walichomwa moto wote na gari lao waliingia maporini huko bila taarifa
Dah haya mambo sio kabisa nakumbuka vizuri nilimpoteza kijana alikua mwanafunzi wangu kutoka chuo cha madini alikua field kwenye hicho Kituo cha Utafiti was Udongo Selian Arusha

Alifariki mtoto wa wait

 
Back
Top Bottom