Wananchi wamfukuza Mbunge Angelina Mabula mkutanoni, hali yake mbaya jimboni kwa kutoleta maendeleo kwa wananchi

Kichwa chako kina ubongo au Funza ndio wanakusaidia kufikiri, uhakika upo kwasababu maendeleo hamna, ngoja nikuelezee kama mtoto wa chekechea, kama mbunge ameshindwa kuisimamia serikali ya jimbo lake kuhakikisha maendeleo yanaletwa jimboni kwake anahaja gani yakuitwa mwakilishi wa wananchi ?
 
Kodi wanalipa tu CCM?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…