Wanandoa wapya wafariki kwa ajali Iringa

“ndipo akakutana na basi la Luwinzo uso kwa uso.”

Duh na hii mashine inavyokuwaga moto mkali, lazoma ajali ilikuwa na impact kubwa sana...
 
...Ajali Haileweki Vizuri. Eleza Vizuri. Isiwe kama Unawahi 'Like' ![emoji846]....
 
...Kweli. Na ndio maana husikii Ajali za Kijinga jinga za mara Kwa Mara kama Zetu !!..[emoji45][emoji45][emoji45]
 
Chanzo cha ajali:
Watumishi wa vyombo vya ulinzi na usalama, wakiendesha vyombo vya moto barabarani huwa hawaheshimu sheria za usalama barabarani.

Hii iwe fundisho kwa watumishi wa vyombo vya ulinzi na usalama.

R.I.P
Sema baadhi yao sio wote
 
Mkuu dunia ina mengi.. baki kwenye sintofahamu hivyo hivyo.. maombi ndio jambo pekee litakalokuepusha na mabaya..
Hatupo duniani tuishi milele, tulishaambiwa tutakufa hakika, maombi hayatakuepusha na kifo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…