Wanandoa wengi walishaachana kwenye nafsi zao ingawa kimwili wanaonekana wapo pamoja lakini si wamoja

Wanandoa wengi walishaachana kwenye nafsi zao ingawa kimwili wanaonekana wapo pamoja lakini si wamoja

KikulachoChako

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2013
Posts
19,185
Reaction score
37,239
Habari za jumapili waungwana wa jukwaa hili,

Katika hali ya kawaida kama ilivyozoeleka na wengi katika ulimwengu wa maraha na mahaba ukimuuliza mwanandoa sababu ipi iliyomfanya aolewe/ amuoe mwenza wake na kudumu nae miaka yote.....jibu linatakiwa kuwa jepesi kuwa

KWA KUWA NI CHAGUO LANGU NA NI YEYE PEKEE NIMEPENDAYE.

Linapokuja jawabu nje ya upendo na chaguo basi ni wazi NDOA hapo hakuna kwa kuwa ile sababu hasa iliyo wafanya kuwa pamoja imeshaondoka nafsini mwenu.

Ili maisha yaendelee mtu anaangalia cha ziada nje ya upendo uliokufa kama vile manufaa anayopata kwenye muunganiko huo kwa muda huo au kutoweza kumudu gharama za maisha baada ya kuwa na mzigo mzito wa majukumu.

Hadi kufikia hapo tena hakuna anayefurahia ndoa isipokuwa inakuwa gereza ambalo akimaliza Tu kutumikia kifungo na adhabu anaangalia ustaarabu mwingine.

Kama ni watoto wakikua na kujitegemea unashangaa mwenza anatumia muda mwingi kwa watoto kama ni biashara ikashaleta mafanikio na kujihakikishia kuwa anaweza kuishi peke yake ndio harakati za kudai uhuru zinaanza.

Haya mambo ninayoaandika ndio yanayoendelea kwenye ndoa nyingi mengine yapo wazi kama ukiwa karibu na wanandoa. Mengine yanafumuka baadae baada ya upande mmoja kupata uhuru wake.

Lakini kimsingi hasa ndoa inafungwa moyoni kutokana na ridhaa yako.

Uchunguzi usio kuwa rasmi na data mbali mbali kwenye jamii ambapo humo humo tunaishi na wanandoa kama majirani, wafanyakazi wenzetu, wenye nyumba na wengine wapangaji wetu zinatanabaisha uhalisia wa haya mambo.

Ndio maana wanandoa wengi ambao NDOA zao zimekufa mioyoni mwao wanaishi kwa plan B ya miaka mingi ijayo.

BE WISE.

1002339805.jpg
CHOOSE WIFE, STAY SAFE.......
 
Habari za jumapili waungwana wa jukwaa hili.....

Katika hali ya kawaida kama ILIVYO zoeleka na wengi katika ulimwengu wa maraha na mahaba ukimuuliza mwanandoa sababu ipi iliyomfanya aolewe/ amuoe mwenza wake na kudumu nae miaka yote.....jibu linatakiwa kuwa jepesi kuwa

KWA KUWA NI CHAGUO LANGU NA NI YEYE PEKEE NIMEPENDAYE.....

Linapokuja jawabu nje ya upendo na chaguo basi ni wazi NDOA hapo hakuna kwa kuwa ile sababu hasa iliyo wafanya kuwa pamoja imeshaondoka nafsini mwenu.......

Ili maisha yaendelee mtu anaangalia cha ziada nje ya upendo uliokufa kama vile manufaa anayopata kwenye muunganiko huo kwa muda huo.....au kutoweza kumudu gharama za maisha baada ya kuwa na mzigo mzito wa majukumu.......

Hadi kufikia hapo tena hakuna anayefurahia ndoa isipokuwa inakuwa gereza ambalo akimaliza Tu kutumikia kifungo na adhabu anaangalia ustaarabu mwingine.....

Kama ni watoto wakikua na kujitegemea unashangaa mwenza anatumia muda mwingi kwa watoto......kama ni biashara ikashaleta mafanikio na kujihakikishia kuwa anaweza kuishi peke yake ndio harakati za kudai uhuru zinaanza.....

Haya mambo ninayoaandika ndio yanayoendelea kwenye ndoa nyingi mengine yapo wazi kama ukiwa karibu na wanandoa....mengine yanafumuka baadae baada ya upande mmoja kupata uhuru wake.......

Lakini kimsingi hasa ndoa inafungwa moyoni kutokana na ridhaa yako.......

Uchunguzi usio kuwa rasmi na data mbali mbali kwenye jamii ambapo humo humo tunaishi na wanandoa kama majirani, wafanyakazi wenzetu, wenye nyumba na wengine wapangaji wetu zinatanabaisha uhalisia wa haya mambo........

Ndio maana wanandoa wengi ambao NDOA zao zimekufa mioyoni mwao wanaishi kwa plan B ya miaka mingi ijayo.......

BE WISE,View attachment 3221822 CHOOSE WIFE, STAY SAFE.......
Kwa jinsi wanavyochepuka na mahouse boys na mahouse girls, inafikiridha sana Kama kweli Kuna pale.
 
Ndoa nyingi zimekufa kimwili (matanio ya mwili ) Na sio katika nafsi, hakuna kitu kigumu kama kuvunja Muunganiko katika nafsi ulio unganishwa kwa damu .. ila hili ni sie wa Imani.
Damu ipi hyo? wakati mtu hukumkuta na UTEPE/BIKRA....
 
Ndoa nyingi zimekufa kimwili (matanio ya mwili ) Na sio katika nafsi, hakuna kitu kigumu kama kuvunja Muunganiko katika nafsi ulio unganishwa kwa damu .. ila hili ni sie wa Imani.
Matamanio ya mwili huwa hayafi mkuu, yanalala.

Kaa muda kidogo bila kuchepuka, Pateni vihela kidogo msahau mambo ya marejesho na stress za maisha halafu mtoke mlipo muende kupumzika mbali kidogo uone hisia juu ya mkeo zitakavyoamka.

Utampasua kama pisi kali iliyokusumbua muda halafu ikakosea ikaja gheto.
 
Kuna wanajf humu Kila siku wanasema kuna akili usioe vile vile mwanamke kama una mileage nyingi na huna utii usiolewe pia
 
Mfia ndoa shikamoo
Kwa leo nimempenda ajabu Evelyn Salt ! Kila mmoja angalikuwa na spirit hiyo, kusingekuwa na talaka za kitoto. Ndo maana nasema, wanaoingia katika ndoa lazima wawe tayari kwa ndoa. Imagine a girl of 23 years ndipo pengine yupo chuo anaolewa! Unafikiri nini? Mwanamke lazima awe ameenjoy maisha vya kutosha (kwa vile bikra si muhimu tena kabla ya ndoa) ndipo sasa aingie katika ndoa. Vile vile kijana wa kiume. Umri lazima wote wawe 30+
 
Back
Top Bottom