KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,185
- 37,239
- Thread starter
- #21
Hizi si akili za ndoa bali akili za mtu aliyeathirika kisaikolojia.....ndoa ni muunganiko wa khiyari na sio shurutiHizo ndizo akili za ndoa, achana na hao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi si akili za ndoa bali akili za mtu aliyeathirika kisaikolojia.....ndoa ni muunganiko wa khiyari na sio shurutiHizo ndizo akili za ndoa, achana na hao
Safi sana wee ndio wife material sema unapenda 3some ndio tatizo lakoHata akinitoa nje akarusha na begi langu, napanda juu ya geti narudi tena ndani naingia jikoni kupika.....😹
Kwa hiyo wanawake watombweeee weee na wanaume watombeeee weew ndio waingie kwenye ndoa.Kwa leo nimempenda ajabu Evelyn Salt ! Kila mmoja angalikuwa na spirit hiyo, kusingekuwa na talaka za kitoto. Ndo maana nasema, wanaoingia katika ndoa lazima wawe tayari kwa ndoa. Imagine a girl of 23 years ndipo pengine yupo chuo anaolewa! Unafikiri nini? Mwanamke lazima awe ameenjoy maisha vya kutosha (kwa vile bikra si muhimu tena kabla ya ndoa) ndipo sasa aingie katika ndoa. Vile vile kijana wa kiume. Umri lazima wote wawe 30+
Ndoa sio jambo la shuruti bali khiyari na ndio maana unaulizwa kama umeridhia.......ndoa inapokuwa tena ya kutupiana nguo na kuvunjiana milango baada ya kuyamaliza ndani inakuwa sio NDOA bali ni gerezaKwa leo nimempenda ajabu Evelyn Salt ! Kila mmoja angalikuwa na spirit hiyo, kusingekuwa na talaka za kitoto. Ndo maana nasema, wanaoingia katika ndoa lazima wawe tayari kwa ndoa. Imagine a girl of 23 years ndipo pengine yupo chuo anaolewa! Unafikiri nini? Mwanamke lazima awe ameenjoy maisha vya kutosha (kwa vile bikra si muhimu tena kabla ya ndoa) ndipo sasa aingie katika ndoa. Vile vile kijana wa kiume. Umri lazima wote wawe 30+
Kijana acha uzinziSafi sana wee ndio wife material sema unapenda 3some ndio tatizo lako
Katika ndoa lazima wote wawili wapiganie ndoa yao!Hizi si akili za ndoa bali akili za mtu aliyeathirika kisaikolojia.....ndoa ni muunganiko wa khiyari na sio shuruti
Anazungumzia muunganiko kupitia watoto.Damu ipi hyo? wakati mtu hukumkuta na UTEPE/BIKRA....
Alafu wanandoa wengi wasengez sana eti wana matatizo wanakuja kuomba ushauri nje. Ebo! Nyie sii mnaongea mkiwa uchi sasa mnashindwaje tatua matatizo yenu wenyewe mliyoyaleta mkiwa uchiNdoa sio jambo la shuruti bali khiyari na ndio maana unaulizwa kama umeridhia.......ndoa inapokuwa tena ya kutupiana nguo na kuvunjiana milango baada ya kuyamaliza ndani inakuwa sio NDOA bali ni gereza
Hiyo safi maana kila mtu anakuwa hana uchu wa K au dyudyu! Mkioana mpaka kifo ndicho kitawatenganishaKwa hiyo wanawake watombweeee weee na wanaume watombeeee weew ndio waingie kwenye ndoa.
Sasa mbona tunafanya hivyo lakini kila leo ndoa ni negative things na divorce juu
Wee mie sio kijana nilishakwambia nina 46 yrs...Kijana acha uzinzi
Evidence suggests otherwiseHiyo safi maana kila mtu anakuwa hana uchu wa K au dyudyu! Mkioana mpaka kifo ndicho kitawatenganisha
Huyo evelyn salt anasema hivyo kwakuwa hapo alipo kuna angalau mkate unapatikana pengine, lkn ingekuwa pangu pakavu tia mchuzi asingejishebedua hivyo angelala mbele muda mrefu tuKwa leo nimempenda ajabu Evelyn Salt ! Kila mmoja angalikuwa na spirit hiyo, kusingekuwa na talaka za kitoto. Ndo maana nasema, wanaoingia katika ndoa lazima wawe tayari kwa ndoa. Imagine a girl of 23 years ndipo pengine yupo chuo anaolewa! Unafikiri nini? Mwanamke lazima awe ameenjoy maisha vya kutosha (kwa vile bikra si muhimu tena kabla ya ndoa) ndipo sasa aingie katika ndoa. Vile vile kijana wa kiume. Umri lazima wote wawe 30+
46 we bado uvccm kabisa, acha uzinzi nyau we.....Wee mie sio kijana nilishakwambia nina 46 yrs...
Na wewe acha 3some utazoea mboo zaidi ya moja ndoa itakushinda
Kenge wee njoo tupige treesome ya kukaribisha february...mwezi wa wapenda nao46 we bado uvccm kabisa, acha uzinzi nyau we.....
Hapa nimekupata mkuu..Anazungumzia muunganiko kupitia watoto.
Hakuna bond kubwa baina ya binadamu kama watoto, ndo maana ukioa Single mother upo kwenye hatari sababu ana bond na mwanaume mwingine.
Kupunguza hatari unatakiwa umzalishe hata watoto 3/5. Hapo yeye ndo atahofia kukupoteza wewe maana hiyo bond uliyoitengeneza ina nguvu.
Ndo maana nasema, wanaoingia katika ndoa lazima wawe tayari kwa ndoa.
Kitendo hicho hakitokei kama upande mmoja haujaanza Shari. Mtu akikupiga kofi, ukakaa kimya, hawezi rudisha la pili. Kwanza lazima ujue, mwanamke ndiye Nguzo ya ndoa.Ndoa sio jambo la shuruti bali khiyari na ndio maana unaulizwa kama umeridhia.......ndoa inapokuwa tena ya kutupiana nguo na kuvunjiana milango baada ya kuyamaliza ndani inakuwa sio NDOA bali ni gereza
Mnawatoto wangapi. Wife kashavaa sunday best?Nikisomaga nyuzi kama hizi hua naishia kushukuru tu Mungu, maana sio kwa uwezo wala ujanja wangu.... bali ni kwa neema na ukuu wake Mungu.
Ngoja nimsaidie kuandaa watoto twende kanisani..☺
Ndoa haipiganiwi bali inarekebishwa kwenye makosa ya kibinadamu na sio yale ya kukusudiwa.....Katika ndoa lazima wote wawili wapiganie ndoa yao!