Wanandoa wengi walishaachana kwenye nafsi zao ingawa kimwili wanaonekana wapo pamoja lakini si wamoja

Sasa hapo nimekupika kivipi bwashee.....??
 
Ndoa za siku hizi ni uozo mtupu! Watu wanaoana huku wanaendelea na mahusiano ya kimapenzi na wapenzi wao wa nje. Hakuna maadili ya ndoa ni vurugu tupu muda mfupi baada ya kupata watoto wawili. Ubinafsi nao ni chanzo cha kufa kwa ndoa. Unakuta jimama ni lifanyakazi au lifanyabiashara halitaki mapato yake yajulikane kwa mume wake, majimama mengine yanajenga kwao kwa siri bila mume kujua. Mume akijua siri hiyo huwa tafrani ndoani
 
Hahaha, Hutaki kugawana mali? Au aondoke yeye.
Mi katika haya maisha sinaga muda wa kupoteza kuwaza mali za mtu yeyote, tena vitu ambavyo najua nitagombeaaaa afu nadanja naviacha hapo, hapana asee......

Kitu cha kuwaza ni chakula na pesa kuendesha maisha ya sasa baaaas hizo mali aandike tu hata majirani zake ila mi siondoki 😹
 
Mbona umezngumzia upande mmoja?
 
Ndoa nyingi zimekufa kimwili (matanio ya mwili ) Na sio katika nafsi, hakuna kitu kigumu kama kuvunja Muunganiko katika nafsi ulio unganishwa kwa damu .. ila hili ni sie wa Imani.
Mkuu, ndoa inaunganishwaje kwa damu?
 
Ndoa hizi,ni changamoto sana kwa baadhi ya watu.
 
Walikuwa wanatamaniana au sio
Wanawake wengi (95.5%) wanaolewa na wanaume wasio wapenda kwasababu watapata wanachokitaka (pesa, maradhi, chakula na mavazi) ila hawana upendo maana wanaume wanaowapenda kwa wakati huo wanakua hawajajipata.
 
Wanawake wengi (95.5%) wanaolewa na wanaume wasio wapenda kwasababu watapata wanachokitaka (pesa, maradhi, chakula na mavazi) ila hawana upendo maana wanaume wanaowapenda kwa wakati huo wanakua hawajajipata.
Kabisaaaa huo ndio ukweli. Women dont love u, they love the lifestyle u can provide basi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…