Wanangu msiogope kujenga, hapa nimetumia 6M

Tena hizo bei alizozitaja ni za chini kwa kiasi kikubwa
Yaan ametaja makadilio ya chini sana
Kusema ukweli kwa nyumba hiyi mpk kufikia hapo si chini ya milioni 10
7bu hapo gharama za mafundi pekee kujenga kupaua wiringi ni kati ya tsh 1.5mln mpk 2 mln kwa nyumba hiyo jinsi ilivyo
Nyumb tunajenga hata na sisi pia tunafahamu na kwa eneo alotaja ilipo NYUMBA ukweli upo hvyo
 
Wajumbe wameamua kuja na uthibitisho kabisa,πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚mleta mada wera yuuu???
 
Nyumba hizo hazipo hivyo mkuu wewe huoni hapo ni kama imeoteshwa tuu mifumo mingine Muhimu hakuna na msingi anaweza akawa katumia matofali tuu na mambo yanaenda hiyo nyumba unayoizungumzia haipo hapo...
 
Hapo amepanga matofali kwa hiyo bei inawezekana ila angejenga nyumba ningesema haiwezekani nadhani utakua umenielewa...
 
Mkuu hii nyumba ni kubwa kwa gharama ya million 6 hata kichaa hawezi amini uongo huu.

Hii nyumba mpaka hapa ilipo kwa uzoefu wangu kwenye masula ya ujenzi imesha kula si chini ya million 11.
 
Hakuna anaye mtisha mtu bali tunaongea uhalisia nyumba hiyo kwa milion 6, ni hakuna hata mtoto hawezi kubaliana na uongo huo labda kama aliijenga mwaka 2008 au 2010.

Ni bora kuwaambia watu ukweli ili wajue ugumu wa kitu ili akiamuwa kukianza awe amejipanga kuliko kumpotosha alafu aingie kichwa kichwa imtoe barabarani.

Kwa makadirio ya chini hii nyumba mpaka sasa imesha kula si chini ya million 11mpaka 13.
 
Haifiki tofali 2000 hio. Labda 1,400 hivi. Nyumba inaonekana ni ya vyumba viwili vya kulala,sebule,jiko dogo na Choo. 6m kiugumu anaweza kutoboa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…