Hypersonic
JF-Expert Member
- Apr 14, 2012
- 829
- 1,564
Yeye ndo mwezeshaji, alafu mwanaume anatongoza lkn mwanamke hutongozwa.,PIN na codes zote anazo yeyeMwanamke analaumiwa sababu bila yeye kuruhusu hilo tukio mwanaume hawezi fanikisha. Kwani hakuna mwanaume anabaka mke wa mtu!
No sina marital problems hata moja.Rel
Relax 🤔 Kama umeoa afu uka.t.mbewa that's your problem 🙏 stress zako usizihamishie kwa watu usowajua mitandaoni🤣🤣🤣 don't quote me please,am done with you,seems you have marital problems 🤣🏃
Kweli.Ndoa zina siri nyingi sana.
Stry usiisikize upande mmja tu.
Eeh Password zote anazo yeye sababu mwanaume hawezi access mbunye ya mtoto bila kuruhusiwa.Yeye ndo mwezeshaji, alafu mwanaume anatongoza lkn mwanamke hutongozwa.,PIN na codes zote anazo yeye
Mwanamke ni mbinafsi kuliko Mwanaume.Mwaka mmoja nilienda hospitali kumjulia mke wa jamaa yangu akiwa kalazwa pale siku ya 2. Kulazwa kwake ilitokana na tukio la aibu lililofanywa na mkewe katika hali ya kushangaza sana.
Kabla ya kumuona mkewe jamaa alinipokea kituoni tukapata sehemu ya kujadili maendeleo ya mgonjwa tukiwa tunasubiri muda wa kuwaona wagonjwa.
Jamaa akanisimulia mkewe alipata shida akiwa kwenye harakati za kutoa mimba aliyopewa na mchepuko wake wa mjini. Hayo amekiri mwanamke baada ya madaktari kuweka wazi kuwa alikuwa anatoa mimba. Tukirudi nyuma kidogo huyu mwanamke aliingia kwenye mgogoro na mumewe kwa madai kuchoka kuzalishwa kila mara. Wakakubaliana watumie kondomu kama uzazi wa mpango.
Lakini mwanamke akawa na mchepuko mji wa pili ambapo ni dhahiri hawakuwa wanatumia kondom. Wakati huku nyumbani jamaa analazimika kula kwa kondom mchepuko ulikuwa unakula kavu mpaka ukatia mimba ya kwanza. Kuogopa mgogoro yule shemeji akatoa mimba, akafanikiwa.
Ajabu ni kwamba hakuacha kuchekupa kwa yule jamaa. Tena aliendelea kuliwa kavu baada ya muda tena mimba ikajaa. Akaona isiwe shida akapanga tena kutoa. Akiwa kwenye harakati za kutoa ndo mimba ikagoma na afya ikawa tete. Kukimbilia hospitali ndio yote hayo yakabainika.
Wakuu huyu ndio mwanamke. Wanaojiona wanamjua sana mwanamke wanajidanganya. Mwanamke amekuwa sehemu kubwa ya migigoro ngazi ya familia. Mwanamke ndio mchochezi wa kuni anaweza kuwasha moto anaweza kuuzima na kila kitu.
Ishi kwa akili sana na mwanamke,kuna watu wanawaamini wake zao kwa 100%. Sasa ukipigwa tukio usitusumbue oooh bora nife-kufaaaaaa
Weka hiko kisa tujifunze asee,,,madhara ndio mafunzo yenyewe sasa,,hakuna madhara yanayokosa funzoo/mafunzo ndani yakeYaani mke wa mtu anaweza kuwa anagongwa na mme akampgia simu na akaipokea huku anafiniyia ndani na akachukuwa maelekezo yote alafu mchezo ukaendelea pasipo shaka yoyote. Kuna kisa huwa natamani kukiweka hadharani lakini mara kadhaa ninasita kwani madhara yanaweza kuwa makubwa kuliko funzo.
Alama anayo maana Huwa wanasema ila wanaume tunalazimishahahahaha, Mke wa mtu huko barabarani ana alama gani?.... Mwenye mamlaka ya kusema Ndio au hapana ni mwanamke mwenye Shimo, either aligawe au abaki nalo.
Tukioana wenye bado napo mnalalamika🤣🤣🤣Yaani siku hizi wako na gubu hata shetani anaogopa. Isitokee mwanamke kafanya jambo tu, baaasi watalishikia bangooo hatari wakati wana matukio hayaelezeki 🙆🙆🙆
Ila hii kampeni ya kumchafua mwanamke sii bure, kuna kitu nyuma yake.
Basi oaneni wenyewe mridhike.
Usiwaze na wala jamaa hajanikataa,tulipotezana tu after high school,tumekuja kuonana Tena akiwa kashaoa na mie Nina family tayari,so hanitumii,tunatumiana whenever necessary 🤣🏃 na siyo sex tu hata ishu nyingine za maisha tunasaidizana🙏🙏🙏Hamna sijawa upset sema nimefikiria , kwanza are you married or?
Maana nawaza mtu atakayejilengesha kwako na umekataa kumsahau mtu wako ambaye ashaoa.
It's time to protect your dignity, sio utumike tu na mtu ambaye ashakukataa kukuoa but still unampa k. Ni mawazo yangu, you can take it or ignore it.
Hahahah so ngoma droo?🤣Nampongeza mwanamke mwenzangu kwa KUNIWAKILISHA VYEMA [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mmezoea mnafanyaga nyie tu tukifanya sie mnakuja kulilia huku[emoji3060][emoji3060][emoji3060][emoji3060][emoji3060][emoji3060]
Daah mbona kombora nzito rafiki?
Mwaka mmoja nilienda hospitali kumjulia mke wa jamaa yangu akiwa kalazwa pale siku ya 2. Kulazwa kwake ilitokana na tukio la aibu lililofanywa na mkewe katika hali ya kushangaza sana.
Kabla ya kumuona mkewe jamaa alinipokea kituoni tukapata sehemu ya kujadili maendeleo ya mgonjwa tukiwa tunasubiri muda wa kuwaona wagonjwa.
Jamaa akanisimulia mkewe alipata shida akiwa kwenye harakati za kutoa mimba aliyopewa na mchepuko wake wa mjini. Hayo amekiri mwanamke baada ya madaktari kuweka wazi kuwa alikuwa anatoa mimba. Tukirudi nyuma kidogo huyu mwanamke aliingia kwenye mgogoro na mumewe kwa madai kuchoka kuzalishwa kila mara. Wakakubaliana watumie kondomu kama uzazi wa mpango.
Lakini mwanamke akawa na mchepuko mji wa pili ambapo ni dhahiri hawakuwa wanatumia kondom. Wakati huku nyumbani jamaa analazimika kula kwa kondom mchepuko ulikuwa unakula kavu mpaka ukatia mimba ya kwanza. Kuogopa mgogoro yule shemeji akatoa mimba, akafanikiwa.
Ajabu ni kwamba hakuacha kuchekupa kwa yule jamaa. Tena aliendelea kuliwa kavu baada ya muda tena mimba ikajaa. Akaona isiwe shida akapanga tena kutoa. Akiwa kwenye harakati za kutoa ndo mimba ikagoma na afya ikawa tete. Kukimbilia hospitali ndio yote hayo yakabainika.
Wakuu huyu ndio mwanamke. Wanaojiona wanamjua sana mwanamke wanajidanganya. Mwanamke amekuwa sehemu kubwa ya migigoro ngazi ya familia. Mwanamke ndio mchochezi wa kuni anaweza kuwasha moto anaweza kuuzima na kila kitu.
Ishi kwa akili sana na mwanamke,kuna watu wanawaamini wake zao kwa 100%. Sasa ukipigwa tukio usitusumbue oooh bora nife-kufaaaaaa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Yaani eti wanaume wanajiona watakatifu jamani! Aliyefanya huo ujinga na mwanaume yumo.Yaani siku hizi wako na gubu hata shetani anaogopa. Isitokee mwanamke kafanya jambo tu, baaasi watalishikia bangooo hatari wakati wana matukio hayaelezeki [emoji134][emoji134][emoji134]
Ila hii kampeni ya kumchafua mwanamke sii bure, kuna kitu nyuma yake.
Basi oaneni wenyewe mridhike.
Jifunze uvumilivu binti yangu😂Ahhh kanikera bana kaniganda ka Luba 🤣🤣leo jpil ni siku njema siyo ya makasiriko lol,bt yemesha🙏