Wanaojifanya kumjua sana mwanamke, wanajidanganya

Nunua v8 car dealer naja lipa, 👌
 
Wanawake na wanaume wote ni wa ovyo na hakuna uharibifu bila uwepo wa wanaume

Unatongoza mke wa mtu hadi unampa mimba nani ni muharibifu? Na mwanamke unakubali kutoka nje ya ndoa nae ni mwehu Kwa kifupi wote hatuna akili.
Sasa hiv wanawake mnasumbua sana, hapa nina Orodha wa wanawake wanasuburi niwaite,

Mwingine anakuambia mimi nakuelewa Sana shida ni wewe husomeki.

Wapo wa
Kanisani(kwaya mistress)
Wake za watu(kisa nilimsaidia jambo)

Ambao hamna ni wanafunz wa sekondari na primary tuu

Lkn hadi ma bar maid ninayo orodha wanachuo kibao
 
Kumbe shida ni nyie kuwa busy na maisha kwaiyo kutenga muda hata weekend na mkeo hamna Sasa mnatarajia Nini alafu mnalalamika
 
Hahahahahahaha wanaume bhana. Hapa wote mnaungana na mtoa mada vizuri tu kama vile wote mmepigwa matukio.

Vipi kwani, hamkuoa bikra? Maana kwenye nyuzi za bikra karibia wote mnasema hamuwezi kuoa asiye bikra. Kwamba mabikra wana tabia njema.

Vipi hamkuoa wenye wapo 25years and below? Maana kwenye mada za hivo wote mmeoa wenye wapo under 24 maana wana maadili.

Vipi sasa, mbona mnalia lia kama vile wote mmeoa single mothers ikiwa humu hamtaki kuoa single mothers? Au hao bikra na under 25 nao wanawapiga matukio?
 
Ndio ubinadamu huo usingefatwa ungetafuta waganga ukaondoe mikosi😀
 
Ni ujinga na uzumbukuku kumuona mjinga aliyekununulia gari ya million 15 na kumuona bora aliyekuwekea petrol ya elfu 15, ni upumbavu wa kiwango cha PhD.
 
Here is wanawake once agaaaaaain!! Uzi mwanana kabisa kutoka kwa malaika wetu watukufu.

Dj walete wazee wa "kataa ndoa" kwa wimbo wowote matata wa amapiano🎹🎤🎤🎤🎤

Tumekujaaaa
Tumefikaaaa

""Mwanamke amekuwa sehemu kubwa ya migigoro ngazi ya familia. Mwanamke ndio mchochezi wa kuni anaweza kuwasha moto anaweza kuuzima na kila kitu.""

#YNWA
 
😅😅 Sisi wenyewe wanawake hatujijui vizuri,sasa huyo anayejiona anatujua nje ndani,arudi darasani 😅😅btw huyo mwanamke anampenda mchepuko kuliko mumewe😅 funny enough,bt iko hivo hata mie Kuna boyfriend wangu wa high school nampenda till today,sema alishaoa🙅
 
Bora umeuliza alafu hao wake zao hata hawako humu hawaoni chochote Bado watapigwa kama kawaida na wanaopiga ndio wachangiaji humu humu wakitoka hapa wnauliza bby unaendeleaje huyo lofa anasemaje 😂😂😂Wachaw ni wanaume wenzao
 
Ogopa sana, hats siku ukiletewa zawadi uipendayo kupitiliza[emoji23]
Furaha za ndoa nyingi sana zimeshikiliwa na michepuko. Kwa michepuko hali ikiwa shwari nyumbani furaha kama zote. Mizawadi, mahaba moto moto makiss hadi jikoni.

Kwa michepuko mambo yakienda ndivyo sivyo sasa makasiriko yanakuja hadi nyumbani nakwambia. Full kununa.
Wakiyasolve utashangaa mtu anaanza kucheka cheka tena na kuimba imba.

Wewe unajua mwenzako anakupenda na anafuraha na mahusiano yenu kumbe mambo yake kwa mchepuko yanaenda vizuri.
 
Here is wanawake once agaaaaaain!! Uzi mwanana kabisa kutoka kwa malaika wetu watukufu.

Dj walete wazee wa "kataa ndoa" kwa wimbo wowote matata wa amapiano🎹🎤🎤🎤🎤
Women we run the world,they can't survive without us,so kutujadil it's a pie 🙅😅
 
😀😀Kwamba muda wowote Mnapasha kiporo
 
Tatizo ni kwenye sita kwa sita au matumizi nyumbani.

Na kama ni kwenye 6*6 mke anaridhishwa na mishindo mingapi
 
Kosa lake la kwanza ni kukubali kutumia kondom.... usiache mwanamke akuendeshe hata siku moja!
 
Bora umeuliza alafu hao wake zao hata hawako humu hawaoni chochote Bado watapigwa kama kawaida na wanaopiga ndio wachangiaji humu humu wakitoka hapa wnauliza bby unaendeleaje huyo lofa anasemaje [emoji23][emoji23][emoji23]Wachaw ni wanaume wenzao
Wanagongewa wake zao na wanaume wenzao halafu wanatusema sisi.

Kwanini kama wanaume wasiungane wakubaliane hamna kugonge mke wa mtu?[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hongera kwa hiyo list ndefu mkuu😅 u deserve an award🏆🎖️🤣🤣
 
Tatizo ni kwenye sita kwa sita au matumizi nyumbani.

Na kama ni kwenye 6*6 mke anaridhishwa na mishindo mingapi
Si umesikia wakitoka kwa michepuko wakija nyumbani wana kamia gemu vizuri tu? Mikito ya kutosha hadi mke hagundui.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…