Wanaojifanya kumjua sana mwanamke, wanajidanganya


dah ni hatari sana
 
Ukimpata bikira under 18 TZ ni Tag
 
Huyo mwanamke asingeenda mji jirani kupigwa kavu angepata hiyo mimba? Halafukwanini mume apge kavu halafu mchepuko aloweke kamba?
kwanini mwanaume atongoze wakati anajua ni mke wa mtu??
 
Tunapoelekea kuoa kutaonekana kama moja la jambo la KIJUJAA.

Ila mahusiano ya siku hizi lazima uwe na plan B kichwani mwako jinsi ya kurecover faster baada ya kugongewa bila kusababisha madhara yoyote ,kwani siku hizi kuchapiwa ni kama kitu cha kawaida sana.
 
Hayo yote uliyoyasema ni mapungufu ya wanaume. Dunia ya leo wanaume jina ni wengi sana.

Kama unabisha muulize bibi yako.
Hahahahahahahah

Lishe
Mazoez
Ulozi
Uchumi
Malezi


Hayo yanatosha nimejijibu mwenyewe

Unaishi na mwanamke hajui menu muhimu Kwa Mr tatizo la(mke)


Mwanaume anakula chips mchana na jioni (mume shida) mazoez hakuna.

Watu umbali mfupi tu gari, bodaboda nguvu za kiume shida.(mume shida)

Wanawake wamezidi ulozi kitu kidgo tu kwa mganga asilimia mia wanawake wanafanya khik kitu.

Maisha magumu yanashida nyingi kwenye familia.

Mtoto wa kile na wa kiume malezi yao yana impact kuu kwenye ndoa, zipo ndoa mwanamke katulia tuliii hata kama mumewe bamia
 
Mnahangaika sana na mwanamke au mwanaume kwani Kuna malaika hapo?
 
Hakuna Cha mtakatifu wewe ndio unaona hivyo ila anapigwa mstari na anasanuka.
 

Solution ni moja tu ... HAKUNA KUOA.

#YNWA
 
Wanawake ndio watu wabaya sana, yani unampa mmeo na kondom alafu mchepuko kavu duh inasikitisha sana.
Kipindi anatongozwa kwa nini asiseme mimi ni mke wa mtu sitaki, singizia basi unaukimwi[emoji23][emoji23]
Wanawake wana kitu inaitwa kupenda na kwenda Kwa mtu kisa chakula au heshima.
 
Kuchapiwa si kitu cha kawaida, usiruhusu ubongo wako kukubali huu ujinga.

Ndoa za kikristo ni ngumu kutowa talaka lakini kwa kosa la uzinzi Mkristo ameruhusiwa na Biblia kutowa talaka, na mwanaume yeyote atakayemuowa mwanamke huyo basi anazini.

Hana tofauti na anayechukuwa Malaya corner bar au wavuvi camp.
 
Binafsi Huwa Sina mda wa kujali mwanamke kiviile nilishakubali kwamba akichepuka sawa asichepuke sawa maana Sina hata Mpango wa kutaka kujua ila tuu heshima ichukue mkondo wake..

Achepuke ambako sitojua maana na mie nachepuka ila maisha yaendelee..
 
Kumbe shida ni nyie kuwa busy na maisha kwaiyo kutenga muda hata weekend na mkeo hamna Sasa mnatarajia Nini alafu mnalalamika
Binafsi sihitaji maisha ya kitumwa kufurahisha mtu.

Yaani niache kufanya Yale nayoona yananipa furaha Bali nitenge mda wa kufurahisha mwanamke? Wala siwezi labda mwanamke ndio angekuwa furaha yangu sawa..

Uliwe au usiliwe hainihusu so long as sijajua Wala sihitaji hata kujua.Kwa Sasa Nina mengi ya maana kuliko ya kufurahisha mwanamke.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…