Wanaopinga ndoa wana matatizo au wamekulia kwenye familia zenye mgogoro

Wanaopinga ndoa wana matatizo au wamekulia kwenye familia zenye mgogoro

Kupinga ndoa ni kampeni ya wanaosapoti mapenzi ya jinsia moja.

NB. Kama Baba yangu alimuoa mama yangu, nipinge ndoa mimi ni nani?
Babaako alikufa masikini utafute hela wewe ni nani? Ndo akili zako hizo au kuna zingine?
 
Wengi wao ni

Wazazi wao walikwepa majukumu ya malezi bora eg Mume kuendekeza michepuko na kusahau familia,Mke kuwekeza kumlisha limbwata Mume na kusahau kujaza upendo kwa watoto

Watoto waliotelekezwa kwa ndugu

Watoto wa michepuko

Mimba zisizo tarajiwa kisha zikakanwa

Waliopatikana kwa matokeo ya ubakaji. Mabazazi yanayobaka yalaaniwe yanatuharibia jamii

Waliokacha shule na kukimbilia kuvuta vijiweni,dating za kipuuzi,kula kimasihara

Waliopatikana vilabu vya matapu tapu

etc etc etc
Kina diamond Ronaldo eloni mask wamekataa ndoa pia hakuna mwanaume mwenye akil mingi kipndi cha sasa anakubli huo ujinga
 
Mwanaume anaye andika eti “kataa ndoa”huwa namuona hana maadili na ametokea katika familia ya ajabu mno.
Ulikomenti utumbo kwenye nyuz za dr mwaka then unataka watu waoe hiv mnafikir hatuwaoni?
 
Achana na kutokuoa yani Huyu hakuwa hata na geto ila wafuasi wlikuwa nao
Kama ulikua haujui papa ndo alileta sheria za ndoa na uvaaji wa Pete baada ya ndoa. , ndoa zilikua zaman kwa sasa tupo bize na mbususu tu
 
Wametendwa hao, hivyo wanatafuta pa kuponea, wanaangalia mifano michache ya wenyewe hela wakichapiwa, wakiomba talaka, wakilalamika maswaibu yao, na wao wanaconclude kuwa wasioe. Ndoa inahitaj mwanaume na mwanamke waliopevuka vizuri kiakili na Wana Nia ya dhati kuishi pamoja. Ndoa sio tendo la ndoa, ukiendana akili hii utakwama maana si kila wakat utalipata Hilo tendon kwa viwango unavyotaka, ukienda kwenye ndoa ukawa unawaza pesa lazima utundike daruga mapema tuu. Waache waendelee kujipa moyo lakini ndoa ni tamu
Hakuna mkataa ndoa alie tendwa anglia nyuzi za wanaume wapumbavu wanavyolalamika kutendwa kila sku , mara kasalitiwa mara anataka jiua kisa mke wake kaamua kumpa kidude chake mwamba mwingne , utafkir hyo k ni Mali yake
 
Sio broken family tu

Wengi wao hasa wakiume, ni wasio na uwezo wa kusimamisha
Wasio weza kuzalisha.
Wagonjwa wa ukimwi

Wanatumia hiyo mbinu kujiweka kando ili wasiaibike
Mkuu wake zetu si ndo wanaomba talaka wanakuja kwetu wakataa ndoa unanipa hasra niwe nawazagamua tu hao wake wenu wa ndoa ujue
 
Pambana na hali yako kwa uburu. Most married men don't cares about your status, wanawaza ada, chakula bima za afya n.k.
nina watoto watatu ndani ya ndoa ya mtu ninawalea mwenyewe , huyo mjinga wala halei chochote ni Mario tu
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Wengine wamepigwa matukio dabodabo na maslei queen wao kwahiyo hawana hamu kabisa na mahusiano,lazima wakatae ndoa hao!
Vijana tafuteni real wives muone kama hamjaenjoy maisha,tena wamejaa tele shida moja ni kuwa hawapo kidimbwi wala elements na huko instagram wengi wao hawapost hata picha moja kama waleeeee!
Real wife ni wabaya wa sura na umbo au waliojikatia tamaa ya maisha yani nioe uchafu kisa wana tabia nzuri ? Sipo hapa kuoa ili kuonea huruma viumbe mkuu , bila ndoa nakula mbususu ninayo taka mkitaka tuoe waambieni dada zenu wabane mabaja
 
Watu badala ya kupeana mbinu za kutoboa haya maisha wanashauri watu waoe utalawalisha hao watoto nn? Utawasomesha na nn? Lazima ufikirie haya kama kipato chako ni Cha kusuasua, usichukulie advantage ya mababu zetu walikua wakilima hata robo Heka gunia 20 Leo hii mvua hakuna, shamba bila mbolea havioti, pembejeo ghali, ukisoma ajira hakuna.

Labda mtuandikie mnayaendeshaje haya maisha? Mnafanya kazi gan?
Wale wanao enjoy national cake [emoji512][emoji512] labda wasiache kuoa.

Usiige kwa kua Fulani kafanya hivi na ww ufanye kama hujui njia anazopita, don't apply the same way even if you know where s/he passes through....

Oa kwa ajili ya kujenga kizazi Bora sio uzalishe watoto wa mitaani au umtese mtoto wa mtu ( mke). Usioe kwa ajili ya ngono tu. Ndoa ni taasisi kubwa Sana kwa ambao hawajui Siri.

Usipoa sio dhambi Bali ni pale utakapoa na kushindwa kutekeleza majukumu ya taasisi hio. Kamwe usitengeze laana na vizazi vya ajabu.

Kama unawezo wa kutunza familia oa mapema kwa sababu utatengeza kizazi Bora, mtoto apate elimu nzuri, matibabu, afya njema kwa ajili ya kizazi cha baadae. Create the best generation, the grateful children who will not blame their parents that they make them in bad situation.

The children who will not cry because of poverty. Create the way for them to enjoy the life of this world [emoji288][emoji288].

Alisikika mzazi mmoja akisema "acha tu wakikua watajitafutia" wamekua kuku wa kienyeji?

Hao wanaosema Wanaokataa ndoa ni mashoga wao ndio wanazalisha mashoga kwa sababu ya kutowaandalia watoto maisha Bora japokua ushoga wakati mwingine unasababishwa na upungufu au ongezeko la hormone whether male-female or female-male hormones.
Mkuu watoto wa kwenye ndoa wengi wao ndo mashoga chunguza mkuu usiropoke tu
 
Si tulishakubaliana kuwa wanaume wanaokataa ndoa ni rainbow [emoji304]
Hawana zana za kazi so wanawahadaa wanaume wenzao wasioe wanawake bali wakawaoe wao. Hakuna sababu nyingine. Mwanaume kamili ana maamuzi sio kukaa kuambia wenzie eti kataa ndoa. Ina maana wazazi wake walibakana ndo mimba yake ikapatikana [emoji706]
Kataa ndoa hii kampeni ipo moyon mwa kla mwanaume , hakuna mwanaume anahamasisha kufunga ndoa ,ndoa nyingi unakuta wadada ndo wamezipigania , ebu ishi na mwanaume usigusie swala la ndoa uone kma ataangaika kufunga ,kiufupi tunazikataa cze wadada wa sasa wanaztumia kma fimbo kwa ss wanaume wapambanaji , hakuna mwanaume mwenye pesa amezipata mwenyewe ataomba kuingia kwenye mtego wa ndoa labda ukute anataka asaidiane na mwanamke kupata uchumi au wale Mario mnaowapenda.
 
Ndoa nyingi hazidumu na uaminifu ndani ya ndoa umepungua sana kiasi kwamba wanandoa kusalitiana limekuwa jambo la kawaida na ndio sababu ya ndoa nyingi kuvunjika.
Anza na Sheria ya Ndoa hizo zingine mbwembwe tu, tatizo linaanza kwenye Sheria ya Ndoa haina usawa kwa pande mbili inakandamiza pande moja na kuinyanyua pande nyingine Ndoa ni km mradi wa Kitapeli uliopakwa rangi na hutumiwa zaidi na wanawake wapigaji kuwatapeli wanaume anajua akiingia kwenye ndoa anavuna asivyovitafuta anavipata bure
 
Kataa ndoa hii kampeni ipo moyon mwa kla mwanaume , hakuna mwanaume anahamasisha kufunga ndoa ,ndoa nyingi unakuta wadada ndo wamezipigania , ebu ishi na mwanaume usigusie swala la ndoa uone kma ataangaika kufunga ,kiufupi tunazikataa cze wadada wa sasa wanaztumia kma fimbo kwa ss wanaume wapambanaji , hakuna mwanaume mwenye pesa amezipata mwenyewe ataomba kuingia kwenye mtego wa ndoa labda ukute anataka asaidiane na mwanamke kupata uchumi au wale Mario mnaowapenda.
Unasemea mioyo ya wanaume wengine wakati wewe una changamoto zako za kiafya? Marijali kila siku nawaskia huku wana support ndoa, wameoa, wana familia na wanaheshimika. Nyie wenye agenda zenu za siri mnajipa moyo kataa ndoa ila utelezi mnaupigania. Ndo maana mnafia gesti.

Na kwa bahati nzuri mimi ni shuhuda wa hiyo style ya kutokuongelea ndoa, the moment mwanaume akiona uko busy na maisha yako and umejipanga anatamani uwe mke wake. Sasa nyinyi mna date na kina mwajuma ndalandefu unachunwa af tatu za vicoba lazima ulilie kataa ndoa. Hujapata mwanamke mwenye calliber ya kuwa mke. Sikulaumu😄 change your relationship circle acha ku date cheap
 
Unasemea mioyo ya wanaume wengine wakati wewe una changamoto zako za kiafya? Marijali kila siku nawaskia huku wana support ndoa, wameoa, wana familia na wanaheshimika. Nyie wenye agenda zenu za siri mnajipa moyo kataa ndoa ila utelezi mnaupigania. Ndo maana mnafia gesti.

Na kwa bahati nzuri mimi ni shuhuda wa hiyo style ya kutokuongelea ndoa, the moment mwanaume akiona uko busy na maisha yako and umejipanga anatamani uwe mke wake. Sasa nyinyi mna date na kina mwajuma ndalandefu unachunwa af tatu za vicoba lazima ulilie kataa ndoa. Hujapata mwanamke mwenye calliber ya kuwa mke. Sikulaumu😄 change your relationship circle acha ku date cheap
Ndoa haina maana acha wizi ao dada zenu Ni zaidi ya Uchafu wake zenu wanagawa uchi Sana

Unataka kutuingiza matatizoni sio?
 
Ndoa haina maana acha wizi ao dada zenu Ni zaidi ya Uchafu wake zenu wanagawa uchi Sana

Unataka kutuingiza matatizoni sio?
Umeona kwa bi mkubwa nini? Au dada zako nyumbani? Sio makosa yako bali ni mazingira uliyokulia ndo yanakupelekea kudhani wanawake wote ni kama wa huko kwenu.

Acha marijali watunze ndoa zao
 
Kumekuwa na mijadala mingi sana inayowazuia vijana kuoa au kuolewa, kubwa sana ni kukataa kuoa. Hiyo ni kutokana na mfumo wa maisha ya sasa yalivyo. Ndoa nyingi hazidumu na uaminifu ndani ya ndoa umepungua sana kiasi kwamba wanandoa kusalitiana limekuwa jambo la kawaida na ndio sababu ya ndoa nyingi kuvunjika.

Pamoja na yote hayo haipaswi kuwepo na mjadala wa kuhamasishana watu wasioe/kuolewa au wasiingie kwenye ndoa. Katika hilo kuna watu wanaingia mkenge kwa kufata mkumbo au kumuiga mtu fulani kwa kuwa hataki kuoa/kuolewa nami sioi/siolewi. Hiyo sio poa kabisa kwa sababu watu wanatofautiana na kila mtu ana changamoto zake, changamoto za mke wa fulani haziwezi kuwa sawa na changamoto za mke wa fulani au za mume wa fulani haziwezi kuwa sawa na mume wa fulani. Halafu wengi wanaokataa kuoa/kuolewa wana changamoto za kisaikolojia ambazo wamezipata either kwa kushuhudia au kusimuliwa.

Kwahiyo nawaomba vijana ambao hamjaoa au kuolewa msiogope kuingia kwenye ndoa. Usiangalie na kulinganisha na ndoa ya fulani kwani ndoa yako haiwezi kufanana na hao wengine.

Kubali Ndoa
Ndoa ni Baraka
Ndoa ni Furaha
Ndoa ni Heshima
Nipe ndo ni mfumo uliojengwa ili kumpa mwanamke uhalali wa kupata haki katika mali mlizochuma na hakuna kingine,nipe faida ya cheti cha ndoa kwa mwanamme kama ,nipe hata moja,ndoa humtia kibri mwanamke yaani inakuwa sawa na fundi gari aliyepewa gari ya police aitest kwa siku moja mjini,
 
Back
Top Bottom