professional Driver
JF-Expert Member
- Sep 23, 2022
- 2,959
- 3,510
Jibu swali acha kuzungukaOnyesha mahali sayansi imepinga kuhusu Yesu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jibu swali acha kuzungukaOnyesha mahali sayansi imepinga kuhusu Yesu.
Kwa mtu mwenye akili zake anaendelea kukuona ulivyo punguani aya soma ilo swali na hayo majibu yakoOnyesha mahali sayansi imepinga kuhusu Yesu.
Unalazimisha sana mzee jibu maswaliUmefuta komenti yako iliyosema quran imejaa matakataka.
Mnashinndwa kumtetea njiti wenu Dah poleniJibuni maswali mnayoulizwa.
Bado nasubiria uonyeshe sehemu sayansi imepinga kwamba Yesu Kristo hakuzaliwa kimuujiza.Mnashinndwa kumtetea njiti wenu Dah poleni
onesha basi weledi wako wa kisayansi kuhusu kushika mimba Binti Mary.
Au nikupe na vituko vingine vya bibilia kuhusu sayansi.
Bado nasubiria uonyeshe sehemu sayansi imepinga kwamba Yesu Kristo hakuzaliwa kimuujiza.
Hahahahaha kunywa soda ndugu ila utalipa mwenyewe,nmecheka hapo kwenye mnyaaziTatizo huelewi kiarabu hao waliotafsiri hawaķutumwa na mnyaazi
ngoja jioni jua lizame kwenye matope
Wanasayansi hawajahoji muujiza wa Yesu kuzaliwa bila baba.Huu ni uzi ulio waita wanasayansi
Kitabu kilichoandika uongo hakiwezi kumfikisha mtu katika hatma nzuri.Tutabishana tu Hadi dunia iishe la maana hamna kilamtu afate na moyo wake na Imani yake hakuna Pepo ya makundi kilamtu ataingia Kwa mema yake na Mungu ni mmoja tu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] aya tuoneshe huo uongo wakoQuran imeanza kuandikwa miaka 42 kabla muhammad aanze kusema ametembelewa na jibril mapangoni.
Jibu linaonyesha unazidi kuonekana JuhaWanasayansi hawajahoji muujiza wa Yesu kuzaliwa bila baba.
Unaruka ruka kama kunguru rudi utuoneshe sciences ya wapi iliyo iliyo mfanya mary kupata mimba au ndio yusuph kajilia vyakeKitabu kilichoandika uongo hakiwezi kumfikisha mtu katika hatma nzuri.
Bibilia yako imepotosha uhalisia huku mtu hawezi kuzaliwa bila ya mwanamke kurutubishwa yai lake kwa sperm za mwanaumeHata kifo (mauti) quran inapotosha sana uhalisia!
Wanasayansi wanatuonesha namna halisi ya mwanamke kupata mimbaWanasayansi hawajahoji muujiza wa Yesu kuzaliwa bila baba.
Kifo cha kwenye bibilia kina potosha zaidi sciencesHata kifo (mauti) quran inapotosha sana uhalisia!
Issa alizaliwa bila baba?sciences ya wapi iliyo mfanya mary kupata mimba
Tushushie nondo mkuu.Hata kifo (mauti) quran inapotosha sana uhalisia!
Tuletee hapa ushahidi.Kifo cha kwenye bibilia kina potosha zaidi