Wanasayansi naomba mnisaidie maana Quran inaniambia mtoto anaumbwa baada ya sperm kuingia kwenye damu iliyoganda

Wanasayansi naomba mnisaidie maana Quran inaniambia mtoto anaumbwa baada ya sperm kuingia kwenye damu iliyoganda

Hakuna sehemu biblia imeandika kuhusu kuzaliwa kwa Yesu Kristo kisayansi. Biblia ilizungumza kinabii kwamba bikira atabeba mimba.

Isaya 7:14 SRUV​

Kwa hiyo Bwana mwenyewe atawapa ishara. Tazama, bikira atachukua mimba, atazaa mtoto wa kiume, naye atamwita jina lake Imanueli.
Swali je sayansi ina kubali kuhusu mwanamke kuzaa bila ya Baba.
 
Nionyeshe wapi sayansi imesema imepinga kuhusu Yesu Kristo.
Ujajibu swali wewe
Je kwa maelezo ya kuzaliwa Yesu sayansi inakubali hivyo kua mtoto anaweza kuzaliwa?

Na hivi ndivyo wanavyo sema wana sayansi ili mwanamke ashike mimba

The sperm enters the body through the vagina, then travels through the cervix and womb to the fallopian tubes, where the egg is usually fertilised (conception). The egg can be fertilised by sperm contained in semen or pre-ejaculate.
Aya twambie sperm za nani zime muingia mary mpaka akashika mimba na kumzaa mtoto
 
Unabadilisha swali, swali alisemi kua yesu kapingwa na wanasayansi.
Kuna maswali hayajajibiwa hapa. Na mengine nayaongeza:

1. Baadhi ya manuscripts zilozopo birmingham england zinaonesha kuwa ziliandikwa 568-645 AD. Hii inaonesha Quran ilianza kuandikwa kabla ya kipindi cha Muhammad.
2. Kama malaika hawana freewill wasingeweza kufanya argument na Allah.
3. Muhammad alikuwa hajui kusoma lakini jibril alikuwa anamlazimisha asome. Ilitegemewa malaika awe anajua kwamba asingeweza kusoma au malaika angempa uwezo wa kusoma kimiujiza.
4. Mtiririko wa sperm kuwa damu iliyoganda halafu kuwa nyama kisha iwe mifupa na baadae ndio kiumbe mwingine atokee hauko sahihi.
5. Suala kwamba kiumbe kinachokuwa tumboni kinapewa pumzi baada ya miezi minne ni madai ya hatari sana
6. Sperm kutokea sehemu iliyopo kati ya mbavu na uti wa mgongo.
7. Ushahidi kutoka Israel kuonesha kwamba issa aliwahi kuishi huko.
 
Kuna maswali hayajajibiwa hapa. Na mengine nayaongeza:

1. Baadhi ya manuscripts zilozopo birmingham england zinaonesha kuwa ziliandikwa 568-645 AD. Hii inaonesha Quran ilianza kuandikwa kabla ya kipindi cha Muhammad.
2. Kama malaika hawana freewill wasingeweza kufanya argument na Allah.
3. Muhammad alikuwa hajui kusoma lakini jibril alikuwa anamlazimisha asome. Ilitegemewa malaika awe anajua kwamba asingeweza kusoma au malaika angempa uwezo wa kusoma kimiujiza.
4. Mtiririko wa sperm kuwa damu iliyoganda halafu kuwa nyama kisha iwe mifupa na baadae ndio kiumbe mwingine atokee hauko sahihi.
5. Suala kwamba kiumbe kinachokuwa tumboni kinapewa pumzi baada ya miezi minne ni madai ya hatari sana
6. Sperm kutokea sehemu iliyopo kati ya mbavu na uti wa mgongo.
7. Ushahidi kutoka Israel kuonesha kwamba issa aliwahi kuishi huko.
Hayo unayo yaona wewe hayaja jibiwa weka pembeni alafu jibu hili swali hapa ili uudhoroteshe uislamu

Je sayansi ina kubali kua mwanamke anaweza shika mimba bila ya kukutanisha na sperm za mwanaume?

Jibu kwa msaada wa wanasayansi wako


Na leo nakujibu moja baada ya jengine.
Kuhusu hayo maswali yako kwetu
 
Kuna maswali hayajajibiwa hapa. Na mengine nayaongeza:

1. Baadhi ya manuscripts zilozopo birmingham england zinaonesha kuwa ziliandikwa 568-645 AD. Hii inaonesha Quran ilianza kuandikwa kabla ya kipindi cha Muhammad.
2. Kama malaika hawana freewill wasingeweza kufanya argument na Allah.
3. Muhammad alikuwa hajui kusoma lakini jibril alikuwa anamlazimisha asome. Ilitegemewa malaika awe anajua kwamba asingeweza kusoma au malaika angempa uwezo wa kusoma kimiujiza.
4. Mtiririko wa sperm kuwa damu iliyoganda halafu kuwa nyama kisha iwe mifupa na baadae ndio kiumbe mwingine atokee hauko sahihi.
5. Suala kwamba kiumbe kinachokuwa tumboni kinapewa pumzi baada ya miezi minne ni madai ya hatari sana
6. Sperm kutokea sehemu iliyopo kati ya mbavu na uti wa mgongo.
7. Ushahidi kutoka Israel kuonesha kwamba issa aliwahi kuishi huko.
Nakazia 💯🔨
 
Nakazia [emoji817][emoji375]
Wakati unakazia hayo tupe
Hii kisayansi
Je sayansi ina kubali kua mwanamke anaweza shika mimba bila ya kukutanisha na sperm za mwanaume?

Jibu kwa msaada wa wanasayansi wako

Kama alivyo zaliwa Yesu kwa mimba ya mary
 
Kuna maswali hayajajibiwa hapa. Na mengine nayaongeza:

1. Baadhi ya manuscripts zilozopo birmingham england zinaonesha kuwa ziliandikwa 568-645 AD. Hii inaonesha Quran ilianza kuandikwa kabla ya kipindi cha Muhammad.
2. Kama malaika hawana freewill wasingeweza kufanya argument na Allah.
3. Muhammad alikuwa hajui kusoma lakini jibril alikuwa anamlazimisha asome. Ilitegemewa malaika awe anajua kwamba asingeweza kusoma au malaika angempa uwezo wa kusoma kimiujiza.
4. Mtiririko wa sperm kuwa damu iliyoganda halafu kuwa nyama kisha iwe mifupa na baadae ndio kiumbe mwingine atokee hauko sahihi.
5. Suala kwamba kiumbe kinachokuwa tumboni kinapewa pumzi baada ya miezi minne ni madai ya hatari sana
6. Sperm kutokea sehemu iliyopo kati ya mbavu na uti wa mgongo.
7. Ushahidi kutoka Israel kuonesha kwamba issa aliwahi kuishi huko.
Mada imemaliza wiki lakini hawajibu.
 
Onyesha mahali sayansi imepinga kuhusu Yesu.
Hujibu swali hizo ni porojo ili mwanamke ashike mimba stage hizi lazima zifuatwe

The sperm enters the body through the vagina, then travels through the cervix and womb to the fallopian tubes, where the egg is usually fertilised (conception). The egg can be fertilised by sperm contained in semen or pre-ejaculate.
Aya twambie sperm za nani zime muingia mary mpaka akashika mimba na kumzaa mtoto

Biblia inatwambia Mary kashika mimba bila ya kukutana na mwanaume hapo sayansi imeipinga bibilia
 
Back
Top Bottom