Wanasayansi naomba mnisaidie maana Quran inaniambia mtoto anaumbwa baada ya sperm kuingia kwenye damu iliyoganda

NO! achana na mambo ya dini, ni upuuzi mtupu na inventions za watu.
Naungana nawewe kua aachane na mambo ya dini kama tu anaona hayamfai na hayampendezi

lakini siafikiani na wewe kuwa dini ni upuuzi.na sijui kama kuna mtu anaishi bila kuamini chochote,kwa sababu hata kuamini sayansi bado nayo ni amani ambayo wengine inawasaidia na kuwafaa lakini wengine wengine wasione hayo kama ilivyo katika dini.

Hapa kikubwa ni kuziishi hizo dini,kuacha kuzishiana uongo bali kuishi kwa upendo na haki.

Tukirudi kwa mtoa mada,japo tunamshauri aachane na udini lakini hawezi fanya ivo kirahisi maana ana chembe chembe za (UNAFIKI) ndani yake yaani,anajua anachokifanya,anaonesha ni mtu anayependa taharuki na mafarakano zaidi.

HALI HIYO INAWEZA KUSABABISHWA ZAIDI NA UJINGA(hata kama kasoma,maana sio wote waliosoma wameelimika) NA UTOTO(kutokuyajua maisha hasa katika maarifa na uhalisia wake).

Utamjuaje? kwenye heading kasema anaomba wanasayansi wamsaidie,lakini angalia wanasayansi aliowavuta(tag) Ili wasikose kumpa huo msaada anaohitaji.

Kuhoji,kudadisi ni sawa ikiwa lengo ni kujifunza ila si sawa kama lengo ni kukera au kudharaulisha.
Huyu akivaa rozari yule akivaa hijabu inaathiri vipi maisha ya mtu asiyeamini hadi ahamasishe wengine wavichukie ivo vitu kama achukiavyo yeye?

naungana nawewe kua aachane na hayo mambo kama hayana mana kwake,na naamini AKIKUA KISHA KUYAJUA MAISHA NA KUELIMIKA KISHA AKASTAARABIKA ATAACHA MWENYEWE.

Maana hakuna mtu ajuae yote na mkamilifu kwa kila kitu.
 
 
Hivi watu wa dini huwa mnabishana nini hawa waislam kitabu chao kimeeleza process za upatikanaji wa mtoto kwa imani yao nyie wengine hamkubali na nilivofuatilia izo hatua zinakaribia kufanana na zile wanazoamini wanasayansi tofauti ni ndogo sana kwanini mmoja amuone mjinga mwenzie uyu anasema sperm inaenda kukutana na yai la mwanamke ili apatikane mtoto mwingine anasema sperm inaenda kweny pande la damu iliyoganda ili apatikane mtoto na ukiangalia mwili wa binadam umezungukwa na damu sioni kitu kikubwa chakubishana mambo ya imani yamekaa kimtego yani unatakiwa uamini kitu hata kama haki make sense

Kwa imani yaki sayansi unatakiwa uamini kitu kinacho make sense kweny akili ya kawaida ndo maana wanasayansi wengi walikuwa wanafungwa walijaribu kugundua vitu mbali mbali na kuviweka public watu waliwaona ni waongo

Akili ya binadamu haiwezi kukubali kitu kirahisi ndo mitihani ya imani ilipojificha apo.. ukitaka amini, usipotaka tafuta jambo linaloridhisha ubongo wako

Acheni kelele kila mtu ashike lake
 
πŸ₯°πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•
 
Mheshimiwa makaveli10 usipoteze mda kumjibu Mpumbavu anaejifanya ni much know while ni empty head kichwa maji typically anaeongozwa na mihemko ya kitoto iliyojawa na chuki juu ya Uislam…….barikiwa kwa hints zakoπŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“Œ
 
Amekuja kwa mlengo wa kidini sio kuelewa .
 
Nimesoma comments zote, nimejaribu kupitia maswali ya msingi ya mleta mada.

Nilichogundua ni kwamba mleta mada hakujiandaa kupata majibu sahihi. Alikuja na majibu yake tayari kichwani hivyo hata kama waislam walioisoma ....
πŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“Œ
 
πŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“Œ
 
Hii ndo kilaza kumuigilizia majibu kilaza....haya maelezo ya reproduction Muhammad aliyaiga sehemu...Mbaya zaidi aliyemkopi ni kilaza.
 
πŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“Œ
 
Za kuambiwa changanya na za kwako...

Kweli mkuu. Waumini wanajiolea tu vitoto vidogoo.. kwa kisingizio cha quran na dini inaruhusu
 

Attachments

  • ASIA_-_covid_e_spose_bambine.jpg
    20.5 KB · Views: 9
  • Screenshot_20221001-100627_Firefox.jpg
    89.2 KB · Views: 6
  • Screenshot_20221001-100343_Firefox.jpg
    116.7 KB · Views: 7
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…