Etugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 6,514
- 15,247
Moja wapo ya Maandiko hovyo kabisa kutoka katika waandishi WA biblia ni hayo uliyosema.Hii ni DINI ya kiislamu ni ya hovyo sana.
Wakristo tunaamini Lusfer alipoasi na baadhi ya Malaika kule MBINGUNI.
Akatupwa Duniani Akawa shetani, Malaika wakawa Majini,Mapepo nk.
WAO WANONA KUFUGA MAJINI NO SIFA.
Malaika hawawezi kumuasi Mola wao Kwanza ndio wasaidizi wake wakuu,pili hawana utashi kama binadamu na majini, na Mungu hawezi kuwapa Malaika mamlaka ya kumsaidia angali anajua kuwa watapotoka, jamani muwe basi mnatafakari lipo ni sahihi na lipi.
Lakini haishangazi kama kuna Maandiko yanasema Mungu alipigwa mtama na yakobo,hivi unajua ukishaanza dhambi ya kumfanya mwanadamu kuwa Mungu basi kila kitu kwenu mnaona Sawa tupu.
Poleni Sana,mnapotoshwa Kwa kukosa maarifa