Wanasayansi naomba mnisaidie maana Quran inaniambia mtoto anaumbwa baada ya sperm kuingia kwenye damu iliyoganda

Wanasayansi naomba mnisaidie maana Quran inaniambia mtoto anaumbwa baada ya sperm kuingia kwenye damu iliyoganda

Hii ni DINI ya kiislamu ni ya hovyo sana.

Wakristo tunaamini Lusfer alipoasi na baadhi ya Malaika kule MBINGUNI.

Akatupwa Duniani Akawa shetani, Malaika wakawa Majini,Mapepo nk.

WAO WANONA KUFUGA MAJINI NO SIFA.
Moja wapo ya Maandiko hovyo kabisa kutoka katika waandishi WA biblia ni hayo uliyosema.

Malaika hawawezi kumuasi Mola wao Kwanza ndio wasaidizi wake wakuu,pili hawana utashi kama binadamu na majini, na Mungu hawezi kuwapa Malaika mamlaka ya kumsaidia angali anajua kuwa watapotoka, jamani muwe basi mnatafakari lipo ni sahihi na lipi.

Lakini haishangazi kama kuna Maandiko yanasema Mungu alipigwa mtama na yakobo,hivi unajua ukishaanza dhambi ya kumfanya mwanadamu kuwa Mungu basi kila kitu kwenu mnaona Sawa tupu.

Poleni Sana,mnapotoshwa Kwa kukosa maarifa
 

Attachments

  • Screenshot_20221001-100627_Firefox.jpg
    Screenshot_20221001-100627_Firefox.jpg
    89.2 KB · Views: 7
  • Screenshot_20221001-100343_Firefox.jpg
    Screenshot_20221001-100343_Firefox.jpg
    116.7 KB · Views: 8
  • tumblr_mbowqt10e71r146zvo1_r1_1280.jpg
    tumblr_mbowqt10e71r146zvo1_r1_1280.jpg
    87.4 KB · Views: 7
  • CA005-0001-047.jpg
    CA005-0001-047.jpg
    43.3 KB · Views: 6
Wivu wa nini? Mtu aonee wivu uislamu.

Dini ambayo vitu vizuri na vitamu mnaita haram.

Yaani niache kula kitimoto, kunywa kamnyweshoo.. nionee wivu dini ya kipumbavu inaruhusu hadi kuoa na kutombaz watoto wa miaka 9.. nishinde navaa makanzu na makobazi. Acha ujinga wewe

Watoto wangu wa kike na dada zangu wakaolewe wake wanne wanne.. wapigwe matalaka.. wavalishwe manguo makubwa wawe kama pinguin
Skiliza haya maneno kwanza mkuu
 
Skiliza haya maneno kwanza mkuu


Kuhusu kula nguruwe nisikilize maneno ya online tv ya Tanzania.. tena mtoa maneno anaonekana ni dini ya ya majambia na kuoa vitotoz

Tazama mwenyewe picha za harusi nazo attach
 

Attachments

  • Screenshot_20221001-100343_Firefox.jpg
    Screenshot_20221001-100343_Firefox.jpg
    116.7 KB · Views: 5
  • Screenshot_20221001-100627_Firefox.jpg
    Screenshot_20221001-100627_Firefox.jpg
    89.2 KB · Views: 5
  • tumblr_mbowqt10e71r146zvo1_r1_1280.jpg
    tumblr_mbowqt10e71r146zvo1_r1_1280.jpg
    87.4 KB · Views: 6
  • CA005-0001-047.jpg
    CA005-0001-047.jpg
    43.3 KB · Views: 7
Katika soma yangu nimekutana na hii aya. Naona inapishana na baiolojia niliyosoma miaka ile ya sekondari.

Quran 23:14

Kisha tukaiumba tone kuwa damu iliyoganda, na tukaiumba damu kuwa pande la nyama, kisha tukaliumba pande la nyama kuwa mifupa, na mifupa tukaivika nyama. Kisha tukamfanya kiumbe mwengine. Basi ametukuka Mwenyezi Mungu mbora wa waumbaji

English translation:

Then We made the sperm drop into a clinging clot, and We made the clot into a lump [of flesh], and We made [from] the lump, bones, and We covered the bones with flesh; then We developed him into another creation. So blessed is Allah, the best of creators.

Ukisoma tafsiri ya kiingereza na kiswahili unaelewa kwamba sperm inaingia kwenye damu iliyoganda. Nikatafuta wataalamu wa tafsiri kuhusu hiyo clot.

Prof Haanein Muhammad Makhloof, on page 508 of his Dictionary of the meanings of words of the Quran says that the Arabic word alaq translated into English as "clot" means frozen blood.

Maswali yangu

1. Sperm inaingia kwenye damu iliyoganda?
2. Damu iliyoganda inaishi ndani ya tumbo la mwanamke?
3. Quran haifahamu kuhusu yai la mwanamke?
4. Sperm peke yake inaweza kuumbwa ikawa mtu?
5. Kauli kwamba tukamfanya kiumbe mwingine inamaanisha nini?

battawi FaizaFoxy Mokiti adriz Kisai
Mkuu shida yako ni moja tu,unasoma Quran ili utafute kosa lilipo...Hebu msikilize huyu sheikh hapa kisha urudi tena hapa na hiyo mijadala yako mfu.
 
Kipindi Muhammad anaandika Koran elimu ya embryology ilikuwepo na akai copy kama ilvyo, sasa imekuwa advanced ndio unaona koran inaonekana imeandika mashudu
View attachment 2372618
Hyo picha imepigwa lini?
Mnapika mambo mpk mnasahau viungo mlivyotumia kupikia.....Tuambie hyo picha ya huyo "mzee" imepigwa karne ipi?
 
About Christians and Jews , Earlier on Quran says they are both allies, people of the book. When they don't acknowledge the prophet or Islam and keep their faith, Quran curses them. The Jews were cursed first, when their relationship got bitter with Muslims, during the battle of trench. Quran said Christians are nice as they have monks and priests who are truthful. Then they were cursed too. It said not to take either of them as allies and may Allah destroy them. And then Jews are prohibited fat of animals. This sounds more like the intentions of the prophet rather than inconsistent commands of Allah. But you can marry their women to spread Islam, in hopes that they'd convert. (verses : 5:51, 5:82, 9:30, 6:146)

Quran says men can have four wives, but women can only have one husband, it was stupid how men were so privileged in islam religion

Also, quran says men could marry Christians or Jews. But women could only marry Muslim men. That was absolutely unfair.
Hivi kimaumbile unadhani mwanamke anaweza olewa na wanaume zaidi ya mmoja?

Je mtoto atakaye patikana atakuwa ni WA Baba yupi?

Hivi huwa mnafikiria Kwa Makini au mnafuata Tu propaganda za wavuta bangi?
 
Sayansi ya mambo hayo ilishakuwepo miaka 350BC enzi za ugiriki halafu kuna muhuni mmoja akakopi...hizo ni hujuma
Kipindi Hicho kuna sayansi ambayo ili advance kama Leo? Kumbuka huyo Muhammad hajui kusoma wala kuandika je aliwezaje kukopi hata kama hiyo sayansi ingekuwa ime advance? Hivi Kaka ubongo wako upo Sawa kweli?
 
Watu kama wewe,wakati yesu anafanya miujiza ndio wale waliomuita mchawi.kwa sababu wamejaa roho za chuki na ujinga ndani yao.

Na sio wote wanaosoma huwa wanaona na na kukielewa sawia kile kilichondikwa.

na ndio maana katika iyo aya Qur'an 24:14 uliyoinukuu(kwa kiswahili) hakuna palipoandikwa kuwa "manii inaingia katika damu iliyoganda" kama papo nioneshe.
katika hilo tayari umezusha na umeifanya kuwa hoja yako ya msingi.
Kwa hiyo hapa tunajadili uzushi.

Nachokushauri,somo au mada moja katika dini hizi mbili haiandikwi kwenye mstari au aya au kitabu kimoja, ndio maana biblia ni mkusanyiko wa vitabu vingi na Qur'an ni mkusanyiko wa vitabu vingi vile vile.

Kwa hiyo huwezi kuijua dini hata iyo yako kwa ku-google google tu.maana hata wajinga huwa wanaposti google.

Kwenye dini yoyote watu wanahoji na kitafsri maandishi.ndio maana Kuna "mafundisho" na "madrasa"

Kama kweli unania ya kuijua dini fulani jitoe kujifunza kwa wenye elimu nayo,hata mapadri na mashehe wamasome wakaelimika ndio maana huji kuwaona wakilumbana katika dini zao.

Maana DINI NI IMANI. yaani kuamini vinavyoonekana,visivyoonekana kwa macho ya nyama na kuamini vinavyowezekana na visivyowezekana kibinadamu.kwa hiyo katika Imani ya mtu hakuna jambo la ajabu kwake,
Ndio maana hata yesu "alitembea juu ya maji ,kwa nyayo zake" kitu ambacho kisayansi mtu kutembea juu ya maji haiwezekani,LAKINI KWA IMANI(dini).

Kwa hiyo kulinganisha dini na sayansi,KWA AYA MOJA" vitu ambavyo watu wanajifunza maisha yao yote kwa muda na gharama pia kwa na bado hawajavimaliza,kama sio chuki ni UJUHA.
Punguza kuteseka juu ya Imani za watu,ishi kwa Imani yako

ELIMU NI BAHARI.(Usitangulize kebehi,dharau kama kweli una nia ya kujifunza).
Wapo watu wana elemu katika wakristo na waislam ila hawatoi majibu wakishagundua nia ya mtoa mada,/hoja.wanaamua kukaa kimya,
KWA MAANA KUKAA KIMYA KIHENGA NA KIIMANI NI HEKIMA.
NA PIA KUKAA KIMYA NI JIBU KWA MPUMBAVU,(basi tusiwafanye wenye maarifa watukalie kimya).

Uwe na hekima katika kujifunza kwako.
Umemaliza mkuu,
Tatizo lake ni kwamba anatafuta amani huku ana bisibisi mkononi.
Huwezi kuuliza kitu ukaelewa huku ukiwa tyr una majibu yako mkononi,Hapa Duniani hakuna mtu au kundi la watu litakuja kutokea kumudu kuikosoa Quran na likafanikiwa,haitatokea mpk Dunia hii inaisha....Quran imeongea mambo mengi mazito sana na mengine mpk sasa hatujayajua bado japo huko vizazi vijavyo vitakuja kuelewa.
 
Hivi kimaumbile unadhani mwanamke anaweza olewa na wanaume zaidi ya mmoja?

Je mtoto atakaye patikana atakuwa ni WA Baba yupi?

Hivi huwa mnafikiria Kwa Makini au mnafuata Tu propaganda za wavuta bangi?

Je hawa pichani ni wavuta bangi ama sio wavuta bangi.

Je wanavyofunga ndoa na watoto wadogo quran, hadithi na sunnah zinaruhusu ama haziruhusu
 

Attachments

  • Screenshot_20221001-100343_Firefox.jpg
    Screenshot_20221001-100343_Firefox.jpg
    116.7 KB · Views: 6
  • Screenshot_20221001-100627_Firefox.jpg
    Screenshot_20221001-100627_Firefox.jpg
    89.2 KB · Views: 5
  • tumblr_mbowqt10e71r146zvo1_r1_1280.jpg
    tumblr_mbowqt10e71r146zvo1_r1_1280.jpg
    87.4 KB · Views: 6
  • CA005-0001-047.jpg
    CA005-0001-047.jpg
    43.3 KB · Views: 7
Kipindi Hicho kuna sayansi ambayo ili advance kama Leo? Kumbuka huyo Muhammad hajui kusoma wala kuandika je aliwezaje kukopi hata kama hiyo sayansi ingekuwa ime advance? Hivi Kaka ubongo wako upo Sawa kweli?
Hv watu huwa wanawaza vp aisee😂
 
Back
Top Bottom