Randy orton
JF-Expert Member
- Apr 29, 2019
- 1,338
- 3,561
Ndio mnavyodanganyana kwenye vijiwe vya kashata!Hiyo ni lugha ya cheo mkuu kasome bibilia ya kiyunani uone Muhammad katajwa vipi mule someni wakristo msi kariri
Ni Upumbavu kutaka Quran ithibitishwe na Sayansi kama ambavyo pia itakuwa Upumbavu kutaka Biblia ithibitishwe na SayansiSasa si mnasema kuran imekamilika inakila kitu [emoji23][emoji23]Mbona povu
Ngoja nichukue nafasi ya mwisho kukujibu kabla hujaonyesha upuuzi wako
Nimekuonyesha wakihoji juu ya kuumbwa Kwa Adamu? Je roboti linahoji?
Pili hawana free will kwakuwa wao hawana mambo maovu na mabaya,Wana mission maalumu.
Ngoja nione kama umeelewa au laa! Ili nijue najadiliana na mtu anayejitambua au mpuuzi kama MOKITI na Championi!
Kama hawana freewill inakuwaje wanahoji?Ngoja nichukue nafasi ya mwisho kukujibu kabla hujaonyesha upuuzi wako
Nimekuonyesha wakihoji juu ya kuumbwa Kwa Adamu? Je roboti linahoji?
Pili hawana free will kwakuwa wao hawana mambo maovu na mabaya,Wana mission maalumu.
Ngoja nione kama umeelewa au laa! Ili nijue najadiliana na mtu anayejitambua au mpuuzi kama MOKITI na Championi!
Aya hii hapa :Naomba aya inayosema hili.
Yaani hata haueleweki unataka nini au unafahamu nini?Kama hawana freewill inakuwaje wanahoji?
Hapa na wewe Mwenzangu unataka kuwafunga Kamba BIBLIA HAIFAHAMU WALA KUMTAMBUA MUHAMMAD SAW. TUACHE UJINGA. Tuwe wakweli. Mimi natumia akili si Ushabiki wa Kipumbavu.😁Hiyo ni lugha ya cheo mkuu kasome bibilia ya kiyunani uone Muhammad katajwa vipi mule someni wakristo msi kariri
We soma suurat كورت aya za mwisho zinazoleta sifa za malaikaHapa umeandika huku ukijipinga. Inaonesha hufahamu maana ya free will.
Naomba aya inayosema hili.
Unaweza kukisoma kwanza kiebraniaaama yake wengi humu mnatusumbua tu sio wajuziNdio mnavyodananyana kwenye vijiwe vya kashata!
lete mstari wa kwenye biblia ya kiyunani unaomtaja Mohammed
Inamtambua Sana,,,tupeane Mda mkuu tutaleta ushahidi,pamoja na kujitahidi kufuta alama yake lkn Kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu kuna alama zake zipo, kuwa na Subira Tu,,,,Hapa na wewe Mwenzangu unataka kuwafunga Kamba BIBLIA HAIFAHAMU WALA KUMTAMBUA MUHAMMAD SAW. TUACHE UJINGA. Tuwe wakweli. Mimi natumia akili si Ushabiki wa Kipumbavu.😁
Mimi sina motivation wala agenda yoyote ninayoipinga au kuitetea..I simply want to understand the truth.wlYaani hata haueleweki unataka nini au unafahamu nini?
Uwe na siku njema.
Acha kujidanganya na kutaka kujifariji. Nimesoma Quran nimesoma Biblia BIBLIA HAIMTAMBUI MUHAMAD HAYA HUWA TUNAAMBIANA WAKATI FLANI KWA SABABU ZILEE...Lakini kiukweli Muhamad hakuwahi hata fikiriwa kwenye Biblia. Hafahamiki. Tuache kujidanganya nna kudanganya watu.Inamtambua Sana,,,tupeane Mda mkuu tutaleta ushahidi,pamoja na kujitahidi kufuta alama yake lkn Kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu kuna alama zake zipo, kuwa na Subira Tu,,,,
Wewe leta , tafsiri tutazipata , muhimu ni wewe ulete hiyo aya.Unaweza kukisoma kwanza kiebraniaaama yake wengi humu mnatusumbua tu sio wajuzi
Bibili mwanzo 1:26 Mungu anasema Tumfanye mtu kwa mfano wetu hiyoNdio mnavyodananyana kwenye vijiwe vya kashata!
lete mstari wa kwenye biblia ya kiyunani unaomtaja Mohammed
Chuki yako dhidi ya Quran ndio unakusumbua Quran ipo sahihi kwa 100%Katika soma yangu nimekutana na hii aya. Naona inapishana na baiolojia niliyosoma miaka ile ya sekondari.
Quran 23:14
Kisha tukaiumba tone kuwa damu iliyoganda, na tukaiumba damu kuwa pande la nyama, kisha tukaliumba pande la nyama kuwa mifupa, na mifupa tukaivika nyama. Kisha tukamfanya kiumbe mwengine. Basi ametukuka Mwenyezi Mungu mbora wa waumbaji
English translation:
Then We made the sperm drop into a clinging clot, and We made the clot into a lump [of flesh], and We made [from] the lump, bones, and We covered the bones with flesh; then We developed him into another creation. So blessed is Allah, the best of creators.
Ukisoma tafsiri ya kiingereza na kiswahili unaelewa kwamba sperm inaingia kwenye damu iliyoganda. Nikatafuta wataalamu wa tafsiri kuhusu hiyo clot.
Prof Haanein Muhammad Makhloof, on page 508 of his Dictionary of the meanings of words of the Quran says that the Arabic word alaq translated into English as "clot" means frozen blood.
Maswali yangu
1. Sperm inaingia kwenye damu iliyoganda?
2. Damu iliyoganda inaishi ndani ya tumbo la mwanamke?
3. Quran haifahamu kuhusu yai la mwanamke?
4. Sperm peke yake inaweza kuumbwa ikawa mtu?
5. Kauli kwamba tukamfanya kiumbe mwingine inamaanisha nini?
battawi FaizaFoxy Mokiti adriz Kisai
Nime jibu teari hojaWewe leta , tafsiri tutazipata , muhimu ni wewe ulete hiyo aya.
Soma yote song of Solomon sikupi aya maana nyinyi wavivu sana kitabu cha kiharameik shukranAcha kujidanganya na kutaka kujifariji. Nimesoma Quran nimesoma Biblia BIBLIA HAIMTAMBUI MUHAMAD HAYA HUWA TUNAAMBIANA WAKATI FLANI KWA SABABU ZILEE...Lakini kiukweli Muhamad hakuwahi hata fikiriwa kwenye Biblia. Hafahamiki. Tuache kujidanganya nna kudanganya watu.
Kama anaakili timamu hili jibu linamtosha kabisa kuacha kufkiria hicho anachokifkiria akilini mwake.Usisome Quran km unasoma gazeti la nipashe mkuu.....watu wanakaa vyuo vikuu kupata hizo elimu kwa miaka ming sana
Allah kasema mifupa tupu ipo ndani ya mji wa uzazi, Mimi unanishambulia ili iwejeHuyu jamaa Champion naye ni mpuuzi Sana, hapo umemuwekea Aya iko wazi lkn kila komenti anarudia ujinga wake.
Waislamu humu kuna watu wawili inabidi tuwapuuze katika mijadala kwasababu ni WAPUUZI WAKUBWA!
1) MOKITI
2) CHAMPION
Hawajadili kuelimishana Bali kuweka ligi za kipumbavu.
Binafsi naachana nao kabisa!
Kwa tafsiri yako hii hakuna asiyekuwa na mfumo wa maisha kwahiyo naona ni tafsiri isiyokuwa na sense.Hivyo kama huna mfumo sahihi wa maisha yako ndio huna DINI na kuna mifumo mingi ya maisha hivyo ukisikia mtu ni muislamu basi anatuata mfumo mzima maisha ya kiislamu na ukisikia mtu na mpa gani basi ni hivyo hivyo ikiwa mtu hana dini basi hana mfumo wa maisha kabisa na hata anae muamini mchawi kwenye maisha yake basi na Dini yake vilevile inaambatana na kile alicho kiamini na kukifanyia kazi
Asante
Kama kasema Mungu ashindwi mbona kakutoa katika sehemu ambayo ukitoka hatua weza rudishwa tena ashindwe mifupa tu kaitoa mbegu iliyo kufa ardhini ikakuketa mpunga akakupa akili ya kupinga ya kweli ashindwe hilo la mifupa mbona dogo tu kwani wewe hapo ulipo huna mifupa na kati ya mifupa na ngozi yako kipi kilitakiwa kutangulia kuwepo je mtoto akizaliwa anakua hana mifupa na kama alikua hana aliipata alivyo zaliwa au? Jibu hayo maswali tafadhaliAllah kasema mifupa tupu ipo ndani ya mji wa uzazi, Mimi unanishambulia ili iweje