Wanasayansi naomba mnisaidie maana Quran inaniambia mtoto anaumbwa baada ya sperm kuingia kwenye damu iliyoganda

Wanasayansi naomba mnisaidie maana Quran inaniambia mtoto anaumbwa baada ya sperm kuingia kwenye damu iliyoganda

Hapa sielewi point na hoja yako ni nini.

Tulipoanzia ni kwamba tunakataa kwamba issa sio Yesu Kristo kwasababu Yesu Kristo aliishi na anajulikana ndani ya Israel.

Haijalishi hata kama hakukubalika kama Messiah lakini still wanakiri ni mtu halisi aliyewahi kuishi huko. Hilo mimi linanitosha kabisa.

Swali letu ni huyo issa ni nani na kwanini Inasemekana ndani ya quran kwamba alikuwa mashuhuri lakini taarifa zake hazipo kabisa Israel? Tufahamishe.
Ndo nimekuuliza huko Israel taarifa za Issa hazipo kwa muktadha upi?!

Kuna tofauti ipi kati ya taarifa za Isa nchini Israel na taarifa za Yesu nchini Tanzania? Kwa sababu kwa jinsi unavyoeleza, ni sawa na kusema taarifa za Yesu HAZIPO KABISA nchini Tanzania!!
 
Ndo nimekuuliza huko Israel taarifa za Issa hazipo kwa muktadha upi?!

Kuna tofauti ipi kati ya taarifa za Isa nchini Israel na taarifa za Yesu nchini Tanzania? Kwa sababu kwa jinsi unavyoeleza, ni sawa na kusema taarifa za Yesu HAZIPO KABISA nchini Tanzania!!
Akikujibu nitag ataanza kubadilisha mada hapo
 
Umeandika hisia na unaweweseka Sana , waislamu billion na Kuna waislamu humu wanasema mashia sio waislamu?
Point zangu ni hizi embu pangua

Koran imeandikwa kama rap song , inaishia na kina kimoja , unakuta Allah na shetani wanaongea wanaishia na kina kimoja

Koran Haina maajabu , verse zake hazieleweki na hazima info za kutosha unacho fanya kasome Hadith , kasome sabubnuzu, kasome Tafsir ndio utaelewa , mbali na hapo ukisoma Koran tu ni useless book hisiyo na maana
Anayeweweseka hap NI wewe Una spend hours kufatilia kitu unachokiita useless kisicho na maana,, useless mind hata hufahamu kitu useless kwako kinaweza kua useful Kwa mwingine

Kwa iyo kinachokuuma NI quran kua na uandishi wenye vina,,,andika na wewe KITABU chenye vina update followers kama rahisi,,wakati wewe unaumia na vina kina wakristo Kwa wivu wao wanajaribu kusoma biblia Kwa mahadhi kama waislam huenda ikawa rahisi kwenu kuhifadhi bibilia yote kichwani lkn wapi wamedondokea pua,,,
Hakuna point hata moja hapo ninachokiona NI muendelezo WA muweweseko WA MTU mwenye chuki kubwa na ufahamu WA kuungaunga,,wewe hutaki kujifunza Bali unatafuta kejeli na mtu kama Mimi nakupeleka hivohvi utakavyo.
 
Ndo nimekuuliza huko Israel taarifa za Issa hazipo kwa muktadha upi?!

Kuna tofauti ipi kati ya taarifa za Isa nchini Israel na taarifa za Yesu nchini Tanzania? Kwa sababu kwa jinsi unavyoeleza, ni sawa na kusema taarifa za Yesu HAZIPO KABISA nchini Tanzania!!
Kwanini unaleta mzunguko mrefu sana. Naomba uniletee taarifa za issa kwenye maisha yake Israel.

Lete hapa documents za wayahudi wakielezea huyo issa na mambo aliyotenda kule Israel mpaka akapata umaarufu wa kuandikwa mara nyingi kwenye quran kuliko hata kipenzi cha Allah.
 
Kwanini unaleta mzunguko mrefu sana. Naomba uniletee taarifa za issa kwenye maisha yake Israel.

Lete hapa documents za wayahudi wakielezea huyo issa na mambo aliyotenda kule Israel mpaka akapata umaarufu wa kuandikwa mara nyingi kwenye quran kuliko hata kipenzi cha Allah.
Hivi hapa tunazungumzia masuala ya maisha au masuala ya kiimani?!

Na kwa kuangalia hilo swali lako, unaweza kutoa taarifa za Yesu kwenye maisha yake Tanzania?!

Btw, kuna mtu aliyekuambia Issa ni Mwisrael hadi uhoji taarifa zake za maisha nchini Israel?!
 
Hivi hapa tunazungumzia masuala ya maisha au masuala ya kiimani?!

Na kwa kuangalia hilo swali lako, unaweza kutoa taarifa za Yesu kwenye maisha yake Tanzania?!

Btw, kuna mtu aliyekuambia Issa ni Mwisrael hadi uhoji taarifa zake za maisha nchini Israel?!
Wewe jamaa hauna unachoelewa. Kaisome kwanza quran kuhusu issa ujue alikuwa raia wa wapi kabla hujaja kumtetea Allah na muhammad.
 
Kama unafahamu kiingereza basi soma hapa chini namna ambavyo Muhammad alikuwa amejawa mapepo:

We learn from Islamic tradition that on several occasions when Muhammad saw the spirit, he would be so frightened he would run home to his wife and ask her to cover him with clothes: "I was called again and raised my head, and there on the throne in the open atmosphere he, i.e. Jibreel, was sitting.

I began to tremble on account of fear. I came to Khadija and said: Wrap me up. They wrapped me up and threw water on me..." (Sahih Muslim book 1 ch.74 no.307 p.100. Narrated by Jabir) At other times, Muhammad experienced some strange physical symptoms.

From Hadith Mishkat, we learn that, sometimes he would shrive and swoon, roar like a camel and white foamy saliva would come from his mouth (Hadith Mishkat iv p.359). Sometimes when he receive revelation(s) there was the sound like the buzzing of bees near his face (source: Umar Ibnu'l Khattab), while at other times, he felt a tremendous headache.

Muhammad once said: "At times it comes to me like the ringing of a bell and that is most severe for me... and at time an Angel in the form of a human being comes to me... (Sahih Muslim vol.4 book 28 no.5765-5767 p.1248)

However, it is unclear why Mohammed later said, "...The bell is the musical instrument of Satan." Sahih Muslim vol.3 book 22 no.5279, also Abu Dawud vol.2 no.2548 -2550

According Ahmad b. Hanbal, "He became distressed, foaming at the mouth and closing his eyes. At times he snorted like a young camel (Ahmad b. Hanbal I, 34, 464, vi.163). This gave rise to the allegation in certain quarters Muhammad was epileptic.

Muhammad according to 'Amr Ibn Sharhabil, mentioned to his wife, Khadija, that he feared he was possessed by demons and wondered whether others consider him possessed [i.e. evil spirits] (source: pfanoter 1910:345).

These statements about the physical symptoms exhibited by Muhammad when he saw the spirit were not made by strangers, non Muslims or people who did not know him. These statements were made by Aisha, Muhammad's favourite wife, relatives and his close followers who strongly believed that he was the seal of the prophets.
Narudia tena na tena kuwa hauwezi kuthibitisha kuwa Mtume Muhammad (Swalla Allahu 'Alayhi Wa Aalihi Wa Sallam), Bwana wa Mitume na Manabii wote Mbora wa Viumbe, kuwa alikuwa possessed na mapepo au kifafa.

Nakimaanisha hiki ninachokisema.

Na kweli hujaleta uthibitisho na hutoweza kuthibitisha.

Kwaheri.
 
Narudia tena na tena kuwa hauwezi kuthibitisha kuwa Mtume Muhammad Swalla Allahu 'Alayhi Wa Aalihi Wa Sallam), Bwana wa Mitume na Manabii wote Mbora wa Viumbe, kuwa alikuwa possessed na mapepo au kifafa.

Nakimaanisha hiki ninachokisema.

Na kweli hujaleta uthibitisho na hutoweza kuthibitisha.

Kwaheri.
Labda umepata mapepo ndio maana hujibu hoja unaleta vihoja.
 
Hapa sielewi point na hoja yako ni nini.

Tulipoanzia ni kwamba tunakataa kwamba issa sio Yesu Kristo kwasababu Yesu Kristo aliishi na anajulikana ndani ya Israel.

Haijalishi hata kama hakukubalika kama Messiah lakini still wanakiri ni mtu halisi aliyewahi kuishi huko. Hilo mimi linanitosha kabisa.

Swali letu ni huyo issa ni nani na kwanini Inasemekana ndani ya quran kwamba alikuwa mashuhuri lakini taarifa zake hazipo kabisa Israel? Tufahamishe.
Dah,,,KAZI IPO wallah!
Wanaokiri kama aliishi huko NI akina Nani hao?? Maana waisrael wanaamin Messiah bado hajazaliwa,,,
Kinachokuwewesesha wewe ni jina au nini?? yesu,,Jesus,,yeshua,,,ESAU,,ISA kila taifa na matamshi Yao,,unakwama wapi?
 
Majibu kwenye hoja za Prof Moore ni haya hapa:
.' My purpose here is to examine what exactly was known of the human embryo at the time of Muhammad in order to see whether or not this reaction is justified.
Link

Kabla ya yote suala la kama ufahamu juu ya embryology ulifahamika sawa na Quran ama la si la msingi. Msingi ni usahihi au upotefu wa hoja za Quran.


In Sura 86:6,7 we read:
He is created from a gushing fluid that issued from between the loins and ribs

In this verse, semen is apparently coming out of the area around the kidneys and back, which is a real problem for we now know that the testicles are the site of sperm production. Muslims maintain that this verse is indicating the embryological development of the testicles in the renal area before their subsequent descent into the scrotum. However, the verse states that it is the fluid rather than its organ of production that comes from this area. A delve into Greek literature reveals some interesting clues as to the origin of this idea.
Kwa kuongezea ni kwamba damu ma hata neva ziendazo kwenye Pumbu hutoka maeneo lilipo ini. Naona imejijibu.

The Greek physician Hippocrates taught in the fifth century BC that semen comes from all the fluid in the body, diffusing from the brain into the spinal marrow, before passing through the kidneys and testicles into the penis. This teaching was well-known in Muhammad's day, and may well explain why the Qur'an contains such an erroneous statement.
Waweza ona utofauti baina ya madai haya na ya Quran.
Sura 23:13-14 states that God places us 'as a drop (of seed) (nutfah) in a safe lodging; then fashioned from the drop a clot (alaqa), then fashioned from the clot a little lump (mugdah), then fashioned from the little clot bones, then clothed the bones with flesh, and then produced it as another creature'. 75:38 also says man becomes an alaqa and 96:2 says we came from alaq. We have to ask what the precise meaning of these words is in order to know whether or not the verses contain important scientific statements as Moore and others have claimed.
Maana za neno “Alaq” nilikwishazieleza kwenye post #443 hapo juu.

The use of nutfah elsewhere (e.g. 16:4, 18:37, 23:13, 35:11, 53:46, 75:37, 76:2, 80:19) makes it clear that it refers to semen. It is harder to understand what alaqa means,
Maana ya “Alaqa” nimezieleza post #443
and many different suggestions have been made: clot, small lump of blood, leech-like clot, and 'leech, suspended thing or blood clot' (Moore, op cit). The most widely accepted translation of alaqa is 'clot', but this is impossible, since there is no stage at which the embryo consists of a clot. Moore claims that it means 'leech', and goes on to argue that a 24-day old embryo resembles a leech in its appearance. In a hadith (or Muslim tradition), however, Muhammad claimed that the alaqa referred to the embryo between days 40 and 80.
Waweza i-quote hiyo hadithi hapa? Kwaajili ya rejea tu.

The third stage, mugdah means a morsel of flesh, and according to Muhammad refers to the embryo between days 80 and 120, when the embryo is actually much bigger than a bite-sized peice of flesh!

In fact the account of the different stages in embryology as described by the Qur'an is virtually identical to that taught by Galen, writing in Turkey around 150 A.D, who taught that the embryo developed in four stages. The first is an unformed white conceptus like semen, the second a bloody vascularised foetus, the third when other features are mapped out but not fully formed, and the fourth when all the organs are well formed and joints freely moveable. Either the author of the Qur'an knew this when writing the Qur'an, or else he was describing the clot which appears when a woman is having a miscarriage. Since we know that Muhammad had at least nine wives this is entirely possible, but it does mean that the alaqa is not the stage of embryological development that some would have us believe.
Madai yako pasina uthibitisho ni dhalili, maana huwezi dai (au niseme aliyeandika hoja hizi hawezi dai) ati kuna uwezekano dhana ya “Alaqa” Muhammad (SAW) aliitoa kwa kuona misacariage ya moja ya wake zake.
Much of the embryology in the Qur'an and Hadith can be traced directly back to the ancient Greeks. For example there is a hadith in which Muhammad says 'If a male's fluid prevails upon the female's substance, the child will be a male by Allah's decree, and when the substance of the female prevails upon the substance contributed by the male, a female child is formed.'[4]
Iweke hapa hii hadith na kitabu ilipotoka, kwaajili ya rejea mkuu.

It is one thing for the ancient Greeks to be teaching all this, but how do we know that the material was familiar to the Arabs of Muhammad's day? Ali at-Tabari's 'Paradise of Wisdom',[6] written in about 850 AD, says that he was following the rules set down by Hippocrates and Aristotle when he wrote his treatise. The intelligentsia of Muhammad's time were very familiar both with Greek and Indian medicine. Indeed, a major work on the history of embryology which is cited in the references in The Developing Human devotes over 60 pages to ancient Greek embryology and less than one page to Arabic embryology, concluding that the Qur'an is merely 'a seventh-century echo of Aristotle'. It is hardly surprising that the Islamic version of Prof Moore's book is not listed on the British Library catalogue and cannot be found in medical school libraries either in Britain or the US.
Kama nilivyosema, nadhani hoja iwe kwenye ukweli au upotefu wa hoja za Quran na si mfanano na elimu ya wagiriki wa kale.

In conclusion then, there is not a single statement contained in the Qur'an relating to modern embryology that is not either scientifically incorrect or which was well known through direct observation by the ancient Greek physicians many centuries before the Qur'an was written. Far from proving the alleged divine credentials of the Qur'an, its embryological statements actually provide evidence for its human origins
Binafsi andiko hili naliona limejaa mashaka, linakosa ukosoaji wa hoja zilizokuja juu ya ‘embryology’.
Ila naweza kuelewa kwa sababu mwandishi aliweka bayana kuwa anafanya ulinganifu wa aliyoyasema Muhammad (SAW) na ujuzi wa Wagiriki.
 
Wewe jamaa hauna unachoelewa. Kaisome kwanza quran kuhusu issa ujue alikuwa raia wa wapi kabla hujaja kumtetea Allah na muhammad.
Hivi mimi na wewe ni nani asiyeelewa?! Nimekuuliza maswali, lakini 99% umeshindwa kuyajibu!!

NARUDIA: Hii ni mada ya kiimani na sio suala la uraia!! Kama hoja yako ni kutokuwepo kwa habari za Issa nchini Israel... kuna tofauti ipi kati ya taarifa za Issa, Israel na taarifa za Yesu, Tanzania?

Jibu hapo nilipo-bold!!
 
Hivi mimi na wewe ni nani asiyeelewa?! Nimekuuliza maswali, lakini 99% umeshindwa kuyajibu!!

NARUDIA: Hii ni mada ya kiimani na sio suala la uraia!! Kama hoja yako ni kutokuwepo kwa habari za Issa nchini Israel... kuna tofauti ipi kati ya taarifa za Issa, Israel na taarifa za Yesu, Tanzania?

Jibu hapo nilipo-bold!!
Huyo Dada champion yupo kubishana tu, yupo tayari kwa lolote.
 
Hivi mimi na wewe ni nani asiyeelewa?! Nimekuuliza maswali, lakini 99% umeshindwa kuyajibu!!

NARUDIA: Hii ni mada ya kiimani na sio suala la uraia!! Kama hoja yako ni kutokuwepo kwa habari za Issa nchini Israel... kuna tofauti ipi kati ya taarifa za Issa, Israel na taarifa za Yesu, Tanzania?

Jibu hapo nilipo-bold!!
Wewe hata hujui kwamba issa wa kwenye quran alikuwa myahudi wa Israel huna ufahamu zaidi ya porojo.

Ukimaliza kurukaruka niletee ushahidi kwamba huyo issa ni mtu halisi aliyewahi kuishi Israel.
 
Back
Top Bottom