professional Driver
JF-Expert Member
- Sep 23, 2022
- 2,959
- 3,510
Wale sio waarabu tu maeneo ya iran na saudiaWaarabu wanamwitaje Yesu? Maeneo ya palestina na Israel anaitwa Yeshua.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wale sio waarabu tu maeneo ya iran na saudiaWaarabu wanamwitaje Yesu? Maeneo ya palestina na Israel anaitwa Yeshua.
Nyie waislamu kwenu mtu ni mwili wake ndio maana hata ahera yenu mtakuwa mnafanya ngono.Yesu ni mwana wa Mungu na Aliye mzaa Yesu ni nani
Alafu Mungu amesema kwake hakuna kubadilika je huyo alie amua kubadilika ni Mungu yupi
Pili Mungu ahis njaa lkn Yesu mpaka ibilisi alimjaribu alivyo ona njaa .
Siku tatu alizo kufa Mungu wenu Dunia ilimilikiwa na nani?
Walioandika biblia pia ni wayahudi kwahiyo wapo walioamini na wale waliopinga.We maya hudi wana mashaka mbona tena kwenye bibilia hiyo hiyo inaweka wazi
Sasa hapo si uingie google uone kiingereza imeandikwaje?Kwanza aya umekosea kuifanyia tarjama tupe screen shot tuone kama kuna sehemu kuna neno sperm
Kwani mtu ili ajulikane amekufa kitu gani kitakua kimetoka kwenye mwili wake ndio aonekane amekufa alafu alipo kufa yesu hapa kua na uongozi wa kiungu tena duniani maana alikufa mwili na roho piaNyie waislamu kwenu mtu ni mwili wake ndio maana hata ahera yenu mtakuwa mnafanya ngono.
Sisi wakristo ni roho tunaoishi kwenye mwili. Nikitoka kwenye mwili haimaanishi nime cease to exist.
Mungu kuuvaa mwili hakumbadilishi asili yake kwasababu yeye ni roho. Kilichoona njaa ni mwili wake.
Yesu ni Mwana wa Mungu tangu milele na sio kwasababu alipata mwili kwa Mariamu.
Na mwili wowote lazima uwe na roho hivyo ata wewe unamaanisha ni Mungu maana una roho hapo au aunaNyie waislamu kwenu mtu ni mwili wake ndio maana hata ahera yenu mtakuwa mnafanya ngono.
Sisi wakristo ni roho tunaoishi kwenye mwili. Nikitoka kwenye mwili haimaanishi nime cease to exist.
Mungu kuuvaa mwili hakumbadilishi asili yake kwasababu yeye ni roho. Kilichoona njaa ni mwili wake.
Yesu ni Mwana wa Mungu tangu milele na sio kwasababu alipata mwili kwa Mariamu.
Na walio pinga mkawapa nafasi ya kuiandika hiyo bibilia bila wasiwasiWalioandika biblia pia ni wayahudi kwahiyo wapo walioamini na wale waliopinga.
Ndani ya biblia kuna mpaka maneno ya shetani, mapepo, wanadamu, punda na Mungu mwenyewe hivyo unatakiwa kuisoma kwa uelewa.Hapo umemaanisha kua bibilia sio neno la Mungu ni mtu tu anaamua kuandika anacho taka aongope asema kweli shauri yake na wewe ndiyo unamsikiliza
Alafu sisi ni watu lazima tufanye tendo la ndoa kwani nyinyi hamfanyi kwa sababu ni rohoNyie waislamu kwenu mtu ni mwili wake ndio maana hata ahera yenu mtakuwa mnafanya ngono.
Sisi wakristo ni roho tunaoishi kwenye mwili. Nikitoka kwenye mwili haimaanishi nime cease to exist.
Mungu kuuvaa mwili hakumbadilishi asili yake kwasababu yeye ni roho. Kilichoona njaa ni mwili wake.
Yesu ni Mwana wa Mungu tangu milele na sio kwasababu alipata mwili kwa Mariamu.
Yesu alitoka kwenye mwili wake lakini bado alikuwa hai katika ulimwengu wa roho. Mwili unahesabika kwamba umekufa iwapo roho imetoka.Kwani mtu ili ajulikane amekufa kitu gani kitakua kimetoka kwenye mwili wake ndio aonekane amekufa alafu alipo kufa yesu hapa kua na uongozi wa kiungu tena duniani maana alikufa mwili na roho pia
Yesu alitoka kwenye mwili wake lakini bado alikuwa hai katika ulimwengu wa roho. Mwili unahesabika kwamba umekufa iwapo roho imetoka.Kwani mtu ili ajulikane amekufa kitu gani kitakua kimetoka kwenye mwili wake ndio aonekane amekufa alafu alipo kufa yesu hapa kua na uongozi wa kiungu tena duniani maana alikufa mwili na roho pia
Jibu swali basi bibilia ni kitabu cha Mungu au sioNdani ya biblia kuna mpaka maneno ya shetani, mapepo, wanadamu, punda na Mungu mwenyewe hivyo unatakiwa kuisoma kwa uelewa.
Kitabu chote kinao ujumbe unaofanana ambao unahusisha uumbaji, kuingia kwa dhambi, mpango wa ukombozi na uzima wa milele.
Nipe andiko linalosema alikuwa hai badoYesu alitoka kwenye mwili wake lakini bado alikuwa hai katika ulimwengu wa roho. Mwili unahesabika kwamba umekufa iwapo roho imetoka.
Mungu ni Roho na mwanadamu ni kiumbe cha kiroho. (God is Spirit and man is a spirit being).Na mwili wowote lazima uwe na roho hivyo ata wewe unamaanisha ni Mungu maana una roho hapo au auna
Walioandika ni wanafunzi wa Yesu waliomwamini yeye.Na walio pinga mkawapa nafasi ya kuiandika hiyo bibilia bila wasiwasi
Biblia ni kitabu cha Mungu. Kimeandikwa kwa uvuvio wa Roho Mtakatifu.Jibu swali basi bibilia ni kitabu cha Mungu au sio
The clearest indication we have in Scripture of where Jesus was between His death and resurrection comes in His conversation on the cross with one of the thieves crucified next to Him. The believing thief asks to be remembered when Jesus comes into His kingdom (Luke 23:42), and Jesus replies, “Truly I tell you, today you will be with me in paradise” (verse 43). So, after His death, Jesus went to the place of blessing where God is—heaven. And that’s where the believing thief went, too.Nipe andiko linalosema alikuwa hai bado
Kitabu cha wagalatia pia kime andikwa na wanafunzi wake yesuWalioandika ni wanafunzi wa Yesu waliomwamini yeye.
Unamaanisha kua je mwili bila ya roho unaweza fanya kaziMungu ni Roho na mwanadamu ni kiumbe cha kiroho. (God is Spirit and man is a spirit being).
Na kama ni uvuvio kwanini kina kinzana chenyewe kwa chenyeweBiblia ni kitabu cha Mungu. Kimeandikwa kwa uvuvio wa Roho Mtakatifu.