Wanasayansi naomba mnisaidie maana Quran inaniambia mtoto anaumbwa baada ya sperm kuingia kwenye damu iliyoganda

Wanasayansi naomba mnisaidie maana Quran inaniambia mtoto anaumbwa baada ya sperm kuingia kwenye damu iliyoganda

Wamesema ni tone la nini ? Hao Waislamu wote walisema ni tone ni kina nani ?
Nimesoma translation kumi wote wamesema tone , nimesoma translation ya neno kwa neno imesema tone
Wewe stone kisser wa dongobesh unabisha nini
 
Hawana free will ila walimpinga Allah wakati anamtengeneza Adam , na walikuwa wakweli kuliko Allah
Kichwa maji kijana. Walimpinga Allah kwenye nini ? Waliamrishwa kufanya jambo ? Wao walitoa maoni katika like walichokidhani.

Kabla hujajadili jambo hakikisha unajua maana ya jambo husika.
 
Sasa hapo kitu gani kimekinzana? Tohara ya mwilini katika agano la kale ni ishara ambayo katika agano jipya ni tohara ya moyo.
Mbona kaka jambo liko wazi tohara au uwelewi paulo anakataa kutahiriwa wakati yesu katahiriwa au maandiko uyaoni au Mungu kaamua kuya update maneno yake mwenyewe alafu tohara lazima iwe mwilini na moyo pia au mwili waweza kua mchafu na moyo ukawa msafi yani mwili uwe unazini alafu moyo wenyewe uka bado uko safi duh
 
Nimesoma translation kumi wote wamesema tone , nimesoma translation ya neno kwa neno imesema tone
Wewe stone kisser wa dongobesh unabisha nini
Wamesema ni tone la nani ?

Wataje hao uliosoma hiyo tarjama kwao.
 
Kichwa maji kijana. Walimpinga Allah kwenye nini ? Waliamrishwa kufanya jambo ? Wao walitoa maoni katika like walichokidhani.

Kabla hujajadili jambo hakikisha unajua maana ya jambo husika.
Waliwezaje kutoa maoni kama hawana free will

Na walisema kweli walinuaje mbele?
 
Mimi ni mgalatia lakini ninaona kwenye tafsiri yako ya kiswahili kutoka Kiingereza umeenda kupotosha zaidi baadhi ya maneno...
Mimi sijatafsiri chochote hapo zaidi ya kukopi tafsiri waliyofanya wanazuoni wa kiislamu. Ni kweli aliyetafsiri kiswahili alichapia ndio maana mimi nimetumia ya kiingereza kujenga hoja.
 
Hilo fumbo huenda lisifumbuliwe leo,

Jibu likaja baada ya miaka 1000 ijayo.

Wakati huo wa zamani hata watu waliulizana iweje Mungu aweze kuwafufuwa binaadamu wote wanaokufa,
Je atawajuwaje?wakati wapo wanaokufa na miili yao kuharibika?

Ndy hapo ikaja AYA ya Qurain,,

"NITAWAFUFUENI KILA MMOJA BILA KUPOTEZA ALAMA ZENU ZA VIDOLE."

hakika fumbo hili limevumbuliwa kizazi cha hivi karibuni kwamba kila mwanadamu ana alama za vidole ambazo haziingiliani na mwingine,,

Alama za vidole zipo kwenye Qurain.
Miaka 600 iliyopita.
Kwa hiyo unamaanisha binadamu tunaoishi sasa tumefufuliwa kutoka wafu waliokwisha danja long time ago?
 
Waliwezaje kutoa maoni kama hawana free will

Na walisema kweli walinuaje mbele?
Huo uwezo wote walipewa na Allah, ila Kuna vitu walifichwa na Allah kutokana na hekima za Allah.

Swali langu, kutoa au kujibu hoja kunahusiana vipi na free will ?
 
Soul by meaning the spiritual part of a person that is believed to give life to the body and in many religions is believed to live forever
Pigia mstari spiritual hapo uje
Alafu ujamalizia kua nyinyi mkisha enda kwenye ufalme wa Mungu hamtafanya tendo la ndoa
Nafsi inapata uhai kutoka kwenye roho hivyo itaishi milele pamoja na roho. Roho ni ile pumzi ya Mungu inayofanya mwanadamu awe hai.

Mbinguni tutakuwa kama malaika kwasababu hakutakuwa na jinsia na hivyo hakuna ndoa wala tendo la ndoa.
 
Huo uwezo wote walipewa na Allah, ila Kuna vitu walifichwa na Allah kutokana na hekima za Allah.

Swali langu, kutoa au kujibu hoja kunahusiana vipi na free will ?
Stone kisser mnachekesha , Yani Allah Kuna mda anawapa uwezo na Kuna mda anapoka uwezo 😂😂😂

Walikuwa wakweli kuliko allah , walinuaje mbele ?
 
Alafu usitwambie maswala ya kanuni hapa aya yetu hukutaka kusikiliza wala kuambiwa kua quran aisomwi kama gazeti leo kwenye kitabu chako utwambie kanuni kwani wakati unaongea mwanzo ulikuwa ujui kua vitabu vya dini vina miongozo yake ya kutafsiriwa
Kwenye biblia huwezi kutengeneza doctrine (fundisho) bila kuangalia consistency throughout the book. Ndio maana mstari mmoja hauwezi kutumika kama chanzo cha fundisho isipokuwa mpaka iwe angalau mitatu.
 
Wewe ni stone kisser, usijifiche ,
Koran haijaandika sperm imesema tone,

Alafu msijifanye nyie ndio mnajua zaidi ya walio tafsir , Yani Dunia nzima waislamu wamesema tone ila Kuna wewe stone kisser wa dongobesh unasema wamekosea
Nahitaji kuelimishwa na siyo kudhalilishwa.

Ukristo wangu haujanifunza kudharau other existance.

Jukumu langu kubwa ni kuuhubiri upendo na siyo kulinganisha dini. Unavyojifanya mjuaji sana kwa kujivika joho la kukosoa dini zingine hakukufanyi kupata taji Mbinguni bali unajiweka kwenye nafasi ya kipekee kwenye baraza la wafanya mizaha.


Matendo yangu yatashuhudia alichokiweka Roho wa Bwana ndani yangu na siyo ujivuni na ujuaji usio na upeo
 
engineer soma hiyo
IMG_20221002_075817.jpg
 
Kichwa maji kijana. Walimpinga Allah kwenye nini ? Waliamrishwa kufanya jambo ? Wao walitoa maoni katika like walichokidhani.

Kabla hujajadili jambo hakikisha unajua maana ya jambo husika.
Hawawezi kuwa na maoni tofauti kama hawana hiari (freewill)
 
Nafsi inapata uhai kutoka kwenye roho hivyo itaishi milele pamoja na roho. Roho ni ile pumzi ya Mungu inayofanya mwanadamu awe hai.

Mbinguni tutakuwa kama malaika kwasababu hakutakuwa na jinsia na hivyo hakuna ndoa wala tendo la ndoa.
Kwa mujibu wako
 
Kwa nini kila siku mnabishana kuhusu dini, huku mkujua kabisa hakuna mshindi.

Ndugu zangu kila mtu abaki na imani yake anayoona ni sahihi, na aheshimu kile anachoamini mwingine.

Acheni malumbano yasiyokuwa na msingi mnapata nini?
 
Mbona kaka jambo liko wazi tohara au uwelewi paulo anakataa kutahiriwa wakati yesu katahiriwa au maandiko uyaoni au Mungu kaamua kuya update maneno yake mwenyewe alafu tohara lazima iwe mwilini na moyo pia au mwili waweza kua mchafu na moyo ukawa msafi yani mwili uwe unazini alafu moyo wenyewe uka bado uko safi duh
Tohara ya moyo ni kupewa mpya wa kiroho pale unapoumbwa kuwa kiumbe kipya ndani ya Kristo Yesu.

Tohara ya kimwili sio amri kwa kanisa. Ni jambo zuri kiafya na wakristo wote ulimwenguni wanafanya lakini sio kama agizo.

Yesu alikuwa myahudi chini ya torati hivyo ilikuwa lazima aifuate torati yote. Agano jipya limeanza baada ya Yesu Kristo kufa na kufufuka.
 
Tohara ya moyo ni kupewa mpya wa kiroho pale unapoumbwa kuwa kiumbe kipya ndani ya Kristo Yesu.

Tohara ya kimwili sio amri kwa kanisa. Ni jambo zuri kiafya na wakristo wote ulimwenguni wanafanya lakini sio kama agizo.

Yesu alikuwa myahudi chini ya torati hivyo ilikuwa lazima aifuate torati yote. Agano jipya limeanza baada ya Yesu Kristo kufa na kufufuka.
Mh kazi kweli kweli baada ya yesu kufa na kufufuka alikaa muda gani duniani hapa kabla ya kupaa
 
Back
Top Bottom