Walimpinga wazi wakamwambia kwa Nini unatengeneza kiumbe ambacho kita shed blood, Allah akatoa Boko 😂😂 akasema nitajieni majina ya vitu Yani majina kayaweka yeye alafu anasema Malaika wamtajie 😂😂😂Kichwa maji kijana. Walimpinga Allah kwenye nini ? Waliamrishwa kufanya jambo ? Wao walitoa maoni katika like walichokidhani.
Kabla hujajadili jambo hakikisha unajua maana ya jambo husika.