Wanasayansi naomba mnisaidie maana Quran inaniambia mtoto anaumbwa baada ya sperm kuingia kwenye damu iliyoganda

Kipindi kile hayo maeneo niliyokutajia ndio ilikuwa dunia. Wanafunzi wa hao mitume waliendeleza injili mpaka ikafika dunia nzima. Wao walianzisha na wengine wakaendeleza.
 
Haya ni majibu ya Kijinga kama ujinga mwingine. Unatakiwa kujibu sayansi inasemaje, siyo uniandikie Timothy unanikubu ujinga huku ukijua mimi siyo muumini wa bibilia.
 

Big brain,thank you for represenation
 
Kauli ya Paulo haikuwa na tatizo lolote. Ni kauli iliyojaa hekima.
No sisemi mimi sema tu ukweli je Mungu ana chembe hata ya upumbavu na je Mungu anachembe hata ya udhaifu kama jibu ndio basi paulo yuko sahihi na kama siyo basi Paulo atakua kakupa boko hapo
 
Lete procedure hapa za uumbaji sio unaongea tu kuna mtu hapa alikwambia unapo leta mada ue unauwezo wa kuleta usahihi wake wewe huo usahihi wake pia huu leti inamaanisha pia upo kiushindani na si elimu so huna jibu mpaka sasa linalo kutosheleza
Procedure za kutunga mimba hamna kitu kama sperm kugeuka damu iliyoganda wala nyama kugeuka mifupa.
 
Haya ni majibu ya Kijinga kama ujinga mwingine. Unatakiwa kujibu sayansi inasemaje, siyo uniandikie Timothy unanikubu ujinga huku ukijua mimi siyo muumini wa bibilia.
Abdool sorry sikujua wewe ni mfuasi wa mutah
 
Biblia imemuachia mwanadamu ajifunze elimu mbalimbali na ndio maana Mungu amewapa wanadamu akili.

Mungu hakuelezea namna ya kutengeneza magari au ndege ila aliweka kila kitu available, ni suala la mwanadamu kujishughulisha na kuvumbua.
Hujanijibu ipasavyo.

Ndo maana ikaja quran,kitabu cha mwisho kilicho weka kila kitu sawa.
 
Hujanijibu ipasavyo.

Ndo maana ikaja quran,kitabu cha mwisho kilicho weka kila kitu sawa.
Kimekuja kusema mifupa tupu skeleton ipo ndani ya mji wa uzazi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mudy angekuwepo Leo hii angeshakula kitanzi shingoni
 
Kazi yangu nimemaliza. Ukiwa mjinga na muongo na malizana na wewe kwa ushahidi na hoja zenye nguvu.

Uje na ujinga mwingine tena, nikutie adabu kama hivi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…