Wanasayansi naomba mnisaidie maana Quran inaniambia mtoto anaumbwa baada ya sperm kuingia kwenye damu iliyoganda

Kwa hiyo hako kabinti kalibalehe miaka nane???? Mwanao akibalehe akiwa na miaka nane utamruhusu aolewe akiwa na miaka Tisa?Haya mambo yanatia Sana ukakasi kuyataja lakini unajisemea tu Saba bu hujatafakari
 
Dini Yako unaisoma na kuelewa
Allah amesema wazi dhambi zote za waislamu atawatushwa wakristo , ata uwe na dhambi kiasi gani anawabebesha wakristo wewe muislamu una kuwa safi
 
Acha uongo , Muhammad kasema ni chem chem ya tope na wala sio bahari , na pia kasema juu ya ayo maji Allah ameweka kiti na Jua linaongea linaomba ruhusa kila siku kwa Allah
 
Mkuu tukiacha ubishi , hakuna kitabu cha dini kinacho eleza uumbaji isipokuwa Qur-an, pili kime jitosheleza pia kimesheheni sayansi kubwa, hv ninyinyi majiulizi kwa nini Qur-an haibadiliki?
Nafikiri kabla hujahitimisha hivyo ungetoa majibu ya hii sintofahamu ya uumbaji wa mtu kwanza.ni muda gani mtoto tumboni anakuwa mifupa then anakuwa covered na nyama?
 
Uliyo yaandika yote ni uongo ndiyo maana nimekuomba ushahidi umeshindwa kuuweka.

Sasa swali langu ni kuwa kwanini unaandika uongo ?
Bahati mbaya mpaka muda huu haujaweza kuonesha uongo wenyewe.
 
Tenga muda isome Quran vzr itakufunza kila kitu na Quran huwa inajitafsiri yenyewe hiyo aya uliyoisoma kuna nyingine imefafanua kila kitu
Tafuta shekhe akufundishe wewe mwenyewe utakuja thibitisha
Sasa wewe ambaye unao mashehe hawajaweza kukukaririsha quran ili utufundishe hapa?
 
Mwambie bibi yako aende kanisani uliyo yataka utayapata tu Yesu kalaaniwa bwana unakataa maandiko yako we vipi acha ujinga kabisa na usirudie kutuletea mada za mapichapicha humu
Sitaacha kuwaletea mada motomoto mpaka muache kumfuata illiterate fellow wa mapangoni.
 
Huna akili wewe, yaan Mungu aamue kuzaliwa ili aje awakomboe aliwaumba yeye mwenyewe? We una akili kichwani humo??
Neno la msalaba kwa wanaopotea ni upuuzi bali kwetu sisi tunaookolewa ni nguvu ya Mungu.
 
Kwahiyo Allah anafanya guessing na kuchanganya mambo. Anasahau mwanzo alisema nini na baadae anabadilisha. Hii sio tabia ya Mungu wa kweli.
 
Elezeeni damu inatoka wapi??
 
Acha dini za watu fuata yako nakama wewe ni muislamu muulize ostadh au shekhe ana majibu yote
 
Kwahiyo Allah ndio akamwambia muhammad kwamba kitendo hicho ndio sawasawa na jua kuzama kwenye matope?
 
Uislamu mnaujua kweli?
Kuna funga ukifunya unasamehewa dhambi zote zilizo pita na mwaka mzima unaokuja , yani Allah anakuoa license to sin
Mwaka ulipita kuna mwaka unakuja au hujui ilo na haja sema mnasemehewa milele pia hatu mfuati mtu sis atusamehe dhambi zetu
 
Mwaka ulipita kuna mwaka unakuja au hujui ilo na haja sema mnasemehewa milele pia hatu mfuati mtu sis atusamehe dhambi zetu
Funga ya siku moja ,Allah anakupa leseni ya dhambi kwa mwaka mzima πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ someni dini yenu la sivyo nitaendelea kuwaumbua humu
 
Ni mjinga gani kakwambia Mungu anazaliwa ?

Alalfu dini ya ng'ombe [emoji23] unajifanya huijui nenda kasome Allah kasema anafufua watu kwa kuwpiga na dudu ya ng'ombe [emoji23][emoji23] kasome kisa Cha muislamu Musa
Kha yesu ajazaliwa tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…