Wanasayansi naomba mnisaidie maana Quran inaniambia mtoto anaumbwa baada ya sperm kuingia kwenye damu iliyoganda

Never argue with an idiot. They will drag you down to their level and beat you with experience…..I feel sorry for u🙃
 
Jua halizami wewe ficha ujinga.

Jua lipo palepale tangu unazaliwa Hadi unakufa. Halitingishiki Wala haliyimbi hata cm 2


Fikicha akili
 
Kuandika tu hujui ndio utaujua Uislam

Mnasema Uislamu ni dini ya kweli na dini ya amani.
Huku mnajua kuna mambo yapo kwenye uislamu yanasababisha uislamu usionekane kama ni dini ya kweli

Jiulize je dini ya kweli inaruhusu vipi mtume wake mwenye miaka zaidi ya 50 kuoa mtoto wa miaka 6 ?

Hata wewe mwenyewe huwezi kubali binti yako wa miaka 6 aolewe tena na mzee wa miaka 50.
Tena alifanya tendo la ndoa na huyo mtoto akiwa na miaka 9 ( hu sio ubakaji kweli?)

Jiulize Dini ya kweli inaruhusu ndoa ya masaa kazaa tu ( mutaa) tena baada ya kumaliza kupigana miti mnalipana pesa kisha ndoa inaisha ?

Dini ya kweli inawafundisha muwaue watu wa dini zingine wasiomuamini mtumwe wenu.

Dini ya kweli inaruhusu utumwa. Na tena inawaruhusu wanaume wa kiislam kuwatombaaz watumwa mtakaowapata wa kike. ( dini ina promote uzinzi na ubakaji)

Dini ya kweli inaruhusu wanawake wapigwe na waume zao. Yaani wanawake kuwapiga na kuwabonda ni ruhksa ,

Dini ya kweli inakataza waumini wake wasijenge urafiki na hata kupigana na watu wa dini zingine?
 
Jua linazama kwenye Chemchemu ya matope.

Imagine jua na ukali ule LIKAZAME KWENYE Chemchemu, itakuwa ni Chemchemu (maji)kweli.!!!!!!

SI yatakauka kwa sekude tu.

Babu Moodie Alikuwa JONGO MNO
 
Huyo anayesema "Tuka", "Tuka", Wapo wangapi?
 
achana na mambo ya kuigiza ya vitabu hiyo. Just google. Mudi hakujua science yoyote, achana na vitu kama hivyo
najua unajua what happens ila unataka reaction ya wale watu

Anatafuta tu ugomvi wakati Usikute ni kitu anajua kabisa
 
Tatizo huna akili halafu hujui km huna akili ...wewe mvaa rozari huna mental ya kukosoa Quran..

Jews na ungwingwi wao wote wameishindwa...Chukua hizo sperm zako halafu Anika juani then ukae baada ya dakika uone km hazigandi...
 
Story nyingi ndani ya Biblia ni fiction wewe hauwezi ukaniambia watu Zaidi ya Mil 2 walipita ktk ya Bahari yenye urefu Km 1400+ ndani Ya Usiku Mmoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…