professional Driver
JF-Expert Member
- Sep 23, 2022
- 2,959
- 3,510
Pia malizia kwa kulaaniwa kwake mmefanyaje...Hakika aliutwaa udhaifu wetu na akajitwika fadhaa zetu. Kwa kupigwa kwake sisi tumepona.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pia malizia kwa kulaaniwa kwake mmefanyaje...Hakika aliutwaa udhaifu wetu na akajitwika fadhaa zetu. Kwa kupigwa kwake sisi tumepona.
Tumepata baraka..Pia malizia kwa kulaaniwa kwake mmefanyaje...
Nyinyi wagalatia ni wa kuonewa huruma sanaYohana 1:1-3
1. Hapo mwanzo, kabla ya kuwapo kitu kingine cho chote, aliku wapo Neno. Huyo Neno alikuwa pamoja na Mungu, naye alikuwa Mungu.
2 Tangu mwanzo Neno amekuwa na Mungu.
3 Vitu vyote viliumbwa na yeye, wala hakuna cho chote kilichoumbwa ambacho hakukiumba.
Kwahiyo unakubaliana na mwandishi kwamba Mark is the most accurate gospel? Do you believe what's written in the book of Mark?Matthew and Luke follow the version of events in Mark, which is thought by scholars to be the earliest and most historically accurate Gospel.
Mkuu hapo ndipo munapoa toa credits wenyewe kwa Quran , narudia na pia nakushauri baki na imani yako maana vitu vingine havitaji uwe na roho mtakatifu wala maji ya baraka ili uvielewe, narudia hakuna kitabu cha dini kinachoelezea uumbaji wa mwanadamu , maumbile isipokua Quran, sasa kama unahisi kipo kitabu cha kiimani kinachoelezea hili jambo ndio ukilete hapa ili watu wapate faida ,Quran ni mkusanyiko wa stori za kitaa za enzi zile na plagiarism ya maandiko ya wayahudi na wakristo.
Inashangaza sana watu kusema muhammad ni nabii na mtume wakati alikuwa anakopi vitabu na elimu iliyokuwepo.
Mtume huyo aliyesema sperm zinatokea sehemu kati ya mbavu na uti wa mgongo?😂 Tena anasema damu iliyoganda inageuka kuwa nyama, halafu nyama inakuwa mifupa ambayo baadae inavalishwa nyama??🤣🤣Mkuu hapo ndipo munapoa toa credits wenyewe kwa Quran , narudia na pia nakushauri baki na imani yako maana vitu vingine havitaji uwe na roho mtakatifu wala maji ya baraka ili uvielewe, narudia hakuna kitabu cha dini kinachoelezea uumbaji wa mwanadamu , maumbile isipokua Quran, sasa kama unahisi kipo kitabu cha kiimani kinachoelezea hili jambo ndio ukilete hapa ili watu wapate faida ,
Note mkuu mtume alifaulu tena sna ,
Mkuu tatizo lako wewe ni mbishani tena ni mbishi ila upo empty , kuna muandishi humu humu jamii forum ana usifia uislamu ingawaje si muislamu, hyo sayansi yenyewe tu inaufuata uislamu sembuse hvo vitabu vya kuchakachuliwa kila ma boss wa kipenda wana badili mtaala,Manuscripts zetu zote zipo wazi kwenye library pale Vatican na London. Humo utaona yote aliyokopi Muhammad.
Acha kuleta porojo zako. Soma jibu nimekuandikia hapo juu kuhusu udanganyifu mkubwa wa Allah.Mkuu tatizo lako wewe ni mbishani tena ni mbishi ila upo empty , kuna muandishi humu humu jamii forum ana usifia uislamu ingawaje si muislamu, hyo sayansi yenyewe tu inaufuata uislamu sembuse hvo vitabu vya kuchakachuliwa kila ma boss wa kipenda wana badili mtaala,
Eti bibilia inachezewa chezewa hakuna hata wasi wasi DahBiblia ipo moja tu kwa wakristo. Wakatoliki wanaongeza vitabu kadhaa kimakosa.
Alafu nije niseme bibilia kitabu cha Mungu labda alie laaniwaEti bibilia inachezewa chezewa hakuna hata wasi wasi Dah
Dogo, quran manuscripts mnazitumia ni zile Vatican wameandika na kuwapatia.Alafu nije niseme bibilia kitabu cha Mungu labda alie laaniwa
Sasa kama kweli wewe una high IQ kwa nini usipingane na hao wenzako wanao zidisha vitabu vyenu?, alafu eti unaongopa watu tu , hilo ndio kosa la wakristo toka kifo cha yesu ni magumashi hadi hii leo, hapo2 kwanza nchekeeeeBiblia ipo moja tu kwa wakristo. Wakatoliki wanaongeza vitabu kadhaa kimakosa.
Ungeleta tu hizo manuscript ili upopolewe vizuriDogo, quran manuscripts mnazitumia ni zile Vatican wameandika na kuwapatia.
Sasa wewe unasema na ushahidi hunaEleza kwanini manuscripts zenu wanazo wazungu na hazipo mecca na medina.
Biblia sahihi inapatikana kwenye maduka kila mahali hivyo hakuna sababu ya kupingana na hao walioamua kuongeza vitabu vyao.Sasa kama kweli wewe una high IQ kwa nini usipingane na hao wenzako wanao zidisha vitabu vyenu?, alafu eti unaongopa watu tu , hilo ndio kosa la wakristo toka kifo cha yesu ni magumashi hadi hii leo, hapo2 kwanza nchekeeee
Eleza kwanini manuscripts za quran wanazo wazungu. Kwanini hazipo mecca na medina? Mnajuaje kama ndio zilizokuwepo zamani?Ungeleta tu hizo manuscript ili upopolewe vizuri
Eleza kwanini manuscripts za quran wanazo wazungu. Kwanini hazipo mecca na medina? Mnajuaje kama ndio zilizokuwepo zamani?Sasa wewe unasema na ushahidi huna
Mkuu mimi nakusihi acha hayo mambo, acha huu uzi , huna lolote ujualo bali ni wivu tu wa imani, Mimi nina heshimu biblia kama kitabu cha wakristo na ninao marafiki wa kristo ila biiblia serious kimejaa magumashi, hakisemi ukweli na kinakuweka njia panda, aya chache tu ndio zinazosema ukweli ,Dogo, quran manuscripts mnazitumia ni zile Vatican wameandika na kuwapatia.
Wewe uliesema ziko vatikan zilete hapa alaf ipitie video hapo JUU usisahau tuEleza kwanini manuscripts za quran wanazo wazungu. Kwanini hazipo mecca na medina? Mnajuaje kama ndio zilizokuwepo zamani?
Eleza kwanini manuscripts za quran wanazo wazungu. Kwanini hazipo mecca na medina? Mnajuaje kama ndio zilizokuwepo zamani?Wewe uliesema ziko vatikan zilete hapa alaf ipitie video hapo JUU usisahau tu