Lugha gani?Mbona unabadili aya katika kuzielezea?
Kwanza anza aya ya 13.
Hakafu wapi pameandikwa kama ulivyoweka wewe? "Sperm inaingia kwenye damu iliyoganda?"
Wewe haujanielewa Muislam haruhusiwi kuufuata maneno ya mtutu yoyote zaidi ya Quran na hakuna mwanazuoni wa ukweli aliyeongeza maneno katika Aya za QuranNimekuuliza swali rahisi Sana unaandika insha
Unawatambua wanazuoni wa kiislamu
Swali halikuitaji insha ya maneno 100Wewe haujanielewa Muislam haruhusiwi kuufuata maneno ya mtutu yoyote zaidi ya Quran na hakuna mwanazuoni wa ukweli aliyeongeza maneno katika Aya za Quran
Nimekuambia hiyo Aya imeishia katika nukta kama Kuna maneno yameongezeka hapo hizo ni ngonjera tu
Pia Quran imekuja kwa rugha ya kiarabu kama ilivyo katika kingereza katika sentence Kuna pronounce za He na She na katika kiaribu hivyo hivyo
Nenda ukatafute mtu anaejua kiaribu akutafsirie hizo Aya neno kwa neno ili uone kama utakutana na pronounce yoyote hapo inayomuhusu mwanamke
Na mwisho kwa Muislam sio maneno ya wanazuoni tu hata hizo hadithi za mtume Muislam halazimishi kuzifuta Yani option ukiitaka unafuata kama haumi unaacha na haupati dhambi
Kama unajua kiarabu karibu tuende neno kwa neno alafu unionyeshe hiyo pronounce inayomuhu mwanamke hapo kama ipo
Wewe nae ndio basi kuwatambua na kutafsiri aya unavyo taka wewe sio kigezo mlango wa elimu ya dini ya uislamu haukufungwaSwali halikuitaji insha ya maneno 100
Ilikuwa ni ndio nawatambua na hapana siwatambui
Siwezi kuleta mwanazuoni kama Wewe jibu lako litakuwa siwatambui ni kupoteza mda ,Wewe nae ndio basi kuwatambua na kutafsiri aya unavyo taka wewe sio kigezo mlango wa elimu ya dini ya uislamu haukufungwa
Cha msingi tuletee iyo tafsiri yako iliyo taja skeleton tu au aya kumtaja mwanamke katika iyo aya
Kama Huna usitubughudhi kufanya unalo taka wewe
Uliulizwa swali la kutaja jina tu umekimbia au umesahau tukuulize tena ili muyafute
Lete tafsiri upopolewe tuna watambua tena hasa na hawako kama akina luka na paulo wale hawajui na wala hawaja wahi kumtusi Mungu.Siwezi kuleta mwanazuoni kama Wewe jibu lako litakuwa siwatambui ni kupoteza mda ,
Unawatambua wanazuoni wa kiislamu wanaoelezea Koran ujibu tu ndio au hapana ili tusipoteze mda
Kwanza wewe ulipewa mpaka pdf umeimaliza kusoma au unahisi tumesahauSiwezi kuleta mwanazuoni kama Wewe jibu lako litakuwa siwatambui ni kupoteza mda ,
Unawatambua wanazuoni wa kiislamu wanaoelezea Koran ujibu tu ndio au hapana ili tusipoteze mda
Hii ni kwa mujibu wako au wa uislam?Funga ni jambo la kwenye mwili
Sina hakika kama unasoma ninachokutumia, ingekuwa ndiyo basi usingeandika hiki.Paulo hajaharamisha tohara ila anaelezea kwamba haupati haki ndani ya Kristo Yesu kwasababu umefanya tohara.
Hili ni fundisho la neno la Mungu. Jisomee mistari hapa chini:
Romans 8:1-4
1 There is therefore now no condemnation to those who are in Christ Jesus, who[a] do not walk according to the flesh, but according to the Spirit.
2 For the law of the Spirit of life in Christ Jesus has made me free from the law of sin and death.
3 For what the law could not do in that it was weak through the flesh, God did by sending His own Son in the likeness of sinful flesh, on account of sin: He condemned sin in the flesh,
4 that the righteous requirement of the law might be fulfilled in us who do not walk according to the flesh but according to the Spirit
Ephesians 2:8
For by grace you have been saved through faith. And this is not your own doing; it is the gift of God,
Romans 6:14
For sin shall not have dominion over you, for you are not under law but under grace
Hapo hakuna agizo kwa kanisa. Mungu anaongea na wayahudi. Hiyo ni ishara iliyokuwa muhimu chini ya agano la kale. Kumbuka agano lile limekuja kukamilishwa ndani ya Kristo Yesu. Soma hiyo mistari hapo juu.
Nipe majina ya kama watano ,unaowakubali maelezo yaoLete tafsiri upopolewe tuna watambua tena hasa na hawako kama akina luka na paulo wale hawajui na wala hawaja wahi kumtusi Mungu.
Tafsiri ulio pewa ushaimaliza? Au ujaelewa kilicho tafsiriwa ndio unataka tafsiri zako za kuokota okota.Nipe majina ya kama watano ,unaowakubali maelezo yao
Sio swali langu ,nimetaka skola unaowaamini kama wa 5 ili nikiweka usije kuanza kuwapinga tenaTafsiri ulio pewa ushaimaliza? Au ujaelewa kilicho tafsiriwa ndio unataka tafsiri zako za kuokota okota.
Kipi una lazimisha umemaliza tafsiri ya ibn kathiir ulio pewaSio swali langu ,nimetaka skola unaowaamini kama wa 5 ili nikiweka usije kuanza kuwapinga tena
Soma komenti zilizotangulia ili tusirudie mambo.Hebu weka hapa hiyo aya ya Quran iliosema hivyo. Naona kama umwkrupuka kuleta mada hapa bila ya kuielewa hizo aya.
Mahali seminal vesicle ilipo juu yake kuna utumbo mpana na sio mifupa.Katika hiyo diagram unayoonyesha ilipo Seminal vesicle Kuna swali nilimuuliza Championship hajalijibu akanikinikimbia Sasa inaonekana wewe ulielewa zaidi inabidi umjibie hili swali
Ukitoka katika Seminal vesicle kuelekea juu unakutana na mfupa gani? na ukielekea kulia au kushoto unakutana na mfupa gani?
Hoja hapa ambayo ni kubwa zaidi ni kwamba damu iliyoganda inaishi ndani ya tumbo la uzazi la mwanamke kwa miezi minne ndipo Allah aweke pumzi.Mbona unabadili aya katika kuzielezea?
Kwanza anza aya ya 13.
Hakafu wapi pameandikwa kama ulivyoweka wewe? "Sperm inaingia kwenye damu iliyoganda?"
Hamna kinachobadilika zaidi ya kwamba mnaacha kula mchana halafu mnakula usiku kucha.Hii ni kwa mujibu wako au wa uislam?
Halafu maswali mengine niliyokuuliza mbona hujibu?
Na vipi kuhusu swala?
Wajua sheria zote za uislamu
Basi inaonesha hauelewi chochote kuhusu maswali yako na ukristo ni nini.Sina hakika kama unasoma ninachokutumia, ingekuwa ndiyo basi usingeandika hiki.
Kwahiyo sperm inakuwa damu iliyoganda?kuwa inamaanisha next/baada............kiswahili kimekuacha