Wanasayansi naomba mnisaidie maana Quran inaniambia mtoto anaumbwa baada ya sperm kuingia kwenye damu iliyoganda

hii hoja yako ni mufilisi ni yakusimulia watoto wa la kwanza mtoto ananunuliwa hospitali. elimu ya kumpata mtoto ipo sahihi kama itabadilika basi ni katika molecular level ila cellular level hamn kipya. so acha kulazimisha hadithi za mtu wa zamani kuwa sahihi sasa hivi
 
Haya maswali wakiweza kuyajibu kwa usahihi nitajipiga ban hapa jamiiforums kwa mwaka mzima.

Hili ni shambulio la silaha za maangamizi. Dini ya Allah inaanguka huku ikijiona.
 
kila muda anang'ang'ania abortion ni sahihi au sio sahihi. Jamani hata hili swali la kipumbavu nalo unauliza. Wakati jibu lake unalo na unalijua.
Badala ya kutoa ufafanuzi wa changamoto iliyopo mezani unabaki kulialia. Hopeless muslims. Jibuni hoja.😎
 
Swali moja, damu iliyoganda inawezaje kukaa miezi mi4 tumboni mwa mwanamke bila kuwa na pumzi?
 
Acha KUPIGANIA DINI na KUMSAIDIA ALLAH maana ni lazima aje kujitetea mwenyewe. Ni bora ujitoe kumpigania Muhammad katika upotofu wake.

Twende sasa kidaktari na tafiti za kisayansi. Mtoto anaanza kupumua (breathing) kuanzia wiki ya kumi (miezi miwili na siku kumi) lakini Allah kwa ujinga wake anasema anampa mtoto pumzi mwezi wa nne (wiki ya 17). Shame on Allah, shame on Muhammad.



Na moyo wa mtoto unaanza kudunda (heartbeat) kuanzia wiki ya ya tano mpaka ya sita (yaani mwezi mmoja na wiki mbili). Lakini Allah anasema hilo litawezekana akipewa pumzi wiki ya 17.



Ushauri wangu, kimbilia kwa Yesu Kristo uokolewe badala ya kuendelea kubaki kwa baba wa uongo, lucifer aliyefukuzwa mbinguni na kutupwa duniani
 
Na hii ndio tabia yenu waislamu wote, hamjibu hoja ingawa nyie mnaingiza hoja mbalimbali na tunazifafanua.

Badala ya kueleza inakuaje Allah anasema anampa mtoto pumzi wiki ya 17 na hapo ndio anakuwa kiumbe hai (ilihali moyo unaanza kudunda wiki ya sita na kupumua kunaanza wiki ya 10), unaamua kuhamisha magoli na kumpigania allah ambaye ni mdanganyifu.

Moto wa milele utawaunguza kwasababu kwa makusudi mnakataa kufungua macho yenu kufuata njia sahihi.
 
Mahali seminal vesicle ilipo juu yake kuna utumbo mpana na sio mifupa.
Elewa swali sijakuuliza Kuna organ gani nimekuuliza Kuna mifupa gani

Jibu swali

Ukitoka katika Seminal vesicle kuelekea juu unakutana na mfupa gani? na ukielekea kulia au kushoto unakutana na mfupa gani?
 
Naona Umeandaa uzi huku ukitumia aya za Quran ili kubisha ilihali umepewa ufafanuzi yakinifu. Ok na mimi nitakuja na Uzi kuhusu Majanga ya Biblia na nitakuwa tayari kwa ajili ya kubisha tu.
 
ASALAAM ALAYKUM, mm sio mwanasayansi ,bali nataka nikurejeshe ktk hiyo AYA. ni tofauti nawewe ulvyoandika. aya inasema KISHA TUKA TUKAIUMBA TONE KUWA DAMU ILIYOGANDA. WEWE UNASEMA UNASEMA MTOTO ANAUMBWA BAADA YA MBEGU KUINGIA KWENYE DAMU ILIYOGANDA......(UNAPOTOSHA HIYO AYA.) kwa kukusaidia kusherehesha HIYO AYA, ni kuwa hilo tone la mbegu ndio linalogeuka kuwa damu iliyoganda , na baadaye kufanywa kuwa pande la nyama nk...........(hakika uislamu ni dili iliyo ya haki mbele ya M/MUNGU)
 
Unalazimisha kutafsiri kitu kama kilivyo, kuna Codes mzee. Kuwa makini.

Unazungumzia Mifupa kwahiyo kiumbevkikiwa tumboni hakijijengi Mifupa? Acha hizi

Ovum yoyote inakuwa na imezingukwa na some amount of blood mzee(Semi solid blood)
Quran 23:14

...., kisha tukaliumba pande la nyama kuwa mifupa, na mifupa tukaivika nyama.....

Hii stage hapo juu mifupa tupu alafu ndio inakuja kuvishwa nyama imeshawahi kuwa captured kwenye ultra sound?
 
Quran 23:14

...., kisha tukaliumba pande la nyama kuwa mifupa, na mifupa tukaivika nyama.....

Hii stage hapo juu mifupa tupu alafu ndio inakuja kuvishwa nyama imeshawahi kuwa captured kwenye ultra sound?
Wewe mbona unapenda uongo aya ulipo isoma wapi inasema mifupa tupu koleza ilo neno tupu tulione
Mbona unauliza swali tofauti na kilicho ongelewa. Kwenye quran alafu unalazimisha kujibiwa huo uongo wako. Koleza neno tupu kwenye tafsiri ili tukujibu
 
Wewe mbona unapenda uongo aya ulipo isoma wapi inasema mifupa tupu koleza ilo neno tupu tulione
Mbona unauliza swali tofauti na kilicho ongelewa. Kwenye quran alafu unalazimisha kujibiwa huo uongo wako. Koleza neno tupu kwenye tafsiri ili tukujibu
Quran 23:14
...., kisha tukaliumba pande la nyama kuwa mifupa, na mifupa tukaivika nyama.....

aya ipo wazi pande la nyama limekuwa mifupa kisa likaja kivishwa nyama
 
Wewe mbona unapenda uongo aya ulipo isoma wapi inasema mifupa tupu koleza ilo neno tupu tulione
Mbona unauliza swali tofauti na kilicho ongelewa. Kwenye quran alafu unalazimisha kujibiwa huo uongo wako. Koleza neno tupu kwenye tafsiri ili tukujibu

Tafsîr Ibn ‘Abbâs​

...., (then fashioned We) the We transformed (the little lump) into (bones) without flesh, (then clothed the bones with flesh) joints, veins and other things, ...

 
Wanalazimisha quran iifuate sayansi ambayo inabadilika badilika majibu yaliyotolewa humu wanayakataa ila wanasayansi wao watakuja kuleta uthibitisho wa wazi hivi punde.
 
Wanalazimisha quran iifuate sayansi ambayo inabadilika badilika majibu yaliyotolewa humu wanayakataa ila wanasayansi wao watakuja kuleta uthibitisho wa wazi hivi punde.
Ila kwa sasa wanasayansi bado hawajagundua stage ya pande la damu mfu (clot of blood) linakaa ndani ya mji wauzazi kwa siku 40 na bones without flesh ,
 
Elewa swali sijakuuliza Kuna organ gani nimekuuliza Kuna mifupa gani

Jibu swali

Ukitoka katika Seminal vesicle kuelekea juu unakutana na mfupa gani? na ukielekea kulia au kushoto unakutana na mfupa gani?View attachment 2378426
Umekosa point umebaki kuweka huu mchoro kila mara. Bahati mbaya mchoro wako ni wa kipumbavu maana unaonesha ogani zinaelea juu zenyewe.
 
Naona Umeandaa uzi huku ukitumia aya za Quran ili kubisha ilihali umepewa ufafanuzi yakinifu. Ok na mimi nitakuja na Uzi kuhusu Majanga ya Biblia na nitakuwa tayari kwa ajili ya kubisha tu.
Angalau sasa umekubali kwamba quran inayo majanga. Inabakia maamuzi yako, umfuate mwokozi Yesu au uangamie milele.
 
ni kuwa hilo tone la mbegu ndio linalogeuka kuwa damu iliyoganda , na baadaye kufanywa kuwa pande la nyama
Urudi hapa kutueleza inakuwaje sperm iwe damu iliyoganda kisha iwe nyama halafu mifupa na baada ya hapo mifupa inavalishwa nyama.. cha kushangaza yote haya yanaendelea wakati bado uhai haujawekwa maana Allah anaweka pumzi baada ya miezi minne.
 
Asante mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…