Wanasayansi naomba mnisaidie maana Quran inaniambia mtoto anaumbwa baada ya sperm kuingia kwenye damu iliyoganda

h
iyo idadi ya watu 2000 umeipata wapi
 
Hapa jukwaani mmeleta tafsiri mnazozivumbua na kuziingiza kwenye quran baada ya sayansi kuonesha Muhammad alidanganya.
Muongo sema ulikuwa hujui tu kuhusu namna quran inavyo tafsiri
Alafu nimekutumia
Kuhusu manuscript
Ili ujione ulivyo mjinga japo unakataa ukweli
Alafu sema tena nimetunga
 
Maana haibadiliki ila shida yenu mmetumia tafsiri moja tu
Nyie mnachofanya hambadilishi manuscript kwasababu ni rahisi kuwakamata. Mmeamua kubadilisha maana ya maneno ili kujilinda baada ya sayansi kuonesha udhaifu wa kurani
 
Nyie mnachofanya hambadilishi manuscript kwasababu ni rahisi kuwakamata. Mmeamua kubadilisha maana ya maneno ili kujilinda baada ya sayansi kuonesha udhaifu wa kurani
Hahahah ona ulivyo muongo toa ushahidi wa mtu yoyote anaesema kua hizi maana sio sahihi niwapopoe wote
Nyinyi hamuna elimu na mtabaki hamuna elimu.
 
Hahahah ona ulivyo muongo toa ushahidi wa mtu yoyote anaesema kua hizi maana sio sahihi niwapopoe wote
Nyinyi hamuna elimu na mtabaki hamuna elimu.
Elimu na sheria unazozifuata wewe na dunia nzima zimetokea kwenye biblia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…