Wanasayansi naomba mnisaidie maana Quran inaniambia mtoto anaumbwa baada ya sperm kuingia kwenye damu iliyoganda

Wanasayansi naomba mnisaidie maana Quran inaniambia mtoto anaumbwa baada ya sperm kuingia kwenye damu iliyoganda

Mnasema Uislamu ni dini ya kweli na dini ya amani.
Huku mnajua kuna mambo yapo kwenye uislamu yanasababisha uislamu usionekane kama ni dini ya kweli

Jiulize je dini ya kweli inaruhusu vipi mtume wake mwenye miaka zaidi ya 50 kuoa mtoto wa miaka 6 ?

Hata wewe mwenyewe huwezi kubali binti yako wa miaka 6 aolewe tena na mzee wa miaka 50.
Tena alifanya tendo la ndoa na huyo mtoto akiwa na miaka 9 ( hu sio ubakaji kweli?)

Jiulize Dini ya kweli inaruhusu ndoa ya masaa kazaa tu ( mutaa) tena baada ya kumaliza kupigana miti mnalipana pesa kisha ndoa inaisha ?

Dini ya kweli inawafundisha muwaue watu wa dini zingine wasiomuamini mtumwe wenu.

Dini ya kweli inaruhusu utumwa. Na tena inawaruhusu wanaume wa kiislam kuwatombaaz watumwa mtakaowapata wa kike. ( dini ina promote uzinzi na ubakaji)

Dini ya kweli inaruhusu wanawake wapigwe na waume zao. Yaani wanawake kuwapiga na kuwabonda ni ruhksa ,

Dini ya kweli inakataza waumini wake wasijenge urafiki na hata kupigana na watu wa dini zingine?
Kwani uyo binti alikuwa mama yako au ndio hamkubali waoelewe lakini mnaruhusu waziniane si ndio mila zenu za kijinga hizo ndoa mnaona ajabu ila mwanamke kuishi na mwanaume bila kuoelewa ndio sawa duh
 
Mambo Mengi ya kwenye vitabu ni ya kufikirika sana,
Kuna aya moja kwenye bible,inayomuhusu mfalme Suleiman kwamba alikuwa na vijakazi/michepuko 700!hapo ujaweka wake zake harali!!!aliyetunga hiki kisa alikiweka Ili kumpa misifa Suleiman Ili aonekane kwamba alikuwa na nguvu sana kuriko wanaume wengi,
Kwa tskwimu zilizokuwepo,kipindi Cha Suleiman kulikuwa na idadi ya watu wasio zidi 2000!sasa hebu fikiria mtu mmoja anaoa wake 700+inamaana wanaume wengine walikuwa hawataki kupiga mambo??yaani nusu ya raia wote ni wake zako,sasa watu wako watamuoa nani!! Wala haiingii akilini
Hapa umeandika uongo mtupu. Israel wakati wanatoka misri walikuwa milioni tatu.

Kipindi cha Suleiman jeshi la Israel (Judah) pekee lilikuwa na wanaume laki nane.

Tafuta maarifa ili uwe unajenga hoja vizuri.
 
Sijaelewa point yako ni nini hapa.

Sayansi ni facts na evidence

Dini ni hadithi zisizo na ushahidi.. maana hakuna ushahidi ulionyooka kuhusu dini.

Mfano kuna ushahidi gani wa kuamini peponi tutapewa mabikra 72. ( yaani pepo itakuwa kutombanaaz tu na mabikra,)

Jiulize je wanawake watakaofika peponi na wao watapewa nini?
 
Jibu ni ndio sperm zinaingia kwenye damu iliyo ganda maana ukitaka kuamini hilo tazama mwanamke akiwa na hedhi anatoka nini na lile si ndio yai likikosa rutuba kama ndio kwanini listoke kwa rangi tofauti na damu mbona mnapenda kuleta hoja kipumbavu hivi cell za yai zinarangi gani humo tumboni mwa huyo mwanamke ni ndio maana nasema hua wakristo wengi hawajitambui
 
Ewe mola tupe mwisho mwema waja wako wakujitambua maana quran haitafsiliwi kwa kiswahili tu hutafasiliwa kutoka kwa wanazuoni na sio wewe umeandika kwa kiswahili na kiingereza hiyo quran yako sio umeitafsiri so sitakujibu kama unavyotaka
Wanazuoni ndio waliotafsiri kwenda kiswahili na kiingereza.

Wewe ukisoma kiarabu unaielewa?
 
Kwani uyo binti alikuwa mama yako au ndio hamkubali waoelewe lakini mnaruhusu waziniane si ndio mila zenu za kijinga hizo ndoa mnaona ajabu ila mwanamke kuishi na mwanaume bila kuoelewa ndio sawa duh
Allah alisema waoe wanne mwisho lakini Muhammad alioa zaidi.

Pia nadhani wewe ni mfia dini kuona mtoto wa miaka tisa akiingiliwa kingono ni jambo sahihi.
 
Katika soma yangu nimekutana na hii aya. Naona inapishana na baiolojia niliyosoma miaka ile ya sekondari.

Quran 23:14

Kisha tukaiumba tone kuwa damu iliyoganda, na tukaiumba damu kuwa pande la nyama, kisha tukaliumba pande la nyama kuwa mifupa, na mifupa tukaivika nyama. Kisha tukamfanya kiumbe mwengine. Basi ametukuka Mwenyezi Mungu mbora wa waumbaji

English translation:

Then We made the sperm drop into a clinging clot, and We made the clot into a lump [of flesh], and We made [from] the lump, bones, and We covered the bones with flesh; then We developed him into another creation. So blessed is Allah, the best of creators.

Ukisoma tafsiri ya kiingereza na kiswahili unaelewa kwamba sperm inaingia kwenye damu iliyoganda. Nikatafuta wataalamu wa tafsiri kuhusu hiyo clot.

Prof Haanein Muhammad Makhloof, on page 508 of his Dictionary of the meanings of words of the Quran says that the Arabic word alaq translated into English as "clot" means frozen blood.

Maswali yangu

1. Sperm inaingia kwenye damu iliyoganda?
2. Damu iliyoganda inaishi ndani ya tumbo la mwanamke?
3. Quran haifahamu kuhusu yai la mwanamke?
4. Sperm peke yake inaweza kuumbwa ikawa mtu?
5. Kauli kwamba tukamfanya kiumbe mwingine inamaanisha nini?

battawi FaizaFoxy Mokiti adriz Kisai
Tafsiir ndio iliyokusumbua
 
Akili ndogo hi, hutaki kuifikirisha akili yako wapenda "spoon feeding" mwenzio kayajua haya ya Google ila Kuna anachojiuliza hapo anataka aeleweshwe.
Akili yako ndiyo ndogo. anajua ukweli halkafu anauliza. Akili yako very low huyu anataka kuwavuruga watu wa dini ile! Akili yako ndogo, hakuna cha kuuliza swali hapo.
 
Jibu ni ndio sperm zinaingia kwenye damu iliyo ganda maana ukitaka kuamini hilo tazama mwanamke akiwa na hedhi anatoka nini na lile si ndio yai likikosa rutuba kama ndio kwanini listoke kwa rangi tofauti na damu mbona mnapenda kuleta hoja kipumbavu hivi cell za yai zinarangi gani humo tumboni mwa huyo mwanamke ni ndio maana nasema hua wakristo wengi hawajitambui
Jaribu hata kuingia google ujielimishe kwanini damu inatoka wakati wa hedhi badala ya kudhihirisha ujinga wako jukwaani.
 
Back
Top Bottom