Wanasayansi naomba mnisaidie maana Quran inaniambia mtoto anaumbwa baada ya sperm kuingia kwenye damu iliyoganda

Wanasayansi naomba mnisaidie maana Quran inaniambia mtoto anaumbwa baada ya sperm kuingia kwenye damu iliyoganda

Katika soma yangu nimekutana na hii aya. Naona inapishana na baiolojia niliyosoma miaka ile ya sekondari.

Quran 23:14

Kisha tukaiumba tone kuwa damu iliyoganda, na tukaiumba damu kuwa pande la nyama, kisha tukaliumba pande la nyama kuwa mifupa, na mifupa tukaivika nyama. Kisha tukamfanya kiumbe mwengine. Basi ametukuka Mwenyezi Mungu mbora wa waumbaji

English translation:

Then We made the sperm drop into a clinging clot, and We made the clot into a lump [of flesh], and We made [from] the lump, bones, and We covered the bones with flesh; then We developed him into another creation. So blessed is Allah, the best of creators.

Ukisoma tafsiri ya kiingereza na kiswahili unaelewa kwamba sperm inaingia kwenye damu iliyoganda. Nikatafuta wataalamu wa tafsiri kuhusu hiyo clot.

Prof Haanein Muhammad Makhloof, on page 508 of his Dictionary of the meanings of words of the Quran says that the Arabic word alaq translated into English as "clot" means frozen blood.

Maswali yangu

1. Sperm inaingia kwenye damu iliyoganda?
2. Damu iliyoganda inaishi ndani ya tumbo la mwanamke?
3. Quran haifahamu kuhusu yai la mwanamke?
4. Sperm peke yake inaweza kuumbwa ikawa mtu?
5. Kauli kwamba tukamfanya kiumbe mwingine inamaanisha nini?

battawi FaizaFoxy Mokiti adriz Kisai
Inaonesha shule wakati wa vipindi vya English ulikuwa unakula sana makamasi.
 
Usijifanye hujaelewa mnakariri matamshi wote
Halafu kesho utasema tunaandika makombe kwa kiharabu...tunaandika bila kujua kusoma,uccchhi wa mzazi wako mbaya Kama akili yako,na sura yako itakua mbaya Kama k ya mamaako
 
Kwani mwanamke akiwa katika period kinachotoka nini? Na ile dam husababisshwa na nini? Na hua inatoka kwa nini? Kwani mayai ya mwanamke yakoje? ndo haya haya ya pasua? Ukipata majibu ayo ndo utajua kwanini wamesema LIKABADILISHWA TONE LA MANII KUA PANDE LA DAMU.

Nakuja kwenye nyama ivi wale wanaofanyiwa abortiom hua wanatolewa vipande vya nini mule hua ni majani yale au mikate? Ukishajua ilo utajua kwanini wamesema PANDE LA DAM KUA NYAMA maama wanawake tukiwafanyia abortion hua kuna mawili atoke bado zygot nyuma ya miez3- ambalo ndo pande la dam au mtoto ambae ndo pande la nyama lenye mifupa ndani mieza 4+.
Wewe mfia dini naona hata huelewi kinachoendelea unahoji bila hata kusoma komenti za nyuma.
 
Huyo issa hana uhusiano wowote na Yesu Kristo. Huyo jamaa yenu issa hata ukienda Israel hayupo kabisa katika kumbukumbu zao iwe za kihistoria au kidini.

Quran hakuna mahali imemtaja Yesu Kristo ila nashangaa nyie mnataka awepo kwenye kitabu chenu.

Kwenye kitabu cha Yohana Yesu ameongea explicitly kwamba anayekuja baada yake ni Roho Mtakatifu.

Sasa wewe badala ya kujisomea unasikiliza maelezo ya shehe pale madrasa baada ya kukariri.
Hebu nisaidie...

Hivi ni sababu zipi za kiroho zinazomtofautisha Yesu na Issa?!
 
Umejibu hoja yangu moja ila kwa jibu la ujanja ujanja.. toa maelezo yaliyoonyooka mtume alimuoa Aisha akiwa na umri gani? Na alifanya nae mapenzi ama tendo la ndoa huyo Aisha akiwa na umri gani?

Pia utaje na umri wa mtume wakati anamuoa Aisha ulikuwaje?

Pia kwenye swala la Tanzania sema sheria ya ndoa ya mwaka gani na kifungu gani inaruhusu kumuoa mtoto ama kumtolea mahari akiwa tumboni kwa mama yake.

Toa jibu lililonyooka ukiambatanisha ushahidi usio na mashaka
Skia nikwambie mkuu hv ni simple sna kuelewa , uv ukiwa na binti yako uta kubali aolew na mshenizi?, jambazi, wa kutupwa muuaji wa k ne?, , sasa wewe wivu wa wanini?, kwa taaifa yako mtu hakuwa ana oa oa tu ila kwa sabau maalum, baba wa hyo aisha ni swahaba wake na rafiki yake sasa wewe eti una chukia duuuh, mtume ndiye aliye watetea wana wake ktk ulimwengu huu, maana mtume alikuwa kipindi ambacho ukiwa na mtoto wa kike ni mkosi, uslamu ulifanya vitu 3 ktk akili za kawaida sn
DESTRUCTION ,, PRESERVATION, , CONSTRUCTION, , wewe diye uliye paswa kutoa andiko ktk Quran
 
Free Will, maana yake kufanya mambo kwa hiari. Aya imesema Malaika wanafanya na kutii yale waliyo amrishwa. Kwetu sisi Wanadamu na Makini tuna hiari juu ya yale tuliyo amrishwa mfano, Leo hii zinaa ni haramu ni jambo lololol katazwa ila watu tunazini, lakini kwa malaika yale waliyo amrishwa kufanya wanafanya hawanyi kinyume.

Aya Iko wazi imeonyesha hilo. Au ulitaka tukuandikie kwa lugha yako.

Kuna swal inilikuuliza hujajibu mpaka muda huu.
Hapo kwenye aya imezungumzia wao kufanya waliyoamriwa lakini hiyo haimaanishi hawana free will. Mimi nikitii maagizo ya Mungu haimaanishi kwamba sina free will?

Swali gani? Pengine sijaliona hivyo naomba ulirudie.
 
Skia nikwambie mkuu hv ni simple sna kuelewa , uv ukiwa na binti yako uta kubali aolew na mshenizi?, jambazi, wa kutupwa muuaji wa k ne?, , sasa wewe wivu wa wanini?, kwa taaifa yako mtu hakuwa ana oa oa tu ila kwa sabau maalum, baba wa hyo aisha ni swahaba wake na rafiki yake sasa wewe eti una chukia duuuh, mtume ndiye aliye watetea wana wake ktk ulimwengu huu, maana mtume alikuwa kipindi ambacho ukiwa na mtoto wa kike ni mkosi, uslamu ulifanya vitu 3 ktk akili za kawaida sn
DESTRUCTION ,, PRESERVATION, , CONSTRUCTION, , wewe diye uliye paswa kutoa andiko ktk Quran
Aliwatetea kwa kusema wanawake wakajitoe kwake awapige mkuyati bila ndoa na verse akaweka ndani ya koran
 
Sorry wakuu kwa kuchelewa,
kama ni kweli uyasmayo na hao mitume wya eyu ni wakweli na waliongozwa na roho mtakatifu ispokukuwa yuda sasa mbona wao hao mitume wa yesu hawa ongei ukweli??, yaani wote washuhudie kuteswa na kusurubiwa kwa yesu hadi umauti wake lakini eti i roho mtakatifu aka waabia kila mmoja wao aseme uongo ktk tukio moja???, yaani mimi na wewe mkuu tuone mwizi ana vyo uliwa na kuitwa moto kisha ktk kutoa ushahidi mahakamani kila mtu ana ongea lake , hv hyo hakimu ata msikiliza nani ?, ata muelea nani


Ktk iinjili ya mathayo 27:27-28 inaelezea yesu alivikwa vazi jekundu
Ktk injili aliyoandika marko 15:16-17 inaeleza kwamba yesu alivikwa vazi la rangi ya zamarau , sasa hata kama wewe ni hakimu uta hukumu vp?, yapo mengi tu
Anzisha mada ya hilo jambo halafu tutakujibu.

Ila kifupi Yesu alikuwa na vazi lake na baadae alipewa vazi jingine na mfalme kama namna ya kumkejeli akimwita mfalme wa wayahudi.

Kwahiyo kwenye uandishi kila mmoja anaweza kuwa aliandika mavazi sahihi kulingana na tukio na muda.
 
Toka umefundishwa hilo neno naona unalitumia hata usipopajua. Hebu kosoa kilichokosewa hapo. Ukikosoa nipewe ban hadi kesho... Umejaa kinyesi tu kwenye chupi.
Kwahiyo Allah ndio amekutuma uje kutukana humu ndani?
 
Hiyo verse hapo iko clear na informative. Na hapo Allah amedanganya. Muhammad alikopi tu knowledge ya wagiriki ya kipindi hicho.
Unachokisema ni sawa, ila narudi palepale kuwa vitabu vyote watu wanavyoviita vitakatifu vinakuwa coded na elimu ya vitabu hivyo niyasiri. Kusoma ni rahisi kitafsiri pia ni rahisi, ila kujua maana kamili ndio tatizo maana yaliyoandikwa yameandikwa kimafumbo
 
"na tumfanye mtu" (let Us make man)
Samahanini hapa kwenye huu mstari maana sio msomaji sana wa hivi vitabu ila naomba kuuliza kihusu uu mstari.

''Na tumfanye mtu'' kauli ipo katika wingi inamaana wakati wanamfanya (uumbaji ukiwa unafanyika) uyo mtu huyo mfanyaji (muumbaji) hakuwa mmoja, walikuwa wengi??
 
Hebu nisaidie...

Hivi ni sababu zipi za kiroho zinazomtofautisha Yesu na Issa?!
Sijui unamaanisha nini kusema kiroho.

Yesu Kristo aliyeandikwa kwenye biblia anafahamika kama raia aliyeishi Nazareth na alifanya huduma Capernaum zaidi na kiasi Yerusalemu alikosulubiwa, akafa, akazikwa na siku ya tatu akafufuka.

Huyo issa hakuna sehemu yoyote kule Israel anakofahamika iwe kihistoria au kidini. Yaani ni mtu wa kufikirika kwenye quran ambaye wanasema aliishi Israel.

Ndio maana sioni nitafananishaje kiroho mtu halisi na huyo issa wa kufikirika.
 
Imeandikwa wapi kua alimuingilia akiwa na miaka9?
Dah, wewe uko nyuma sana ya quran. Wenzio walishaacha kupinga hilo wamejikita kusema hamna sheria ya Allah inayozuia mtu kuolewa na kuingiliwa katika umri huo.
 
Back
Top Bottom