Wanasayansi naomba mnisaidie maana Quran inaniambia mtoto anaumbwa baada ya sperm kuingia kwenye damu iliyoganda

Wanasayansi naomba mnisaidie maana Quran inaniambia mtoto anaumbwa baada ya sperm kuingia kwenye damu iliyoganda

1. Hakuna mahali popote katika Biblia ambapo Mohamad ametajwa.

2. Lugha ya Cheo ndio inakuwa wingi? Kwamba cheo cha Mungu ndio kinatumia Wingi? Hebu acheni ujuha nyie watu
We chizi soma hii

Mwanzo 1:26

Kisha Mungu akasema, “Tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu. Nipe Idadi ya Mungu apo wako wangapi?
 
We chizi soma hii

Mwanzo 1:26

Kisha Mungu akasema, “Tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu. Nipe Idadi ya Mungu apo wako wangapi?
Sisi Mungu wetu ni Baba, Mwana na Roho Mtakatifu hivyo anaweza kuongea kwa wingi.

Sasa wewe utuambie wako akina Allah wangapi?
 
Maswali yangu

1. Sperm inaingia kwenye damu iliyoganda?
2. Damu iliyoganda inaishi ndani ya tumbo la mwanamke?
3. Quran haifahamu kuhusu yai la mwanamke?
4. Sperm peke yake inaweza kuumbwa ikawa mtu?
5. Kauli kwamba tukamfanya kiumbe mwingine inamaanisha nini?

NITAJIBU KWA JINSI NILIVYOISOMA SAYANSI KWA ELIMU YANGU NDOGO HII

1. Ndio, Sperm inaingia kwenye damu iliyoganda
2. Ndio Damu iliyoganda inaishi ndani ya tumbo la Mwanamke. Damu hiyo iliyoganda ndio inaitwa(Female Gamete/Egg Cell/Ovum). Ukitaka kuamini hilo ni hivi.

Hiyo Damu iliyoganda au Yai la kike kuna kipinfi hutoka katika Ovary kwa ajili ya urutubishaji(Fertilization) na husogea na kukaa katika Falopian Tube kwa ajili ya kusubiri hiyo fertilzation ndani ya siku takribani 3. Sasa ikikosa Sperm ya kiume hujivunjavunja(Disintegrate) na kutoka kama Bleed.

Kumbuka hilo yai limezungukwa na damu(kwakuwa damu ni Cell na zimegawanyika yani White blood cell, red blood cell,. plasma membrane na platelete), Na ndio mana hutoka kama Damu(bleed) hapo tunasema Mwanamke anakuwa kwenye Hedhi.

3)Quran inafahami kuhusu yai la Mwanamke ndio hilo pande la damu iliyoganda au Egg Cell/Ovum.

4)Hapana

5) Inamaanisha inamaanisha baada ya pande la damu/Egg cell kufanikiwa kupata Sperm(Mbegu za Kiume) basi hapo mimba ndipo inapoanzia kutungwa na process zote tumboni kwa Mama ila vyote hivyo hufanyika kwa Idhini ya MWENYEZI MUNGU au kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu. Na kuna Miezi ikifika Mtoto akiwa tumbo basi mtoto atapewa pumzi kwa uwezo wa Mungu.
Unalazimisha sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Nani kakwambia kuwa damu ile inatokana na yai. Rudi darasa la sita utaelewa tena damu inatoka wapi. Unajua kitu kinaitwa placenta.

Shida mnalazimisha sana vitabu vya dini kuwa relevant katika ulimwengu wa sasa wa sayansi jinis mnvyolazimisha mnazidi umbuka wafia dini.
 
Unaongelea mambo gani?
Unataka kukimbia ukweli kuhusu lugha ya wingi iliyo tumika kile ni cheo na sifa na Mungu apangiwi maneno ya kunena

Maana iko hivi.

Isaya 45 pekee Mungu anasema, "Mimi ni Mwenyezi-Mungu, wala hakuna mwingine; hakuna Mungu mwingine ila mimi" (aya ya 5,6,18).
 
Embu soma

Isaya 45 pekee Mungu anasema, "Mimi ni Mwenyezi-Mungu, wala hakuna mwingine; hakuna Mungu mwingine ila mimi" (aya ya 5,6,18).
Sasa wewe unatuletea mapichapicha
Andiko liko sahihi, Mungu ni mmoja tu wala hakuna mwingine. Mungu Baba, Mwana na Roho Mtakatifu.
 
Back
Top Bottom