Wanasheria wa Serikali Wakwama Mahakama ya Kimataifa. Bilioni 300 Kuchotwa

Nimesoma huku nikipatwa na uchungu mkali Sana moyoni

Pesa zote hzo zinakwenda kuliwa na wahuni
 
Mama anaupiga mwingiiii...

Magufuli mzalendo kawakomesha mabeberu...

Na bado.
 
Daah, mabeberu sio watu. Wanatupiga kwa kutumia upumbavu wa viongozi wetu.
Ambacho nakihisi hapo ni kwamba hao wanasheria wa tanzania wameahidiwa donge nono na watapewa donge nono baada ya hayo malipo haramu kufanyika kutokana na kushindwa hiyo kesi, maana hata kushindwa kesi inawezanijawa ni sehemu ya dili zilezile
 
Shamba la Kizimkazi halina mwenyewe wacha wajipigie tu kwani nini bana

..hayo makesi na mafaini yamesababishwa na ujuaji wa Magufuli, Kabudi, na Kilangi.

..Lissu alionya bungeni kuhusu suala hili lakini akawa anabezwa ati ni mwanasheria wa hovyo anayeogopa kushtakiwa.

..Zaidi kwasababu ya kupaza sauti watawala wakajaribu kumuua.

..Ukweli unabaki kwamba hii ni hasara ambayo imetokana na kiburi cha watawala wetu.
 
Ambacho nakihisi hapo ni kwamba hao wanasheria wa tanzania wameahidiwa donge nono na watapewa donge nono baada ya hayo malipo haramu kufanyika kutokana na kushindwa hiyo kesi, maana hata kushindwa kesi inawezanijawa ni sehemu ya dili zilezile

..wanasheria wa bongo hawajasajiliwa kutetea kesi ktk hizo mahakama.

..kesi ikishakwenda nje Mwanasheria Mkuu wa serikali ya Tz anatafuta mawakili wa kututetea ktk mahakama za nchi ambako kesi inaendeshwa.

..baada ya hapo kunakuwa na mpambano baina ya mawakili wetu na mawakili wa waliotushtaki.

..tusilaumu wanasheria wetu ktk hili. Kilichotuponza ni kuvunja mikataba bila kufuata utaratibu.
 
Viongozi wa kiafrica wa starve watu wao kwa kuwapa hawa matapeli wa dunia rasilimali zetu , huku hawa hawa matapeli yakilindwa na sheria zao .poor dark continent
 
Tena ni majangili kabisa shenzi zao
 
Siku zote tunasema utawala wa CCM umefitinika duniani na mbinguni wao wanafikiri tunawabeza!
Ni utawala uliojaa;
Uovu
Ufisadi
gilba
uongo
utapeli!
 
Mkuu inakuwa ngumu sana kujadili mada kwa kurukaruka. Twende na mada kama ilivyoletwa na hayo mengine yatakuwa na mada tofauti
 
Mkuu inakuwa ngumu sana kujadili mada kwa kurukaruka. Twende na mada kama ilivyoletwa na hayo mengine yatakuwa na mada tofauti
Kesi ambazo serikali imewahi kuwa nazo, labda tuanzie awamu ya pili mpaka sasa, kuna ambazo serikali imewahi kushinda?
  • Na zile ilizoshindwa, kuna lolote lilifanyika kuzuia kesi kama hizo zisitokee tena?
  • Kama kuna ukanjanja uliosababisha kuwa kesi, kutokea serikalini, hao makanjanja waliotusababishia hayo, wako wapi? Ni kina nani? Nini kimefanyika dhidi yao?

Zile kesi tulizoshinda, kuna lolote tumejifunza? Nimesikia Accacia waliilipa serikali tsh 900bn, je ni kweli?
  • Kesi zilizofufuliwa awamu hii, zinaendana na matatizo ya kutengeneza kama umeme, inflation etc
  • Kwa mujibu wa Mpina, serikali inapaswa kuanza kulipwa fidia kwa mujibu wa mkataba kutokana na ucheleweshwaji wa bwawa la Nyerere, nini kinaendelea?

Kesi za awamu ya 5 ni zipi na status zake zikoje?
 

View: https://www.instagram.com/p/C3H2iL2Igja/?igsh=czIwZXllcDBmaWl4
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…