Ndo mumwambie kwa upole sasa😂😂😂Huyo mwanamama anataka kuharibu hali ya hewa...Akili zake ni za hovyo yani ameshindwa kumuongoza mmeo vyema anakuja kutoa povu huku aargh!
Anashindwa kijitambua kosa lake kuwa alikubali kuwa mather house lkn sio mama mpambanaji mpuuzi sana huyoo 🤣🤣🤣
Ajenge nyumba hatadai maji ya kuoga kama mtotoSasa kama umeambiwa upeleke maji bafuni , unaona kero zako uje kutushambulia sisi. Peleka maji bafuni haraka 😆
Huyu wangu ni sikio la kufa labda mnafanana ndo maana unanteteaHuyo mwanamama anataka kuharibu hali ya hewa...Akili zake ni za hovyo yani ameshindwa kumuongoza mmeo vyema anakuja kutoa povu huku aargh!
Anashindwa kijitambua kosa lake kuwa alikubali kuwa mather house lkn sio mama mpambanaji mpuuzi sana huyoo 🤣🤣🤣
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Umeongea kwa hisia sana shogare
Vipi we una maendeleo yoyote?
Aah havinihusu[emoji3][emoji3]
Ila pole
Atajua mwenyewe na serikali ya kichwa chake....Kwani kuna mtu aliemshikia akili hapa....Acha aendelee kuringishia majirani ana flat screen kubwa ila hata account bank yoyote hana shenzi type kabisa huyoooo na wadizaini hii ndio wale wakushindana kwa miziki mikubwa nyumba za kupanga pambafuuuu🤣🤣🤣🤣Ndo mumwambie kwa upole sasa😂😂😂
mume wako ni fundi ujenze bila shakaNimeolewa mwaka wa Saba mwanaume hakuna maendeleo na pesa anapata zinapoenda anajua mwenyewe. Akinunua vitu vya ndani anajiona kafika!
Kazi kulalamika mpelekewe maji bafuni kwenye ndoo hebu jengeni maji yatiririke kutoka juu au muoge mmelala! Kutwa pombe na mahawara , swaini nyie. Hawa watoto mnaotuzalisha wataenda wapi mkifa! Hebu badilikeni vitambi na kulipa Kodi sio maendeleo
Inategmea sasa,, labda hakuwezeshwa😃😃Atajua mwenyewe na serikali ya kichwa chake....Kwani kuna mtu aliemshikia akili hapa....Acha aendelee kuringishia majirani ana flat screen kubwa ila hata account bank yoyote hana shenzi type kabisa huyoooo na wadizaini hii ndio wale wakushindana kwa miziki mikubwa nyumba za kupanga pambafuuuu🤣🤣🤣🤣
Shemu kama shemu😃😃🤣🤣Punguza kisirani Shemejii,,,Kama hutojali tubadilishane mawasiliano ya namba zetu za simu tuone namna ya mimi na wewe kuzungumza kiundani zaidi tuone namna ya kumnasua broo huko kwenye hayo maswahibu yanayomsibu!! Zingatia haya ninayo yasema,,,Na kuhakikishia huta juta shemeji yangu!!!
Kaenda kuliwa mtu kimasihara hapa 🤣🤣🤣🤣Punguza kisirani Shemejii,,,Kama hutojali tubadilishane mawasiliano ya namba zetu za simu tuone namna ya mimi na wewe kuzungumza kiundani zaidi tuone namna ya kumnasua broo huko kwenye hayo maswahibu yanayomsibu!! Zingatia haya ninayo yasema,,,Na kuhakikishia huta juta shemeji yangu!!!
Msaidie mumeo mfanye maendeleo kwa pamoja au wewe upo kwenye ndoa yako ku monitor maendeleo ya mumeo bila ww kuchangia kitu? Seems huchangii chochote hata mawazo hayo ya maendeleo hutoi kabisa kwenye maisha yenu ya ndoa.Nimeolewa mwaka wa Saba mwanaume hakuna maendeleo na pesa anapata zinapoenda anajua mwenyewe. Akinunua vitu vya ndani anajiona kafika!
Kazi kulalamika mpelekewe maji bafuni kwenye ndoo hebu jengeni maji yatiririke kutoka juu au muoge mmelala! Kutwa pombe na mahawara , swaini nyie. Hawa watoto mnaotuzalisha wataenda wapi mkifa! Hebu badilikeni vitambi na kulipa Kodi sio maendeleo
Utukanwe useme wanandoa wakorofi😀😀Umeongea kwa hisia sana shogare
Vipi we una maendeleo yoyote?
Aah havinihusu😀😀
Ila pole
Na akimaliza kupeleka maji avue chupi mpuuzi huyu anataka kulala na chupi hajui yuko utumwan kwa mahari aliyopokea babakeSasa kama umeambiwa upeleke maji bafuni , unaona kero zako uje kutushambulia sisi. Peleka maji bafuni haraka [emoji38]
Ajiongeze asipende kuwa tegemezi nyakati hizi maisha ni mapambano na kusaidiana wote....Atafute hata shughuli ndogo ndogo atafanikiwa kupata hayo maendeleo anayotaka aache kukaza fuvu shenzi type kabisa.....Inategmea sasa,, labda hakuwezeshwa😃😃
Pumbavu mwenyewe ndo maana nataka ajengeAtajua mwenyewe na serikali ya kichwa chake....Kwani kuna mtu aliemshikia akili hapa....Acha aendelee kuringishia majirani ana flat screen kubwa ila hata account bank yoyote hana shenzi type kabisa huyoooo na wadizaini hii ndio wale wakushindana kwa miziki mikubwa nyumba za kupanga pambafuuuu🤣🤣🤣🤣
🎼🎼🎼Atanitoa Rohoo,!!🎼🎼🎼Shemu kama shemu😃😃🤣🤣