Wanaume, kuombwa pesa ni jambo kubwa kiasi hiki au mnakuza tu mambo?

Tafuta hela ule maisha weweee…ukipenda demu honga mkamue mbususu mpk awe anakumbuka guu lako..next tym atakwambia tu nimekumiss akija unamkamua anapewa nauli anasepaaa…usipohonga utaita pisi kali shemeji mpk ukome[emoji41]
 
Hapana kinachoyafanya mapenzi yaende siyo pesa bali upendo. Pesa kazi yake ni kuendesha maisha siyo mapenzi.

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Andika kwa herufi kubwa kubwa kila mtu asome huu ukweli

Sent from my TECNO KD7h using JamiiForums mobile app
 
Ongeza sauti maa.Haiuzwi wala haitolewi bure.Bila pesa hata nyege haziji na pussy hailowi[emoji2957][emoji2957].

Wanaume wanapenda pisi kali halafu kwenye kuzitunza wanaleta kelele[emoji23][emoji23]
Ukikuta wanachambua pisi nawauliza mko tyari kumwaga mipesa?basi kama hamuwezi waachie wanye maela yao
 
Naweza honga, nyumba,gari,kiwanja na pesa nyingi tu,lakini uwe umetulia sio nahonga gari,kesho namkuta mtoto wa miaka 22,kanyoa kiduku, suruali ipo chini ya makalio ndiyo anakutomber tena! Aiseeeee!
Ewaaa, umemaliza, kiwango cha kuhonga kinategemea uthamani wa pisi yenyewe, kama cha wote ipite hivii
 
Katika maada zinazo zifatilia kwa ukaribu leo ni hii aisee
Wanamke kama vile bado hawajajua sisi wanaume wa skuizi tunawanunua ujana upite halafu ikifika umri wa kuoa yeye kasha tepeta unachukua zako pisi cha ajabu utakutana nae kwa mwamposa akiombewa apate mume
Shindwa shetani

Sent from my TECNO KD7h using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…