Wanaume, kuombwa pesa ni jambo kubwa kiasi hiki au mnakuza tu mambo?


Niko kwenye kikao hapa, ajenda kuu ikiwa ni kuchambua bajeti ya kujenga sanamu lako.
 
Ndo maana ya haitolewi bure wala haiuzwi.
Anataka aichakaze mbususu ya watu hata hela ya sabuni asitoe..[emoji23][emoji23]
Hela ya nini tena?

Mkuu, raha anapata mmoja au wanapata wote?

Wewe unatoa kitumbua, na yeye anakupa muhogo.

Si mmebadilishana hapo au!?!!

Kwani mkuu, wewe ukiniomba muhogo si unapewa bure au unauziwa?

NATANIA LAKINI.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣.
Umeongea kwa uchungu sana best!
So providing for your woman ni slavery?
Isn't she doing the same?
Anyways imma bit old school .
Kumbe mwalimu wangu alinidanganya Kuhusu mambo ya slavery 😁😁
 
Auwawe....😁
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Huyu witty ni witnessj au mwingine
 
Ongeza sauti maa.Haiuzwi wala haitolewi bure.Bila pesa hata nyege haziji na pussy hailowi[emoji2957][emoji2957].

Wanaume wanapenda pisi kali halafu kwenye kuzitunza wanaleta kelele[emoji23][emoji23]
Kama una uhakika wewe ni pisi kali karibu, utapata chochote utakacho ndani ya uwezo wangu
 
Ila mbona watu tuliowahi kukutana na wazungu mbona hata kwenye dating lunch au dinner wanalipa wenyewe? Hawa wenzetu wanafanya mwanaume awe yesu na mwokozi wa matatizo yao
Sisi na wazungu ni tofauti....😁
 
Juzi nimepigwaa nauli dadeki na mdada qa heshima sana sema nimejidai sijamind ili siku aingie mkengee.. Mwingine anaomba helaa mpaka nikawa sijibu msg akasema mbona hujibi msg wala calls nikamwambia nikipata Hela ntakuwa napokea..[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Mademu wa siku hizi kuwa nammoja huyo simu mmoja anakuja bila hivyo helaa zako utapigwaa sana kisa nyegee...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…