Wanaume, kuombwa pesa ni jambo kubwa kiasi hiki au mnakuza tu mambo?

DAh wanawake watamu sana wacha tusake pesa tuu tuwagegede. Furaha iliyoje kumpa mwanamke hela alafu akakupa mbususu ucheze nayo utakavyo.
 
Mapenz ya skuhz n biashara tu hamna la maana, ukichukua namba tu unapigwa kwanza registration fee... Sie ma gentlemen tunaojitambua tunajua majukum yetu acha mtu akukadirie, sasa fasta tuu wanipa mashiida kibaoo kama baba ako hapo lazma nkuone malaya tu na hata km nlkuwa na nia ya kukupa nakaza potelea potee
 
Muongo wewe huwa unatoa
 
Mimi binafsi hamna kitu kinanikera kama kuombwa ombwa pesa...huwa napenda nitoe mwenyewe kwa hiari yangu,lakini ukinianzishia hizo habari za baby naomba hiki mara sijui hiki mara kile nakupiga block moja hatari...
 
We dada c tuooane tujenge maisha jamn, hv wife material kama nyie bado mpoo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…