APEFACE
JF-Expert Member
- Oct 1, 2016
- 5,316
- 9,596
Ananiomba ten,anakuomba ten, anamuomba na msela mwingine ten...wakifika kumi anajua cha kufanyaSasa hiyo ten thou anafanyia nini mrembo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ananiomba ten,anakuomba ten, anamuomba na msela mwingine ten...wakifika kumi anajua cha kufanyaSasa hiyo ten thou anafanyia nini mrembo?
Anajua akija geto atatiwa...Huyu mwambie aje kuchukua nyumbani kwako
Sifaham kwanini mnajificha hapa kwenye shobo na maujinga kama hayo, ukweli ni kuwa madem wengi wamekua ombaomba na wengi hata usiowadhania ni wauza miili, kiila saa ana njaa kiila leo sina kitu sijui mtoto wangu blablahblahSometimes hii ni mbinu ya kufukuza wakware, kushinda unatuma tuma mameseji tu kwa mtu na ukute mtu mwenyewe hajakuelewa anakukataa unajifanya king'ang'a hapo inabidi uombwe pesa ili kufukuzwa
Tunaomba Serikali ikuwekeee ulinzi mkali sn... [emoji3]Tupo mbona [emoji28]
Wapigie suma Jkt waimarishe hapa nilipo kwanza 😂Tunaomba Serikali ikuwekeee ulinzi mkali sn... [emoji3]
Bado anaomba ile buku 10 [emoji23][emoji23] hii ni hatari sanaHii ni leo....sio sina hilo ten mkuu...shida ni ten linaweza enda alafu maku niisikilizie kwenye bomba View attachment 1966910
Sent using Jamii Forums mobile app
Ntaliwa mkuu...hilo ten nachoma kitimoto kilo naogeza dasi la Konyagi ndogo na embassy za buku....Mkuu buku 10 we bet tu tuma kama huoni vile, halaf mkaushie usimtafute wala kumjibu siku 3 au 4 mcheki tena atajileta(ila sio wote unaweza ukamkosa pia)
Au mwambie aifwate kama huwezi mbetia
Kabisaa nimemwambia naona kimyaq[emoji23][emoji23][emoji23] si aje umpikie
Mpambano bado unaendeleaBado anaomba ile buku 10 [emoji23][emoji23] hii ni hatari sana
Mtumie tu[emoji16]
Anayetuma meseji 20 kwa dakika akiomba ten [emoji28][emoji28][emoji28]Mtumie tu[emoji16]
Boy huyu Manzi ni pasua kichwa...alinitia mashaka muda ule tu kaomba hela hata hatujakaa hata nusu saa...Uyoo manzi kakuelewa wewe tu mzee kuteleza nae
Kuna wakati huwa napigika lkn siwez omba hela namna hii tena kwa mtu tumekutana tu ata mazoea hamna wengine sijui wanawezaje.....Huyo manzi anaonekana ana shida kweli muonee huruma mtumie ata 5k basi[emoji16]Anayetuma meseji 20 kwa dakika akiomba ten [emoji28][emoji28][emoji28]
...kama yuko interested namimi ntamuona tu, na kama yuko interested na ten langu ntajua, namkaushia week, alafu ntampigia nikija kusikia "we nani" ntajua ilikuwa niingizwe mkenge
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini amekuvutia?Boy huyu Manzi ni pasua kichwa...alinitia mashaka muda ule tu kaomba hela hata hatujakaa hata nusu saa...
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa huruma yako namtumia dasiKuna wakati huwa napigika lkn siwez omba hela namna hii tena kwa mtu tumekutana tu ata mazoea hamna wengine sijui wanawezaje.....Huyo manzi anaonekana ana shida kweli muonee huruma mtumie ata 5k basi[emoji16]
[emoji16][emoji106]
Amenivutia ndio but day one tu mkuu...hata kama ni wewe, msela umeonana nae siku ya kwanza tu tena haijapita hata robo saa anakuomba mbususu utamuonaje???Lakini amekuvutia?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ongeza sauti maa.Haiuzwi wala haitolewi bure.Bila pesa hata nyege haziji na pussy hailowi[emoji2957][emoji2957].
Wanaume wanapenda pisi kali halafu kwenye kuzitunza wanaleta kelele[emoji23][emoji23]