Wanaume, kuombwa pesa ni jambo kubwa kiasi hiki au mnakuza tu mambo?

Wanaume, kuombwa pesa ni jambo kubwa kiasi hiki au mnakuza tu mambo?

Sometimes hii ni mbinu ya kufukuza wakware, kushinda unatuma tuma mameseji tu kwa mtu na ukute mtu mwenyewe hajakuelewa anakukataa unajifanya king'ang'a hapo inabidi uombwe pesa ili kufukuzwa
Sifaham kwanini mnajificha hapa kwenye shobo na maujinga kama hayo, ukweli ni kuwa madem wengi wamekua ombaomba na wengi hata usiowadhania ni wauza miili, kiila saa ana njaa kiila leo sina kitu sijui mtoto wangu blablahblah
 
Sasa hapo Unajidai hujaiona hiyo msg kabisaa maana ukijimix umeishaaa..[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji28][emoji28]
Screenshot_20211007-185126_Gallery.jpg
 
Mkuu buku 10 we bet tu tuma kama huoni vile, halaf mkaushie usimtafute wala kumjibu siku 3 au 4 mcheki tena atajileta(ila sio wote unaweza ukamkosa pia)

Au mwambie aifwate kama huwezi mbetia
Ntaliwa mkuu...hilo ten nachoma kitimoto kilo naogeza dasi la Konyagi ndogo na embassy za buku....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtumie tu[emoji16]
Anayetuma meseji 20 kwa dakika akiomba ten [emoji28][emoji28][emoji28]
...kama yuko interested namimi ntamuona tu, na kama yuko interested na ten langu ntajua, namkaushia week, alafu ntampigia nikija kusikia "we nani" ntajua ilikuwa niingizwe mkenge

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anayetuma meseji 20 kwa dakika akiomba ten [emoji28][emoji28][emoji28]
...kama yuko interested namimi ntamuona tu, na kama yuko interested na ten langu ntajua, namkaushia week, alafu ntampigia nikija kusikia "we nani" ntajua ilikuwa niingizwe mkenge

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna wakati huwa napigika lkn siwez omba hela namna hii tena kwa mtu tumekutana tu ata mazoea hamna wengine sijui wanawezaje.....Huyo manzi anaonekana ana shida kweli muonee huruma mtumie ata 5k basi[emoji16]
 
Ongeza sauti maa.Haiuzwi wala haitolewi bure.Bila pesa hata nyege haziji na pussy hailowi[emoji2957][emoji2957].

Wanaume wanapenda pisi kali halafu kwenye kuzitunza wanaleta kelele[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom