Wanaume mliopata wake wa maana wa kuoa, mliwezaje? Au mlijitoa tu ufahamu mkaoa

Wanaume mliopata wake wa maana wa kuoa, mliwezaje? Au mlijitoa tu ufahamu mkaoa

Mzee alinambia siku flani uende ukahudhurie harusi kule xxxx dah siku ikafika nikaenda kwa kuchelewa na kukuta watu washaanza kula cha mchana basi nikaenda kujoin kwa waliochelewa ghafla namuona binti mrembo anashughulika kwenye ile harusi nikajisemea ndo huyu huyu na kweli tukijaaliwa in shaa Allah mwezi wa kumi tunafunga ndoa
Dua zenu jamani
 
Hellow naelekeza Namna ya kutumia mitandao na kutumia simu kuingiza kipato kila siku utakuwa unaingiza kipato kuanzia 10000 hadi 20000 na kuendelea njoo whatsapp 0766593744 nikuelekeze Maelekezo nayotoa ni ya Fursa ambayo imesajiliwa kisheria na unaifanya ukiwa na elimu yoyote, inazidi kunufaisha wengi njoo ukiwa serious kufanikiwa hakuna masharti njoo whatsapp +255766593744 sema Nipe maelekezo
Kaanze kumwelekeza mama yako.
 
Mzee alinambia siku flani uende ukahudhurie harusi kule xxxx dah siku ikafika nikaenda kwa kuchelewa na kukuta watu washaanza kula cha mchana basi nikaenda kujoin kwa waliochelewa ghafla namuona binti mrembo anashughulika kwenye ile harusi nikajisemea ndo huyu huyu na kweli tukijaaliwa in shaa Allah mwezi wa kumi tunafunga ndoa
Dua zenu jamani
Kirahisi hivyo? Tegemea kulia kilio cha mbwa Koko siku za usoni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Imeandikwa Usimjaribu Bwana Mungu wako.. Lakini tumeruhusiwa kumjaribu kwa sadaka.. Chukua sadaka yako bila kujali ukubwa wake au udogo wake.. Inenee.. Zungumza na Mungu wako kupitia sadaka hiyo bila kuchoka ukimuambia akupe mke bora.. Usichoke na zoezi hilo mpaka utakapoonyeshwa mke wako..

Nilimpata mke wangu kwa njia hii na sijawahi kujutia kumuoa huyu mama.. Hata nikipewa nafasi mia za kuchagua mwanamke wa kuoa tena, nitamchagua huyu niliyepewa na Mungu..
 
Mfano imagine unamwita mdada uliezoeana nae tena mnaishi mtaa mmoja, aje barabarani uliposimama mpige tu story, anakuuliza akija utampa nini, na hujamwomba namba na hujawahi mtongoza, u can imagine jinsi wadada wengi walivyo sick kitabia huku mtaani.

Weekend njema
yaani atoke aje barabarani uliposimama msimame mpige story??? Ni haki yao kuuliza hivyo maana ni upotevu wa mda
 
Habarini,

Niko kwenye umri wa kuoa ila kila nikiangalia sioni mke wa kuoa, binafsi sina standards kubwa ninazotarajia toka kwa mdada, na siko picky kihivyo, shida nikisema huenda huyu ni potential wife, unakuta mdada ni block 41 kikosi cha mizinga, hata kwenye mazingira ninayoishi kuna wanaume wengi tu wako kwenye umri wa kuoa, wana kazi nzuri tu, ila bado wapo single, sawa huenda mimi nina tatizo (personality problem) ndo maana sipati mke, lakini je hata wanaume mabachela naowajua nao pia wote wana tatizo??

Mdada ambaye atakuchukulia kama a friend and a life partner, muanze familia from the scratch hadi mzeeke pamoja, mwanamke ambaye sio lazma awe mzuuuri, awe tu mwenye mwonekano wa kawaida unaoridhisha na tabia inayoridhisha, wanaume wenzangu mliooa wadada wa hivyo, mliwapata wapi?

Huku mtaani all I see ni wadada ambao wanataka ku-suck life out of you wakuache empty, naishia kuona wadada ambao wanataka financial help na sio love.

Mfano imagine unamwita mdada uliezoeana nae tena mnaishi mtaa mmoja, aje barabarani uliposimama mpige tu story, anakuuliza akija utampa nini, na hujamwomba namba na hujawahi mtongoza, u can imagine jinsi wadada wengi walivyo sick kitabia huku mtaani.

Weekend njema
Hakuna mwanamke mzuri wala mwanamke wa maana, mke huumbwa na kutengenezwa
 
Hakuna formula maalumu mkuu.

Ukweli ukihitaji kuoa Ile serious ghafla Kila demu uliyekuwa umemuwekea malengo unaona hafai Tena na kweli anakuwa hafai kabisa.

Mimi ilinitokea baada ya kuona nafeli kwenye nukta ya mwisho wa field yangu.

Nikaadhimu kukaa na mzee nikamwambia mzee Kila binti nae taka kumuoa tunaanza vzr mwisho naona hanifai!!

Jukumu alilibeba mzee A-Z na lilifanikiwa vizuri na kwa ufasahasana Hadi leo na enjoy.

Familia ya kwanza ilikuwa pisi nzuri ya kijijini ndani ndani hata Mimi nilipoiona nilisema mzee anajua na kujua zaidi.....

Lakini mzee kumbe alikuwa Bado anafanya investigation zaidi ndipo akaambiwa ukoo huo (Babu yake na binti )alikuwa na ukoma


Taarifa hizi nilizipokea Kwa shingo upande tu maana Tyr nilikuwa nimeanza kuwasiliana na yule binti nae alikuwa kanielewa....

But ilibidi nitii sikuwa na namna.

Ndipo mzee akapata Kwa familia niliyo oa hii
Ukoma/"leprosy" ni infectious disease......yaani kama ilivo TB,malaria.......sio genetic disease.....haukumtendea halo huyo binti
 
Tabia yako humu inaonyesha sionzuri.
Mtu mzima unamtukana mwanadada unadhani hata uraiani watu hawakusomi tabia . Acha madharau, jenga heshima kwa wanawake. Usipo fanya hivyo harusi utasikia kwa watu .

Kwanza mkali , hujishushi unataka uheshimiwe hela za mawazo sasa nani akubali kukaa namtu hajakua utapitisha miaka yakuoa kwa sababu huna tabia njema nawanawake wanaangalia wanaume wenye tabia njema kwao.

Wanaowasikiliza
Wanaowapenda
Wanaowajali (silazima pesa wanawake wengi wanahela zao sasa wewe unawakia wadada kisa nini .
Wanaooa wanamipaka , heshima upendo na wanasikiliza hawana madharau kwa wake zao.
NA bado hujajipanga kivile hata utambee nasema ukweli kwa respond zako humu kwa wanawake ni mbaya badilika if unataka uoe .

Kama upo serious acha madharau . Wanawake ndio lazima wakupatie uzao generation yako bila wao hutoboi
 
Kama matendo yapi?
Baadhi ya ishara kuu za ukomavu ni kutegemewa, kubadilika, kujitambua, kuheshimu mipaka yako, na uwezo wa kuwa mtulivu katika hali zenye mkazo kama vile kuhamasishwa kufanya majaribio magumu ...
Kukomaa kihisia pia kua na uwezo wa kupambana na hisia zako mf; Hasira, Njaa, Huzuni, kuridhika n.k

Huwezi jitunza ili uangukie kwa mtu wa ajabu, utaonekana wa ajabu. unapojitunza na kua na nidhamu binafsi unatengeneza attraction kwa wanawake wanaotafuta mwanaume bora, wataanza kujikanyaga wenyewe ...

"Kama huna nidhamu binafsi usitarajie kupata nidhamu toka kwa mtu mwingine" SOCRATES
 
Habarini,

Niko kwenye umri wa kuoa ila kila nikiangalia sioni mke wa kuoa, binafsi sina standards kubwa ninazotarajia toka kwa mdada, na siko picky kihivyo, shida nikisema huenda huyu ni potential wife, unakuta mdada ni block 41 kikosi cha mizinga, hata kwenye mazingira ninayoishi kuna wanaume wengi tu wako kwenye umri wa kuoa, wana kazi nzuri tu, ila bado wapo single, sawa huenda mimi nina tatizo (personality problem) ndo maana sipati mke, lakini je hata wanaume mabachela naowajua nao pia wote wana tatizo??

Mdada ambaye atakuchukulia kama a friend and a life partner, muanze familia from the scratch hadi mzeeke pamoja, mwanamke ambaye sio lazma awe mzuuuri, awe tu mwenye mwonekano wa kawaida unaoridhisha na tabia inayoridhisha, wanaume wenzangu mliooa wadada wa hivyo, mliwapata wapi?

Huku mtaani all I see ni wadada ambao wanataka ku-suck life out of you wakuache empty, naishia kuona wadada ambao wanataka financial help na sio love.

Mfano imagine unamwita mdada uliezoeana nae tena mnaishi mtaa mmoja, aje barabarani uliposimama mpige tu story, anakuuliza akija utampa nini, na hujamwomba namba na hujawahi mtongoza, u can imagine jinsi wadada wengi walivyo sick kitabia huku mtaani.

Weekend njema
Tulijipa ufahamu, tukaoa.


Tukusaidie nini ?
 
Back
Top Bottom