Kaanze kumwelekeza mama yako.Hellow naelekeza Namna ya kutumia mitandao na kutumia simu kuingiza kipato kila siku utakuwa unaingiza kipato kuanzia 10000 hadi 20000 na kuendelea njoo whatsapp 0766593744 nikuelekeze Maelekezo nayotoa ni ya Fursa ambayo imesajiliwa kisheria na unaifanya ukiwa na elimu yoyote, inazidi kunufaisha wengi njoo ukiwa serious kufanikiwa hakuna masharti njoo whatsapp +255766593744 sema Nipe maelekezo
Kirahisi hivyo? Tegemea kulia kilio cha mbwa Koko siku za usoni.Mzee alinambia siku flani uende ukahudhurie harusi kule xxxx dah siku ikafika nikaenda kwa kuchelewa na kukuta watu washaanza kula cha mchana basi nikaenda kujoin kwa waliochelewa ghafla namuona binti mrembo anashughulika kwenye ile harusi nikajisemea ndo huyu huyu na kweli tukijaaliwa in shaa Allah mwezi wa kumi tunafunga ndoa
Dua zenu jamani
Nakazia hii pointiMwanamke hatafutwi unakutana nae tu popote
yaani atoke aje barabarani uliposimama msimame mpige story??? Ni haki yao kuuliza hivyo maana ni upotevu wa mdaMfano imagine unamwita mdada uliezoeana nae tena mnaishi mtaa mmoja, aje barabarani uliposimama mpige tu story, anakuuliza akija utampa nini, na hujamwomba namba na hujawahi mtongoza, u can imagine jinsi wadada wengi walivyo sick kitabia huku mtaani.
Weekend njema
Hakuna mwanamke mzuri wala mwanamke wa maana, mke huumbwa na kutengenezwaHabarini,
Niko kwenye umri wa kuoa ila kila nikiangalia sioni mke wa kuoa, binafsi sina standards kubwa ninazotarajia toka kwa mdada, na siko picky kihivyo, shida nikisema huenda huyu ni potential wife, unakuta mdada ni block 41 kikosi cha mizinga, hata kwenye mazingira ninayoishi kuna wanaume wengi tu wako kwenye umri wa kuoa, wana kazi nzuri tu, ila bado wapo single, sawa huenda mimi nina tatizo (personality problem) ndo maana sipati mke, lakini je hata wanaume mabachela naowajua nao pia wote wana tatizo??
Mdada ambaye atakuchukulia kama a friend and a life partner, muanze familia from the scratch hadi mzeeke pamoja, mwanamke ambaye sio lazma awe mzuuuri, awe tu mwenye mwonekano wa kawaida unaoridhisha na tabia inayoridhisha, wanaume wenzangu mliooa wadada wa hivyo, mliwapata wapi?
Huku mtaani all I see ni wadada ambao wanataka ku-suck life out of you wakuache empty, naishia kuona wadada ambao wanataka financial help na sio love.
Mfano imagine unamwita mdada uliezoeana nae tena mnaishi mtaa mmoja, aje barabarani uliposimama mpige tu story, anakuuliza akija utampa nini, na hujamwomba namba na hujawahi mtongoza, u can imagine jinsi wadada wengi walivyo sick kitabia huku mtaani.
Weekend njema
Ukoma/"leprosy" ni infectious disease......yaani kama ilivo TB,malaria.......sio genetic disease.....haukumtendea halo huyo bintiHakuna formula maalumu mkuu.
Ukweli ukihitaji kuoa Ile serious ghafla Kila demu uliyekuwa umemuwekea malengo unaona hafai Tena na kweli anakuwa hafai kabisa.
Mimi ilinitokea baada ya kuona nafeli kwenye nukta ya mwisho wa field yangu.
Nikaadhimu kukaa na mzee nikamwambia mzee Kila binti nae taka kumuoa tunaanza vzr mwisho naona hanifai!!
Jukumu alilibeba mzee A-Z na lilifanikiwa vizuri na kwa ufasahasana Hadi leo na enjoy.
Familia ya kwanza ilikuwa pisi nzuri ya kijijini ndani ndani hata Mimi nilipoiona nilisema mzee anajua na kujua zaidi.....
Lakini mzee kumbe alikuwa Bado anafanya investigation zaidi ndipo akaambiwa ukoo huo (Babu yake na binti )alikuwa na ukoma
Taarifa hizi nilizipokea Kwa shingo upande tu maana Tyr nilikuwa nimeanza kuwasiliana na yule binti nae alikuwa kanielewa....
But ilibidi nitii sikuwa na namna.
Ndipo mzee akapata Kwa familia niliyo oa hii
Kwa tabia zote hizo ni ngumuNenda uchagani mtafute m'machame mmoja vuta weka ndani hutajutia.
Ni mtego huu nataka ajichanganye.Kwa tabia zote hizo ni ngumu
Baadhi ya ishara kuu za ukomavu ni kutegemewa, kubadilika, kujitambua, kuheshimu mipaka yako, na uwezo wa kuwa mtulivu katika hali zenye mkazo kama vile kuhamasishwa kufanya majaribio magumu ...Kama matendo yapi?
Tulijipa ufahamu, tukaoa.Habarini,
Niko kwenye umri wa kuoa ila kila nikiangalia sioni mke wa kuoa, binafsi sina standards kubwa ninazotarajia toka kwa mdada, na siko picky kihivyo, shida nikisema huenda huyu ni potential wife, unakuta mdada ni block 41 kikosi cha mizinga, hata kwenye mazingira ninayoishi kuna wanaume wengi tu wako kwenye umri wa kuoa, wana kazi nzuri tu, ila bado wapo single, sawa huenda mimi nina tatizo (personality problem) ndo maana sipati mke, lakini je hata wanaume mabachela naowajua nao pia wote wana tatizo??
Mdada ambaye atakuchukulia kama a friend and a life partner, muanze familia from the scratch hadi mzeeke pamoja, mwanamke ambaye sio lazma awe mzuuuri, awe tu mwenye mwonekano wa kawaida unaoridhisha na tabia inayoridhisha, wanaume wenzangu mliooa wadada wa hivyo, mliwapata wapi?
Huku mtaani all I see ni wadada ambao wanataka ku-suck life out of you wakuache empty, naishia kuona wadada ambao wanataka financial help na sio love.
Mfano imagine unamwita mdada uliezoeana nae tena mnaishi mtaa mmoja, aje barabarani uliposimama mpige tu story, anakuuliza akija utampa nini, na hujamwomba namba na hujawahi mtongoza, u can imagine jinsi wadada wengi walivyo sick kitabia huku mtaani.
Weekend njema
Kanisani ni hatari zaidi bora barUkishindwa nenda kanisani utapata walau ambaye ana hofu ya Mungu
Binadamu hatujakamilika ila bora ambae pamoja mtasogezana karibu na Muumba kuliko yule ambaye atakuacha unatanga tanga huko kwa mataifa
Labda mi sijui ni ule ugonjwa mtu anakuwa Hana vidole na wakurithi !! Kama sivo sio ukoma ni ugonjwa mwingine ila ni wakurithiUkoma/"leprosy" ni infectious disease......yaani kama ilivo TB,malaria.......sio genetic disease.....haukumtendea halo huyo binti