Hv mama maria ajafkisha miaka mia kweli?Mwalimu kafa , mama Maria yupo,
Mandela kafa, Grace yupo,
Mkapa kafa, mama Anna yupo,
Magufuli kafa, mama Janet yupo,
Mwinyi kafa, mama City yupo........
Kazi kwelikweli
Sina hakika ana miaka mingapi , anaweza kuwa ana mia na zaidiHv mama maria ajafkisha miaka mia kweli?
Nyerere sasa hv angekuwa na miaka 101 hope mama Maria atakuwa na 98Sina hakika ana miaka mingapi , anaweza kuwa ana mia na zaidi
wanacholalamika wanaume wengi Issue sio kuombwa hela bali kuombwa sana bila kuwa na sababu za msingi.Jiweke kihusband material utampata wife material, kumbe wewe shida ni kuombwa hela wapo wasioomba hela mbona
Mwenzako yupo serious wewe unaingiza utaniNenda uchagani mtafute m'machame mmoja vuta weka ndani hutajutia.
Njia hii nakubaliana na wewe sema tu huwa inachukua muda mrefu sana kufanikisha maana hujui itajitokeza lini.Tatizo limeanzia kwako, mwanamke ukimtafuta kama unatafuta shilingi utampata ambaye sio sahihi au utamwona kila mmoja hafai.
Mwanamke unampata kutokana na mazingira yako, na kwa namna unavyotimiza wajibu wako kijamii na kwako binafsi. Mfano unaweza ukampata mke bar, safarini, kutokana na kazi yako, kanisani n.k. ila usiamke asubuhi ukasema sasa namtafuta mke wa kuoa, utampata muuaji wa maisha yako.
Hapa ndio utajua haujui ila hata single mother tuoe tu jamani sometimes life halina formularelation inaanza vizuri tu lakini baadae nakuja kugundua ni single mother
Sasa hao wa kanisani si ndio hao hao wa mtaani anaowasema jamaa au wanatoka mbinguni?
Ejooo mosikwito ini miliki!!!Mke mwema atoka kwa Mungu. Sasa kwann uhangaike kumtafuta? Ataletwa na Mungu mlangoni kwako, lkn akiwa hana tako sura na elimu usimkatae
Mkuu jina lako ni wosia tosha[emoji1783][emoji1783][emoji1783][emoji1783]Hakuna formula maalumu mkuu.
Ukweli ukihitaji kuoa Ile serious ghafla Kila demu uliyekuwa umemuwekea malengo unaona hafai Tena na kweli anakuwa hafai kabisa.
Mimi ilinitokea baada ya kuona nafeli kwenye nukta ya mwisho wa field yangu.
Nikaadhimu kukaa na mzee nikamwambia mzee Kila binti nae taka kumuoa tunaanza vzr mwisho naona hanifai!!
Jukumu alilibeba mzee A-Z na lilifanikiwa vizuri na kwa ufasahasana Hadi leo na enjoy.
Familia ya kwanza ilikuwa pisi nzuri ya kijijini ndani ndani hata Mimi nilipoiona nilisema mzee anajua na kujua zaidi.....
Lakini mzee kumbe alikuwa Bado anafanya investigation zaidi ndipo akaambiwa ukoo huo (Babu yake na binti )alikuwa na ukoma
Taarifa hizi nilizipokea Kwa shingo upande tu maana Tyr nilikuwa nimeanza kuwasiliana na yule binti nae alikuwa kanielewa....
But ilibidi nitii sikuwa na namna.
Ndipo mzee akapata Kwa familia niliyo oa hii
Mkuu jina lako ni wosia tosha[emoji1783][emoji1783][emoji1783][emoji1783]Hakuna formula maalumu mkuu.
Ukweli ukihitaji kuoa Ile serious ghafla Kila demu uliyekuwa umemuwekea malengo unaona hafai Tena na kweli anakuwa hafai kabisa.
Mimi ilinitokea baada ya kuona nafeli kwenye nukta ya mwisho wa field yangu.
Nikaadhimu kukaa na mzee nikamwambia mzee Kila binti nae taka kumuoa tunaanza vzr mwisho naona hanifai!!
Jukumu alilibeba mzee A-Z na lilifanikiwa vizuri na kwa ufasahasana Hadi leo na enjoy.
Familia ya kwanza ilikuwa pisi nzuri ya kijijini ndani ndani hata Mimi nilipoiona nilisema mzee anajua na kujua zaidi.....
Lakini mzee kumbe alikuwa Bado anafanya investigation zaidi ndipo akaambiwa ukoo huo (Babu yake na binti )alikuwa na ukoma
Taarifa hizi nilizipokea Kwa shingo upande tu maana Tyr nilikuwa nimeanza kuwasiliana na yule binti nae alikuwa kanielewa....
But ilibidi nitii sikuwa na namna.
Ndipo mzee akapata Kwa familia niliyo oa hii
Tawiree mkuu mi mwenyee nikienda kwa mchepuko naaigizwa chipsi, nkirudi nyumbani naagizwa chips, nkagundua awa viumbe wana vina saba na chips.[emoji1783]Weee unamchukulia mwanamke kama kitu cha thamani saana kana kwamba bila mwanamke huwezi kuishi! Pole! Mwanamke ni species ya binadamu ambayo haijari "don't care" tofauti na wanaume ambao ufikiria "hatima" ya kesho. Mwanamke uishi kwa hisia kwa kile kinachompa raha leo bila kujari kesho itakuwaje! Sasa species za aina hii ukiziweka akilini utakufa mapema!
Mimi nina vjiwe vyangu kadhaa vya chips, nyama choma, na grocery! Wateja wangu wengi ni akina dada! Japo siifanyi moja kwa moja hii biashara (nimeweka vijana) lakini nimeona kitu cha ajabu kuhusu hawa species! Chips yai ni book 3. Mbinti anaweza kuwa na hiyo hela lakini atajilegeza na kulialia umpe bule au mbadilishane kwa kukupa mbususu!! Can you imagine! Sasa kama unataka kuwanasa anzisha kijiwe cha chipsi/mishikaki/nyamachoma/kitimoto alafu utuletee mrejesho!
Apa naomba nisikomenti[emoji1783]Mwalimu kafa , mama Maria yupo,
Mandela kafa, Grace yupo,
Mkapa kafa, mama Anna yupo,
Magufuli kafa, mama Janet yupo,
Mwinyi kafa, mama City yupo........
Kazi kwelikweli
Juzi tu mchungaji kaachwa ye sijui alimpata wapiMke mwema anatoka kwa mungu sali, omba, funga nenda kanisan / msikitini fanya ibada
Daaah sina neno hapo ππππππNjoo unioe mimi BICHWA KOMWE the wife material.
Najua kupika chapati na kisamvu.
Nina shahada ya kukata viuno na kukalia mboro kutoka chuo kikuu cha Oxford Uingereza.
Cc: mimiamadiwenani Poor Brain Mzee wa kupambania dronedrake fundi bishoo Extrovert The Icebreaker
Dada zetu sahiv wanajal shida zao tuuHabarini,
Niko kwenye umri wa kuoa ila kila nikiangalia sioni mke wa kuoa, binafsi sina standards kubwa ninazotarajia toka kwa mdada, na siko picky kihivyo, shida nikisema huenda huyu ni potential wife, unakuta mdada ni block 41 kikosi cha mizinga, hata kwenye mazingira ninayoishi kuna wanaume wengi tu wako kwenye umri wa kuoa, wana kazi nzuri tu, ila bado wapo single, sawa huenda mimi nina tatizo (personality problem) ndo maana sipati mke, lakini je hata wanaume mabachela naowajua nao pia wote wana tatizo??
Mdada ambaye atakuchukulia kama a friend and a life partner, muanze familia from the scratch hadi mzeeke pamoja, mwanamke ambaye sio lazma awe mzuuuri, awe tu mwenye mwonekano wa kawaida unaoridhisha na tabia inayoridhisha, wanaume wenzangu mliooa wadada wa hivyo, mliwapata wapi?
Huku mtaani all I see ni wadada ambao wanataka ku-suck life out of you wakuache empty, naishia kuona wadada ambao wanataka financial help na sio love.
Mfano imagine unamwita mdada uliezoeana nae tena mnaishi mtaa mmoja, aje barabarani uliposimama mpige tu story, anakuuliza akija utampa nini, na hujamwomba namba na hujawahi mtongoza, u can imagine jinsi wadada wengi walivyo sick kitabia huku mtaani.
Weekend njema
Vp dada angu Niwaheri we umepata ππππPole kwa kweli ila kupata life partner sio rahisi,endelea kutafuta utapata.