Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 22,527
- 79,976
🤣🤣🤣 wanakujaYaani kichwani wamejaza ujinga tuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣 wanakujaYaani kichwani wamejaza ujinga tuu.
Ndio nataka kujua vicoba ni nini na upatu ni nini?Milion 6 embu acha kuwatisha watu hapa ikute unweka elf 6 unasema milion 6
Kwa ujumla vikoba kwa wanaume haijakaa sawa
Hii kichwa ngumuSasa neno vicoba lilishushwa kutoka mbinguni hadi lisiwe na maana yake? Acheni upumbavu vijana.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 wanakuja
😥😥😥😥Kigezo Sasa,,unajua mwenyewe😀😀
Mpare unayempenda sio
Basi mpe hizo mil 15 bureNa wewe si utachangua wengine wapate hizo milion 15
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Basi mpe hizo mil 15 bure
Nitakuelewesha vizuri utaelewa achana na mleta mada hajui umuhimu wa vicobaHebu nitafute muda nijielekeze vizuri sijui wapi nitasoma vizuri niielewe inafanyikaje
Ni kweli. Mwanaume hasalimii mambo. Sijawahi na hakuna mshikaji au mwanaume yoyote amewahi nitumia salami ya hiviKuna Ile Moja eti mwanaume hatakiwi kusalimia "mambo''[emoji1751]
😅😅😅😅Wanamme mna kazi sanaNi kweli. Mwanaume hasalimii mambo. Sijawahi na hakuna mshikaji au mwanaume yoyote amewahi nitumia salami ya hivi
Salamu zetu huwa ni
Ukianza na lolote hapo uliyemtumia ataelewa umemsalimia.
- hey
- mkuu
- kamanda
- vp mwamba
- chief
- oyaa
- aje
- oii
- arifu
- bro
Kwa mrembo ukianza na "hello" inatosha.
Ila kama unataka sana kutumia mambo, basi sema "mambo vipi"
Hakuna mwanaume anasema "mambo" , hili ni kosa kubwa sana na mwanaume hawezi kumtumia mwanaume mwenzie hivi.
😥😥😥😥Kigezo Sasa,,unajua mwenyewe
Acha maneno mengi wewe. Acha Vicoba mara moja.Sijawahi kufikiri kama ndugu Deep Pond nawe una fikra kama hizi. Village Community Bank (VICOBA) ina tatizo gani? Au ulimaanisha upatu? Vicoba viko karibu nchi zote za SADC & EAC na imeonyesha mafanikio makubwa. Tatizo kwa hapa nchini utakuta havijasajiliwa na havina utaratibu unaoeleweka. Arusha Club SACCOS ilianziaga chini sana kwa marafiki tu kuanzisha umoja wao ila kwa sasa ipo level nyingine ikijumuisha matajiri wengi wa Arusha. Bado serikali inatakiwa itoe elimu kuhusu mambo ya fedha kwa wananchi. Itawasaidia kina Oscar Oscar na Deep Pond kutambua kuwa VICOBA havina jinsia. Umaskini hautaisha au kupungua kwa fikra kama hizi za Oscar Oscar na Deep Pond.
Wala sio kazi, ni misingi tu ya kiumeni. Ukiona Kuna mwanaume amekutumia msg "mambo", anza kutilia mashaka haraka sana[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Wanamme mna kazi sana
Kina Ngosha wapewe Ulinzi😃😃Ubahili muhimu
Tafuta Msukuma wao hawajui Pesa ni nini na inamatumizi gani