Wanaume mnaojifanya watetezi wa Wanawake humu mnakera sana

Wanaume mnaojifanya watetezi wa Wanawake humu mnakera sana

Kwani mkuu nikitafuta pesa nika nunua nguo nzuri ninakuwa sijazifaidi pesa zangu?
Nikipata pesa nika nunua chakula kizuri sijazifaidi pesa zangu?
Nikipata pesa nikanunua gari kwa ajili ya usafiri ninakuwa sijazifaidi pesa,ila mpaka na mwanamke ahusike?
Vizuri, sasa turudi miaka kadhaa nyuma halafu tuapply hii theory yako, mtazame mama yako kisha mrudishe ujanani, halafu vaa viatu vya wanaume waliokutana na mama yako katika maisha. Awe au asiwe baba yako, ila alikuwa sehemu ya maisha ya mama yako either kwenye kupata kazi, msaada au fedha, apply fomula yako ya kila jenda ipambane na hali yake.
 
Mkuu hakuna sehemu nilipo sema kuwa mtu unaweza kuishi bila kumtegemea mwanamke.
Mwanamke ni mama,dada,mke, mtoto lakini hilo haliwezi kutuzuia kuwasema pale wanapo zingua.
Na hakuna sehemu yeyote nilipo waponda wanaume wote.

Mfano mtu akileta mada kuhusu tatizo la single mother utashangaa watu wanakuja kusema kuwa usiwaseme kwa sababu wao ni mama zetu hapo ndo tatizo linakuja.
Mara ww sio mwanaume ni mvulana.

Yaani kwamba kwa sababu ni mama zetu ndo tuhalishe makosa yao?
Sasa wewe ndugu unataka kila mwanaume awe na mawazo kama ya kwako? Haitawezekana..
Wewe kama umeamua kuwaponda single mamas waponde tu, mpo wengi mnao waponda haina tatizo. Na ambao hawajawahi kuona ubaya wao waache wawasifie. Maisha ndivyo yalivyo.
Huwezi kulazimisha kila mwanaume awe na mtazamo kama wa kwako.
 
Tsh
mshamba_hachekwi
@Mr.sound
Kiranga

Hawa ni baadhi tu ya members wa kiume ambao Huwa ni watetezi wa kubwa wa wanawake humu,

Hasa huyo ya kwanza wa kujiita Tsh ndio balaha, yeye Huwa anaamini chochote kibaya kinachomkuta mwanamke basi kimesababishwa na mwanaume, yaani kwake yeye wanawake ni kama malaika... Jamaa akianza kutetea upuuzi wa wanawake hadi anatia hasira kama huko karibu naye unaweza ukampa mabanzi... Mpaka Kuna muda Huwa nahisi yawezekana huyu ni jike ambaye ameamua kujitanabaisha kama mwanaume humu ndani.
Acha kupigana na wanawake. Kama huwapendi kabisa kaa nao mbali ila ukipigana nao kuna watakao inuka kuwatetea hata kama hupendi.

Jitahidi kuheshimu jinsia ya binadamu. Neno Jike linatumika kwa wanyama sio binadamu.
 
Kaka mbona ulikuwa mzima tu, umeanza kuchanganyikiwa lini? 😹
 
Vizuri, sasa turudi miaka kadhaa nyuma halafu tuapply hii theory yako, mtazame mama yako kisha mrudishe ujanani, halafu vaa viatu vya wanaume waliokutana na mama yako katika maisha. Awe au asiwe baba yako, ila alikuwa sehemu ya maisha ya mama yako either kwenye kupata kazi, msaada au fedha, apply fomula yako ya kila jenda ipambane na hali yake.
Kwa ajili ya hayo ndo wakizingua tusi waambie na tukiwaambia mna tuita wavulana?
 
Tsh
mshamba_hachekwi
@Mr.sound
Kiranga

Hawa ni baadhi tu ya members wa kiume ambao Huwa ni watetezi wa kubwa wa wanawake humu,

Hasa huyo ya kwanza wa kujiita Tsh ndio balaha, yeye Huwa anaamini chochote kibaya kinachomkuta mwanamke basi kimesababishwa na mwanaume, yaani kwake yeye wanawake ni kama malaika... Jamaa akianza kutetea upuuzi wa wanawake hadi anatia hasira kama huko karibu naye unaweza ukampa mabanzi... Mpaka Kuna muda Huwa nahisi yawezekana huyu ni jike ambaye ameamua kujitanabaisha kama mwanaume humu ndani.
Ningekupa kitabu usome ujielimishe lakini tatizo ni cha Kiingereza na najua Kiingereza hujui.
 
Hayo unayajua ww kwa sababu umeyasema ww maana mm sijayasema hayo unayo lazimisha.
Ww unadhani kila mtu ni dhaifu wa uchi kama ww?
Ww unasema wanakupa utamu kwani ww huwapi utamu ?
Maboya kama nyinyi ndo mnawafanya wanawake wajione wana haki kwa mwanaume ila wanaume hawana haki kwa wanawake.
Mkuu hapo unabishana na pussy-whipped nigga hamtaelewana chochote.... Huyo ni mwanaume ambaye tayari anawaabudu wanawake Kwa sababu ya sex na wanaume kama hao Huwa ni hatari sana Kwa wanaume wenzao, maana hawaoni shida kukuangamiza wewe mwanaume mwenzie hili kuwafurahisha wanawake, maana tayari Wanam control.

Wanaume kama huyo jamaa ndio wamefanya Hawa wanawake WA kisasa hasa wa mjini wajione ni watu wenye thamani kubwa sana pamoja na kwamba wengi wao hawana Cha maana cha ku-offer, wamefanya wawe na madharau na viburi, Kwa sababu Kuna madume yapo kuwaabudu sababu tu ya sex na makalio.
 
You wish!!!

Unahubiri chuki, are you okay? Do better.
Kuwaambia ukweli ndo kuwachukia?
Nitawachukiaje wanawake wakati ndo walio nizaa na nina madada?
Tukiwapiga sipana acheni kuwatuma mabwana zenu kuja kutudhihaki kwa kutuita wavulana.
 
Kuna midume humu kazi yao ni kijipendeka kwa wanawake kwa kujifanya watetezi wa wanawake hasa kwenye mada zinazo ongea negative kuhusu wanawake, tena wengine wanafika hatua za kuanzisha mpaka thread za kuwatetea ,nataka niwaambie mnakera sana.

Mm nimeanza kuifuatilia JF mwaka 2017 na nikaja kufungua ID rasmi mwaka 2022 lakini sijawahi hata kwa bahati mbaya kuona comment au thread iliyo andikwa na mwanamke kwa ajili ya kuwatetea wanaume.

Hivi hapa duniani kuwa watu wanao pitia magumu zaidi ya wanaume ?
Mbona wanawake huwa hawajishughulishi na sisi ila sisi kutwa kukitia kiwatetea?

Unakuta lidume zima linaanzisha mada ,mara wanawake wasisemwe kwa sababu ni mama,dada,wake,shangazi zetu.

Aliye kwaambia mtu kuwa ndugu yako basi kunahalalisha kile anacho kifanya ni nani?

Hao wanawake wao hawana kaka,na baba zao mbona huwa hawajipendekezi na kujifanya watetezi wa wanaume?

Hata kwenye kampeni ya 50kwa50 ukiangalia ni midume ndo imeipa nguvu.

Mfano tuongelee kuhusu suala la single mother ,ikianzishwa mada yeyote itakayo ongelea hilo tatizo utashangaa midume inakuja mbio kutetea.

Ukimuuliza mbona una watetea atakwambia eti kwa sababu na mimi nina watoto wa kike,kwa hiyo kumbe tunatakiwa kuutetea hata ujambazi kwa sababu wenda watoto wetu siku moja wanaweza kujikuta wanakuwa majambazi sio?

%98 ya matatizo waliyo nayo wanawake hawa wa kisasa chanzo ni wao wenyewe hivyo ni lazima wasemwe maana wanafanya upumbavu mwingi alafu mizingo ambayo ni matokea ya upumba wao wanaenda kuwabebesha mizigo wazazi wao na ndugu zao.

Tena huo usingle mother mabinti baada ya kubarehe huwa wanautafuta kwa nguvu kweli kweli,nitakuja kuanzisha mada nyingine juu ya hili.
Wengine huwa wanafika mbali na kuuliza kuwa eti kwani mimba huwa wanajipa wenyewe?

Hivi mfano leo hii Makonda akija akakuta umekaa sehemu akaanza kukuchokoza ,kati ya ww na Makonda ni nani anatakiwa kumuepuka mwenzie ili msifikie hatua ya kupigana?

Jibu ni ww ndo unatakiwa kumuepuka maana ww ndo utalipa gharama kubwa juu ya ugomvi huo maana ukimpiga utaozea jera hali yakuwa yeye hata akikupiga hatofanywa chochote.

Mtu mwenye akili siku zote kabla ya kufanya kitu fulani huwa anapima ni gharama gani atalipa juu ya hicho anacho taka kutenda na sio kumtegemea huyo unaye fanya naye afikiri kwa ajili yake.

Binti kabla ya kumvulia chupi mwanaume tambua kuwa ww ndo utalipa gharama kubwa juu ya hicho unacho taka kukifanya,hivyo ni jukumu lako kufikiria iwapo utakuwa na uwezo wa kuzilipa hizo gharama na sio kumtegea mwanaume afikiri kwa
ajili yako.
Uko sahihi sanaaa ndo mana wake zetu viburi vimezidi ,inafikia hatua unawaza kazini ,moto,maisha moto unarudi nyumbani moto kabisaaa
 
  • Thanks
Reactions: ITR
Kwa ajili ya hayo ndo wakizingua tusi waambie na tukiwaambia mna tuita wavulana?
Hapana mkuu. Mwanamke anapofanya makosa anakemewa. Tatizo huwa hamuwakemei mnawasuta sasa wanaume wanakemea hawasuti.
 
Mkuu hapo unabishana na pussy-whipped nigga hamtaelewana chochote.... Huyo ni mwanaume ambaye tayari anawaabudu wanawake Kwa sababu ya sex na wanaume kama hao Huwa ni hatari sana Kwa wanaume wenzao, maana hawaoni shida kukuangamiza wewe mwanaume mwenzie hili kuwafurahisha wanawake, maana tayari Wanam control.

Wanaume kama huyo jamaa ndio wamefanya Hawa wanawake WA kisasa hasa wa mjini wajione ni watu wenye thamani kubwa sana pamoja na kwamba wengi wao hawana Cha maana cha ku-offer, wamefanya wawe na madharau na viburi, Kwa sababu Kuna madume yapo kuwaabudu sababu tu ya sex na makalio.
Yaani mkuu yana kera sana.
 
Tsh
mshamba_hachekwi
@Mr.sound
Kiranga

Hawa ni baadhi tu ya members wa kiume ambao Huwa ni watetezi wa kubwa wa wanawake humu,

Hasa huyo ya kwanza wa kujiita Tsh ndio balaha, yeye Huwa anaamini chochote kibaya kinachomkuta mwanamke basi kimesababishwa na mwanaume, yaani kwake yeye wanawake ni kama malaika... Jamaa akianza kutetea upuuzi wa wanawake hadi anatia hasira kama huko karibu naye unaweza ukampa mabanzi... Mpaka Kuna muda Huwa nahisi yawezekana huyu ni jike ambaye ameamua kujitanabaisha kama mwanaume humu ndani.
Mnakosea.

Kutetea wanawake sio kosa, kosa ni kuwatetea bila sababu za msingi.

Tafuteni hizo sababu tunazotumia kuwatetea, mje nazo, hizo ndo tutajadili.

Mimi nitaendelea kuwatetea ninapoona inafaa.
 
Kuwaambia ukweli ndo kuwachukia?
Nitawachukiaje wanawake wakati ndo walio nizaa na nina madada?
Tukiwapiga sipana acheni kuwatuma mabwana zenu kuja kutudhihaki kwa kutuita wavulana.
Very emotional person you are! Kama Ashura vile.

Unaamini kuna mtu anamtuma mtu kumtetea mtu humu? ndivyo ufanyavyo?

Una enjoy mwenyewe tunavyokupa attention humu kwa kukujibu.

Grow up!
 
Ningekupa kitabu usome ujielimishe lakini tatizo ni cha Kiingereza na najua Kiingereza hujui.
Hahahahaha...!! Shenzy kabisa

Kingereza Gani hicho kitanishinda???

Mimi najua mpaka Victorian slangs ambazo naamini wewe pamoja na kuishi kwako marekani huzijui..

I'm too high for your nut buddy
 
Yaani mkuu yana kera sana.
Kwani ITR embu tuambie, una tatizo gani na wanawake?
Lilianza lini?
Baada ya kutokea nini?
Ni mfululizo wa matukio au ni tukio moja? Nini kikitokea huu mtazamo wako kwa mwanamke utafutika?
 
Back
Top Bottom