Ndoa ni kazi isiyo na mshahara lazima uifanyie kazi ndoa yako .Siku hizi wanawake hawataki pesa zenu tupo juu sana .Heshima muweke mbele mtaachwa .Mzee gates ameachwa document zinaonyesha Hivyo .So wanaume muanze kupika ,piga deki na kufua nguo .wanawake tupo juu Sana,habari ndio hiyo .
View attachment 1772640
Ukiniacha na mihela yote ile tatizo liko wapi....mwanaume hazeekagiNachojua mimi wanawake wa kizungu wengi ni gold diggers,wana mapenzi ya pesa,target zao zikishatimia wanaanzisha chokochoko za kuachana,mwangalie kim kardashian nae hivyohvyo,yaani hawa ni wa kuzalisha bila ndoa we unabaki kulea watoto tu,over
Kwa nini haswa unafikiri wanaume ndio wanaotengeneza pesa JamaniHata kwa waafrika katika kizazi hiki.Wanaume watafute hela mwanamke hata ukimgo... vp kama huna hela imekula kwako.
15 years kwenye ndoa very strong mambo ya tantric .Haendi popoteMuke ya MUZUNGU. Vipi na wewe lini unamdivorce mzungu wako mgawane pasu kwa pasu?
15 years kwenye ndoa very strong mambo ya tantric .Haendi popote
Angalia Wikipedia yake Melinda bwana .Melinda mwanamke wa Shaka suzyo Hillary ambae anaibiwa liveMhh Melinda ametoka kwenye familia nzuri sana baba ake ni millionaire ,Bill gates yeye ndio alikuwa mtoto wa mlala hoi .Melinda ali kuwa Victorian student( Victorian ni mtu mwenye Akili saaana ) .
Steve job na Melinda walikuwa wote Wakati wa apple .Melinda akamtosa Steve Jobs akaanzisha kampuni ya Microsoft na bill gates .
Melinda anaakili zaidi ya Bill gates .Level ya Akili ya Melinda ni level nyingine .So Melinda yeye ni mwanzilishi wa Microsoft
She is Victorian .Hebu Soma Wikipedia yakeUmetumia mizani gani ya kupima akili za hao watu!!??
au umetumia hii ya kupimia nyama
Hapo mzee wa kuku kitaani enzi zile tunakua bhana tulikuwa tunahadithia "nataka kuwa kama billgeti mzee wa kuku"[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huyu bwege kafurahia mali akili za kimaskini hizi! Melinda anaachana sababu ya furaha kuisha au sababu ya misuguano ya kihisia! We unachekelea nyumba hizo sio ishu kwa wenzetu wala haiwezi mpunguzia chochote bill Gates mzee wa kuku [emoji23][emoji23][emoji23]!
Kugawana mali kunatutesaga sisi tu ambao kuna kajumba kamoja tulikojenga kwa kula dagaa miaka mitatu na kulipa mkopo benki! Sasa jamaa hela iliopo bank anaweza nunua huo mtaa upya na wala asiyumbe unahisi kuna kitu atapungukiwa pole sana!
Jamaa aweza mpata hela nusu ya hela na aka bounce backHuyu bwege kafurahia mali akili za kimaskini hizi! Melinda anaachana sababu ya furaha kuisha au sababu ya misuguano ya kihisia! We unachekelea nyumba hizo sio ishu kwa wenzetu wala haiwezi mpunguzia chochote bill Gates mzee wa kuku [emoji23][emoji23][emoji23]!
Kugawana mali kunatutesaga sisi tu ambao kuna kajumba kamoja tulikojenga kwa kula dagaa miaka mitatu na kulipa mkopo benki! Sasa jamaa hela iliopo bank anaweza nunua huo mtaa upya na wala asiyumbe unahisi kuna kitu atapungukiwa pole sana!
Mi huwa namuelewaga Diddy hanaga habari na Mambo ya ndoakumekucha !
ila nawashauri wanaume wajenge maisha yao ya baadae
manake mwisho wa siku hao wanaowahangaikia 85% hawana shukurani including mke na watoto
Diddy mke wa kwanza alimchemsha kinoma wakaachana baadae akaja kufa! Kwa ile experience huwezi tamani ndoa tenaMi huwa namuelewaga Diddy hanaga habari na Mambo ya ndoa
Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
Mwanaume wa kweli yupiBill gates is too ugly and creepy .it’s time kwa melinda kupata Mwanaume wa ukweli .
Sure,wanawake wengi hasa hao wazungu wanawalia timing sana waume zaoUkiniacha na mihela yote ile tatizo liko wapi....mwanaume hazeekagi
Kama Chriss BreezyNachojua mimi wanawake wa kizungu wengi ni gold diggers,wana mapenzi ya pesa,target zao zikishatimia wanaanzisha chokochoko za kuachana,mwangalie kim kardashian nae hivyohvyo,yaani hawa ni wa kuzalisha bila ndoa we unabaki kulea watoto tu,over
Shangazi yake melindaMhh Melinda ametoka kwenye familia nzuri sana baba ake ni millionaire ,Bill gates yeye ndio alikuwa mtoto wa mlala hoi .Melinda ali kuwa Victorian student( Victorian ni mtu mwenye Akili saaana ) .
Steve job na Melinda walikuwa wote Wakati wa apple .Melinda akamtosa Steve Jobs akaanzisha kampuni ya Microsoft na bill gates .
Melinda anaakili zaidi ya Bill gates .Level ya Akili ya Melinda ni level nyingine .So Melinda yeye ni mwanzilishi wa Microsoft
Kwahiyo kustarehe na warembo wengi hivi ndo inaonesha kuwa umri haujaenda sana ??Aliekuambia kazeeka Nani .Unaona wanawake wa bill gates na trump na bill clinton wanasafirishwa dubai wamekamatwa jumamosi .Huko dubai
View attachment 1772995
View attachment 1772996
View attachment 1772997
View attachment 1772998
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna watu wana frustrations zao za maisha watataka kuzimalizia hapahapa kwenye talaka ya Bill and Melinda.
Wakati wenyewe Bill and Melinda wanaachana poa tu huku wakiimba wimbo wa "I Will Always Love You".
You are lame and stupid.mali anazoondoka nazo melinda
View attachment 1772648
View attachment 1772649
View attachment 1772650
View attachment 1772651